proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
- Thread starter
- #21
mbonamsaliti huyu, subiri tu, akwae super Gono huko aje kulia kulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbonamsaliti huyu, subiri tu, akwae super Gono huko aje kulia kulia
asante mkuuKila la kheri mkuu
Usisahau kanuni yetu ya kuwakanyaga masingo maza na kuwakimbia.
Bila shaka umelizingatia hilo kuwa hakuna kuoa singo Maza
kumbe kataa ndoa wapo wengi Intelligent businessmanKataa ndoa.com je?
Unahela au uzinguaji tuKama kichwa cha habari hapo juu cha jieleza
natafuta mwanamke wa kumuoa tujenge familia;
Awe na umri kuanzia 22-28
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne
Awe na kazi halali ya kufanya
Asiwe mweusi sana, akiwa mweupe fresh
Asiwe mfupi sana kama ni mrefu hapo sawa.
Sifa zangu
Sina mke wala mtoto
Ni mwajiriwa pia mfanyabiashara
Ni mweusi sio mrefu sana
Mengine njoo PM
sana yani.. demand ni kubwa sanaKumbe na ww unahitaji
haaya mshiki akwa ateningya nambaEndra fo mtaani wee
njoo tuongeeUnahela au uzinguaji tu
huyo yupo Chamazi Poor Brainunasaliti NoFapper
mcheki Poor Brain akupigie pande watoto wa Mbande Magengeni
njoo Dondwe, watoto wa kizaramo kibao, na wanafinyia kwa ndani kama hawana akili vizurihuyo yupo Chamazi Poor Brain
kwani we mweupe ama mweusi?Nilianza kukupenda nimekwama hapa!😣
Mweusi tiiii kama mkaakwani we mweupe ama mweusi?
nani kakudanganya?njoo Dondwe, watoto wa kizaramo kibao, na wanafinyia kwa ndani kama hawana akili vizuri
na Dondwe hakuna UTI, haijafika bado imeishia Msongola
acha basiMweusi tiiii kama mkaa
Poor Brainnani kakudanganya?
Potelea mbali.....uko wapi!!!!Kama kichwa cha habari hapo juu cha jieleza
natafuta mwanamke wa kumuoa tujenge familia;
Awe na umri kuanzia 22-28
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne
Awe na kazi halali ya kufanya
Asiwe mweusi sana, akiwa mweupe fresh
Asiwe mfupi sana kama ni mrefu hapo sawa.
Sifa zangu
Sina mke wala mtoto
Ni mwajiriwa pia mfanyabiashara
Ni mweusi sio mrefu sana
Mengine njoo PM
usimtafutie matatizo kwa Lucas Mwashambwa.Nilianza kukupenda nimekwama hapa!😣