Nafasi ya KVP Officer imetangazwa, wapiga zumari mko kimya! Tuna tatizo kubwa sana

Nafasi ya KVP Officer imetangazwa, wapiga zumari mko kimya! Tuna tatizo kubwa sana

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Tanzania ni Mojawapo ya Nchi inayopenda kuongozwa Kwa matukio, yaani akitokea MTU hasa MTU Mwenye njaa zake Huko basi mtatengenezewa tukio mtajiona nyie NDIO nyie.

Miezi michache iliyopita Mwakyembe na mwandishi wake walijitokeza hadharani na kuja na allegations kibao, mitandao yote ikabeba hio NDIO ikawa Agenda, wale ambao tulikuwa na mtazamo tofauti tukapewa Kila jina BAYA.

Upepo umepita, Leo nafasi ya KVP (KEY AND VULNERABLE PEOPLE) OFFICER imetangazwa kwenye mradi mpya wa Global Fund sijasikia wale wapiga Zumari wakipiga kelele, Tena unaweza kukuta NDIO applicants wa Kwanza.

Kuna mengi yanayobebwa na kivuli Cha KVP, SEMA hatutaki kuambiwa ukweli tukishajazwa ujinga.

KVP: Key populations — sex workers (SWs), gay men and other men who have sex with men (MSM), transgender people (TG), and people who inject drugs (PWID) — are disproportionately affected by HIV.

Na TANZANIA tunayo guideline kabisa, ninachosema ni kwamba, Mwakyembe na nyie wapiga Zumari mlikosea kukashifu watu wakati tukieleza kuwa SERIKALI YA CCM ndio inayochagiza haya Mambo.

Tanzania-KP-GUIDELINE-1.pdf - Global HIV Prevention Coalition
 
Kipindi kile kila mahali, makanisani, misikitini, vijiweni , walikuwa wahubiri wa vita dhidi ya ushoga... Kisa tu Mwakyembe na kale kadada kanakiita kalokele, kamekaa kishangingi! Ukihoji unaambiwa wewe ni shoga! Leo kimyaaaa nafikiri Ile Vita wameimaliza na ushoga umeisha!

Hadi huwa najiuliza hivi nani alituloga, tunawekewa ajenda tunaimba nchi nzima...kama vile mazuzu!
 
Kipindi kile kila mahali , makanisani , misikitini , vijiweni , walikuwa wahubiri wa vita dhidi ya ushoga... Lisa tu Mwakyembe na kale kadada kanakiiya kalokele , kamekaa kishangingi ! Ukihoji unaambiwa wewe ni shoga! Leo kimyaaaa nafikiri Ile Vita wameimaliza na ushiga umeisha!
Hadi huwa najiuliza hivi nani alituloga,tunawekewa ajenda tunaimba nchi nzima...kama vile mazuzu!
Ukitaka kuwaelimisha Watu unaitwa Shoga! Tuna Watu Wapumbavu sana sana. Haya Mambo yapo Mwakyembe hakua na kitu kipya! Haya Global Fund wamemwaga mpunga huo hapo sasa.
 
Tanzania ni Mojawapo ya Nchi inayopenda kuongozwa Kwa matukio, yaani akitokea MTU hasa MTU Mwenye njaa zake Huko basi mtatengenezewa tukio mtajiona nyie NDIO nyie.

Miezi michache iliyopita Mwakyembe na mwandishi wake walijitokeza hadharani na kuja na allegations kibao, mitandao yote ikabeba hio NDIO ikawa Agenda, wale ambao tulikua na mtazamo tofauti tukapewa Kila jina BAYA.

Upepo umepita, Leo nafasi ya KVP ( KEY AND VULNERABLE PEOPLE) OFFICER imetangazwa kwenye mradi mpya wa Global Fund sijasikia wale wapiga Zumari wakipiga kelele, Tena unaweza kukuta NDIO applicants wa Kwanza.

Kuna mengi yanayobebwa na kivuli Cha KVP, SEMA hatutaki kuambiwa ukweli tukishajazwa ujinga.

KVP: Key populations — sex workers (SWs), gay men and other men who have sex with men (MSM), transgender people (TG), and people who inject drugs (PWID) — are disproportionately affected by HIV.

Na TANZANIA tunayo guideline kabisa, ninachosema ni kwamba, Mwakyembe na nyie wapiga Zumari mlikosea kukashifu watu wakati tukieleza kuwa SERIKALI YA CCM ndio inayochagiza haya Mambo.

Tanzania-KP-GUIDELINE-1.pdf - Global HIV Prevention Coalition
Pandisha tena hio PDF
 
Kuna mengi yanayobebwa na kivuli Cha KVP, SEMA hatutaki kuambiwa ukweli tukishajazwa ujinga.

KVP: Key populations — sex workers (SWs), gay men and other men who have sex with men (MSM), transgender people (TG), and people who inject drugs (PWID) — are disproportionately affected by HIV.
Sema nini wewe jamaa ni mjinga, usiniulize kwanini namaanisha shule unaweza ukawa umeenda Ila haupo kisomi, unasema nafasi zimetoka huonyeshi zimetoka wapi hata link okay huna link hata PDF huna okay PDF huna hata screenshots huna ?)

Next time pandisha PDF km hivi au omba usaidiwe huwezi piga screenshots weka watu tusome
 

Attachments

Soma tena heading yako alafu angalia link yako hio link sio ya PDF ya nafasi za kazi hio ni Guidelines, leta PDF ya nafasi za kazi hio ya KPV au weka link watu waifuate huko huko huwezi screenshot weka huwezi andika link tutaclick tuende huko tukacheck au ni nafasi hizo ni za Siri wanageana kwa kujuana ?)
 
Sema nini wewe jamaa ni mjinga, usiniulize kwanini namaanisha shule unaweza ukawa umeenda Ila haupo kisomi, unasema nafasi zimetoka huonyeshi zimetoka wapi hata link okay huna link hata PDF huna okay PDF huna hata screenshots huna ?)

Next time pandisha PDF km hivi au omba usaidiwe huwezi piga screenshots weka watu tusome

IMG_4854.jpg
 
Soma tena heading yako alafu angalia link yako hio link sio ya PDF ya nafasi za kazi hio ni Guidelines, leta PDF ya nafasi za kazi hio ya KPV au weka link watu waifuate huko huko huwezi screenshot weka huwezi andika link tutaclick tuende huko tukacheck au ni nafasi hizo ni za Siri wanageana kwa kujuana ?)
Hahahahaha wewe ndio umetaka nafasi ya KAZI, soma tena trend ya ninachosema kuwa Tanzania inayo guideline kabisa kuhusu KVP, SEMA wewe ulikua unaangalia nafasi ya KAZI, sio kosa langu ni lako, haya nakutumia
 
Hahahahaha wewe ndio umetaka nafasi ya KAZI, soma tena trend ya ninachosema kuwa Tanzania inayo guideline kabisa kuhusu KVP, SEMA wewe ulikua unaangalia nafasi ya KAZI, sio kosa langu ni lako, haya nakutumia
Kule juu heading yako inasomeka nafasi ya kazi mkuu, tuelewane kwanza kabla ya kutokuelewana
 
Kule juu heading yako inasomeka nafasi ya kazi mkuu, tuelewane kwanza kabla ya kutokuelewana
HAPANA, usisome kile unachotaka kusikia tu Mpwa! Soma sentence nzima tafadhali. Hii tabia sio nzuri, ndio Ile MTU anasoma ka sentence kamoja anakatungia hekaya. Hapana usiwe hivyo ila isiwe kesi, nimekuwekea hapo
 
Okay thanks, bring more screenshots maelezo ya chini hapo una-apply vipi mboni umeweka Nusu ?) Shule tulienda kufanyaje jamani bring all of it tusome kwa manufaa ya wengi

Mkuu, nimejaribu kukusaidia kwa kugoogle ili upate sehemu ya kuanzia unashindwa kujiongeza. Hukutakiwa kumlalamikia mtoa mada, baada ya kuona hiyo KVP officer ungeingia chimbo kuanza kusaka taarifa.

Nami nakuuliza pia shule ulikwenda kufanya nini? Unapatiwa mpini unashindwa kujua wapi pa kupata jembe!!
 
Sema nini wewe jamaa ni mjinga, usiniulize kwanini namaanisha shule unaweza ukawa umeenda Ila haupo kisomi, unasema nafasi zimetoka huonyeshi zimetoka wapi hata link okay huna link hata PDF huna okay PDF huna hata screenshots huna ?)

Next time pandisha PDF km hivi au omba usaidiwe huwezi piga screenshots weka watu tusome
Asante sana kwa kuniita mjinga, Wacha watu waone kati Yangu na wewe nani mjinga! Ndugu, njaa zako zisikufanye uite watu wajinga!
 
Mkuu, nimejaribu kukusaidia kwa kugoogle ili upate sehemu ya kuanzia unashindwa kujiongeza. Hukutakiwa kumlalamikia mtoa mada, baada ya kuona hiyo KVP officer ungeingia chimbo kuanza kusaka taarifa.

Nami nakuuliza pia shule ulikwenda kufanya nini? Unapatiwa mpini unashindwa kujua wapi pa kupata jembe!!
Nimemshangaa sana
 
Back
Top Bottom