Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Kwajins madogo wanafaulu cku iz mkuu ungeongeza kigezo kama ni form foo awe alipat 1 kama form six at least awe alipata dv 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupendaa ephen wanguu hata uwe kipofu au bubu bado nakupendaa hivyo hivyo.Mweusi tiiii kama mkaa
we umeshapatikana amaUtapata
hahahaKuna liji mama hapa jirani yangu linasema kama mshahara wako Kwa mwaka unafika milioni miamoja au zaidi litakuwa tayari.
kigezo f4Kwajins madogo wanafaulu cku iz mkuu ungeongeza kigezo kama ni form foo awe alipat 1 kama form six at least awe alipata dv 2
ndiye anammiliki kumbeusimtafutie matatizo kwa Lucas Mwashambwa.
njoo PM mke wanguPotelea mbali.....uko wapi!!!!
Nakuja na shela kabisa huko pmnjoo PM mke wangu
chezea kukaa mwenyeweNakuja na shela kabisa huko pm
😹😹😹 yani kucomment tu ushanioa nmecheka wallah
Oyaaaa unahitaji mke au unataka pa kutoa upwiru.......😹😹Evelyn Salt njoo baby wangu
Leo lazma utakua umepigwa na baridi......upo kasiMimi sio dronedrake Mke ni zaid ya upwiru
ya kufanyajeNaambiwa bado zamu yako
sijawai kuwa hivi kwaniLeo lazma utakua umepigwa na baridi......upo kasi
Swali zuri, sana mkumbushe nia njema ya kuoa inakuja pale unapokuwa hauna upwiruOyaaaa unahitaji mke au unataka pa kutoa upwiru.......😹😹
Weka picha yako dada au njoo pm nipe picha zako nne ( recently) utapata mume unae muhitaji ndani ya masaa matatu. Watakuja mara kumi yake wewe utafanya kuchagua tuKama kichwa cha habari hapo juu cha jieleza
natafuta mwanamke wa kumuoa tujenge familia;
Awe na umri kuanzia 22-28
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne
Awe na kazi halali ya kufanya
Asiwe mweusi sana, akiwa mweupe fresh
Asiwe mfupi sana kama ni mrefu hapo sawa.
Sifa zangu
Sina mke wala mtoto
Ni mwajiriwa pia mfanyabiashara
Ni mweusi sio mrefu sana
Mengine njoo PM
Usijali ni nyeg(e) ndio zinamsumbua.dronedrake chama kinakosa dira.
njoo bhanLeo lazma utakua umepigwa na baridi......upo kasi
Kutwa una rap Samia hv Samia vile .... Acha kuleta siasa anko.Nakupendaa ephen wanguu hata uwe kipofu au bubu bado nakupendaa hivyo hivyo.