BENEDICT ISEME
Member
- Jul 14, 2021
- 23
- 24
NAFASI YA KAZI
Habari, mtu yoyote ambaye amesomea au anajua masuala ya kudispense madawa (Duka la Dawa) aje inbox ASAP.
Duka lipo Ubungo Kibangu.
Conditions
1. Awe wa kike na Awepo Dar es salaam ( preferably Ubungo)
2. Salary - 120,000/= kwa mwezi.
3. Conditions nyengine zitakuwa discussed na boss.
Contacts:
0653776099
0620249911
Habari, mtu yoyote ambaye amesomea au anajua masuala ya kudispense madawa (Duka la Dawa) aje inbox ASAP.
Duka lipo Ubungo Kibangu.
Conditions
1. Awe wa kike na Awepo Dar es salaam ( preferably Ubungo)
2. Salary - 120,000/= kwa mwezi.
3. Conditions nyengine zitakuwa discussed na boss.
Contacts:
0653776099
0620249911