Nafasi ya Mwanaume katika Jamii

Nafasi ya Mwanaume katika Jamii

Ms Billionaire

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2020
Posts
2,452
Reaction score
4,955
Habari ya asubuhi.

Nimekutana na hiki kibonzo mtandaoni nikasema acha ni share

Wanaume wengi sasa wanalalamika wanawake wamekua na elements za u-masculine au wanaonesha ungangari lakini mnajua sababu?

Unakuta mwanaume yupo ndani na mkewe,
Bulb imeungua usiku mwanaume anasema anampigia fundi kwa simu hapatikani so wanalala giza. Bro hawezi kubadilisha bulb.

Wanatembea na gari inapata pancha mwanaume anashika kichwa hajui anafanyaje anamtafuta fundi abduli wa magari hampati safari inaishia hapo.

Najua mtabisha lakini nawaambia masculine men wapo wachache sana sana sana sana na hiko ndo kinawafanya wanawake wavue gamba la unyonge waanze wao kujaribu kufanya hivyo vitu ili gurudumu liende. Wakishajaribu tayari wanaume wanakasirika wanakwambia mwanamke anataka kushindana na nature,
Mwanamke anataka kujifananisha na mwanaume. Nani kakwambia wanataka kuwa kama nyinyi?
Mnafika sehemu unakuta mhuni anamkosea heshima mwanamke mbele ya mwanaume wake, mwanaume anashindwa kustep up kwa ajili ya mwanamke wake, anakaa pembeni anasema ye hapendi shari. Hivi hapo huyo mwanamke atafanyaje kama sio kujivika vazi la umasculine na mara nyingi changamoto zinaanziaga hapo.

Wanawake wanajipambania kwasababu mwanaume waliemkabidhi nafasi ya uongozi anashindwa kukaa kwenye nafasi so mwanamke ana feel hayuko protected,

Kila mmoja ana nafasi yake katika uhalisia lakini mmoja anaposhindwa kuisimamia nafasi yake automatically huyu mwanamke itabidi aanze kujipambania mwenyewe. Sijasema hizo ndo sababu pekee zinazofanya mwanamke aone she has to step up zipo nyingi sana na hii kitu haiibuki tu out of nowhere unakuta ni kitu kimejijenga.

Ngoja niwape mfano, mtoto wa kiume analelewa zile familia za ‘daddy I’m going’ kila kitu anafanyiwa, nguo anafua dada wa kazi hadi akifika chuo, hata nyasi zikiota nyumbani anaitwa kijana wa jirani au houseboy anafanya. Huyu mtu akipata familia yake af ye ndo awe baba lazima utaskia malalamiko na kwa bahati mbaya akikutana na mwanamke wa opposite yake lazima watagombana kwasababu mwanamke anategemea Baba atafanya, baba hafanyi, mwanamke anashika kifaa anajaribu kufanya mwenyewe-tayari anataka kushindana na mwanaume.

Haya unakuta sasa ndo hizi familia zetu za kawaida, kijana amemaliza chuo anategemea kuna kazi za 9-5 atakaa ofisini anajishkiza sehemu kwenye ofisi anatafuta na mke anaoa, bahati mbaya akipoteza ile kazi ndo basi anarudi nyumbani anashinda na playstation ( najua mtabisha lakini hawa watu wapo) wengine wanashinda kwenye simu tu lets say ni kwasababu ya frustration hivi hapo nani atabidi a step up!!
Ili familia iende itabidi yule mwanamke asimame akapambane familia ile na watoto waende shule.

Haya huu ni ukweli ambao wengi hamuutaki, wanaume wengi sasa hivi hawataki wanawake ambao hawana kazi. ‘Utaskia pambana mamie tusaidiane majukumu.’ Seriously. Sasa unakuta wanaume wengine nje wanadhani yule mwanamke ni feminist sijui anataka 50/50 hawajui ndani ya nyumba anaishi na mwanaume wa aina gani. Unakuta mwanaume anasema kabisa mimi nta deal na ada na kodi ya nyumba wewe deal na kulisha familia, mifano hai ipo kabisa. Hawa wanawake ndo mnaokutana nao humo makazini hawana furaha maana nyumbani hakuna furaha, mume hana muda nae wote wana stress za kazini, inabidi a meet end needs za kuprovide part yake. Two bulls in the house🤦🏾‍♀️

My call is for some men to step up.
Protect your ladies, stand up for your families, let your woman know that she has a man inside. Hata kama hujui kutengeneza gari amka asubuhi fungua bonnet shika shika hata betri pale gonga gonga hata kachuma kamoja, shika hata wheel spana kaza tairi yani kuwa busy uone mwanamke anavyo feel.

Wanaume nilikua nasubiri sana zitokee mada za kusema ukweli wa kwanini hali sasa imebadilika naona mnatupia lawama kwenye end result tu hamsemi chimbuko la tatizo. Baadhi yenu mmekulia kwenye maisha tofauti sana so kila mtu ananamna yake ya kuendesha majukumu ya familia yake. Yaani mwanamke anaona bila kupambana hapa watoto wangu hawatasoma. Mwanaume kila akija anasema hajalipwa mshahara of which kwa wengine huwa ni kweli kwa wengine ni njia ya kukwepa majukumu. Nini kitatokea?

I call out for peace humu. Sitegemei heka heka zozote wala nadharia za hawa watoto wa kizazi hiki. Kama huna any positive comment kindly pita tu.

Kwa wanaume ambao wana project masculine energy kudos to you. Hamjui tu ni kiasi gani mwanamke anashuka na kuuvaa ukike mnapo step up. Having a person you can rely on ni nzuri kwa afya zetu🤝

IMG_7334.jpeg
 
Bro kua serious basi yani mwanaume kushindwa kupachika bulb na mke akaweza, huyo mwanaume atadharaulika kwa hilo??
Yaani mwanamke akudharau kisa umeshindwa kubadili tairi la gari??

Basi mwanamke wa hivyo anakua ni kilaza wahead, mi nilidhani utaanza kwa kusema mume ambae hahudumii familia.

Vipi kwa wanaume walemavu? Ambao hawaoni na wameoa mke anaeona, wenye ulemavu wa miguu na wameoa mke mzima, walemavu wa mikono etc hao nao unawaweka kundi gani??

Hizo kazi zina watu wake, binafsi natamani nioe mke mwenye ABC kuhusu afya kwasababu mimi upande huo sipo kabisa, sina nielewalo kuhusu magonjwa, hapo napo mke anidharau kwa kumuita daktari amtibu??

Kuna wanawake ni mechanics, wanajua mengi upande huo kuliko wanaume wengi, mbona umewadharau wanawake namna hiyo kijana, kwamba wao hawawezi kitu bila msaada wa mwanaume??

Mwanaume ni akili sio nguvu, ni kwa namna gani unasolve matatizo yako kiume na sio miguvu ya kufyeka uwanja, kubadili tairi ya gari na bulb.

Na pia usijidanganye kua wale "dad am going" ati sijui wanalelewa vibaya, wakikua watakua na familia mbofu mbofu, ni wivu tu ila deepdown waliolelewa hivyo huishi vyedi almost maisha yao yote.
Kumpa mwanao mikazi migumu sio guarantee ya yeye kuja kua mpambanaji anaweza kua teja, kibaka au mkabaji. Kwenye hili tafuta pesa mwanao aishi kitajiri.
 
Bro kua serious basi yani mwanaume kushindwa kupachika bulb na mke akaweza, huyo mwanaume atadharaulika kwa hilo??
Yaani mwanamke akudharau kisa umeshindwa kubadili tairi la gari??

Basi mwanamke wa hivyo anakua ni kilaza wahead, mi nilidhani utaanza kwa kusema mume ambae hahudumii familia.

Vipi kwa wanaume walemavu? Ambao hawaoni na wameoa mke anaeona, wenye ulemavu wa miguu na wameoa mke mzima, walemavu wa mikono etc hao nao unawaweka kundi gani??

Hizo kazi zina watu wake, binafsi natamani nioe mke mwenye ABC kuhusu afya kwasababu mimi upande huo sipo kabisa, sina nielewalo kuhusu magonjwa, hapo napo mke anidharau kwa kumuita daktari amtibu??

Kuna wanawake ni mechanics, wanajua mengi upande huo kuliko wanaume wengi, mbona umewadharau wanawake namna hiyo kijana, kwamba wao hawawezi kitu bila msaada wa mwanaume??

Mwanaume ni akili sio nguvu, ni kwa namna gani unasolve matatizo yako kiume na sio miguvu ya kufyeka uwanja, kubadili tairi ya gari na bulb.

Na pia usijidanganye kua wale "dad am going" ati sijui wanalelewa vibaya, wakikua watakua na familia mbofu mbofu, ni wivu tu ila deepdown waliolelewa hivyo huishi vyedi almost maisha yao yote.
Kumpa mwanao mikazi migumu sio guarantee ya yeye kuja kua mpambanaji anaweza kua teja, kibaka au mkabaji. Kwenye hili tafuta pesa mwanao aishi kitajiri.
Najua mtabisha lakini nawaambia masculine men wapo wachache sana sana sana sana na hiko ndo kinawafanya wanawake wavue gamba la unyonge waanze wao kujaribu kufanya hivyo vitu ili gurudumu liende. Wakishajaribu tayari wanaume wanakasirika wanakwambia mwanamke anataka kushindana na nature,
Mwanamke anataka kujifananisha na mwanaume. Nani kakwambia wanataka kuwa kama nyinyi?
Mnafika sehemu unakuta mhuni anamkosea heshima mwanamke mbele ya mwanaume wake, mwanaume anashindwa kustep up kwa ajili ya mwanamke wake, anakaa pembeni anasema ye hapendi shari. Hivi hapo huyo mwanamke atafanyaje kama sio kujivika vazi la umasculine na mara nyingi changamoto zinaanziaga hapo.

Wanawake wanajipambania kwasababu mwanaume waliemkabidhi nafasi ya uongozi anashindwa kukaa kwenye nafasi so mwanamke ana feel hayuko protected,

Kila mmoja ana nafasi yake katika uhalisia lakini mmoja anaposhindwa kuisimamia nafasi yake automatically huyu mwanamke itabidi aanze kujipambania mwenyewe. Sijasema hizo ndo sababu pekee zinazofanya mwanamke aone she has to step up zipo nyingi sana na hii kitu haiibuki tu out of nowhere unakuta ni kitu kimejijenga.
Soma tena hiki nilicho quote na nilicho highlight.
Na zingatia neno ‘baadhi’

Naheshimu mawazo yako na nisingeweza kuandika yote kwenye thread moja ndo maana nimechagua vichache tu viwakilishe.

Na nnashukuru ume support point yangu kwa kusema mwanaume ni kutumia akili ya ku solve tatizo. Hapo ndo kwenye tatizo bado, kuna vijana wengi wamelelewa wanafanyiwa kila kitu huyo mtu kaka hana uwezo wa ku solve tatizo kwa haraka ukimlinganisha na mwanaume alie kua akiachiwa afanye mwenyewe tangu mdogo. Nina ushahidi wa watoto wa kitajiri wanalelewa kingangari wanasimamia hadi mali za baba zao kwa weledi kabisa na wale wanaofanyiwa kila kitu ilhali wazazi wao wana uwezo wa kawaida tu. Wanakua wakijua life is all about that. So siongelei utajiri hapa naongelea MALEZI!

Umesema watoto wa daddy im going wana mafanikio sijakataa na sijasema hawana nimetolea mfano tu.

So kindly look at the bigger picture
 
Soma tena hiki nilicho quote na nilicho highlight.
Na zingatia neno ‘baadhi’

Naheshimu mawazo yako na nisingeweza kuandika yote kwenye thread moja ndo maana nimechagua vichache tu viwakilishe.

Na nnashukuru ume support point yangu kwa kusema mwanaume ni kutumia akili ya ku solve tatizo. Hapo ndo kwenye tatizo bado, kuna vijana wengi wamelelewa wanafanyiwa kila kitu huyo mtu kaka hana uwezo wa ku solve tatizo kwa haraka ukimlinganisha na mwanaume alie kua akiachiwa afanye mwenyewe tangu mdogo. Nina ushahidi wa watoto wa kitajiri wanalelewa kingangari wanasimamia hadi mali za baba zao kwa weledi kabisa na wale wanaofanyiwa kila kitu ilhali wazazi wao wana uwezo wa kawaida tu. Wanakua wakijua life is all about that. So siongelei utajiri hapa naongelea MALEZI!

Umesema watoto wa daddy im going wana mafanikio sijakataa na sijasema hawana nimetolea mfano tu.

So kindly look at the bigger picture
Kama ni baadhi sikupingi na hamna ataekupinga ila hizo sababu ni nyepesi sana kwa mwanaume kuwaza kua mke kaanza kumtunishia misuli.
 
Bro kua serious basi yani mwanaume kushindwa kupachika bulb na mke akaweza, huyo mwanaume atadharaulika kwa hilo??
Yaani mwanamke akudharau kisa umeshindwa kubadili tairi la gari??

Basi mwanamke wa hivyo anakua ni kilaza wahead, mi nilidhani utaanza kwa kusema mume ambae hahudumii familia.

Vipi kwa wanaume walemavu? Ambao hawaoni na wameoa mke anaeona, wenye ulemavu wa miguu na wameoa mke mzima, walemavu wa mikono etc hao nao unawaweka kundi gani??

Hizo kazi zina watu wake, binafsi natamani nioe mke mwenye ABC kuhusu afya kwasababu mimi upande huo sipo kabisa, sina nielewalo kuhusu magonjwa, hapo napo mke anidharau kwa kumuita daktari amtibu??

Kuna wanawake ni mechanics, wanajua mengi upande huo kuliko wanaume wengi, mbona umewadharau wanawake namna hiyo kijana, kwamba wao hawawezi kitu bila msaada wa mwanaume??

Mwanaume ni akili sio nguvu, ni kwa namna gani unasolve matatizo yako kiume na sio miguvu ya kufyeka uwanja, kubadili tairi ya gari na bulb.

Na pia usijidanganye kua wale "dad am going" ati sijui wanalelewa vibaya, wakikua watakua na familia mbofu mbofu, ni wivu tu ila deepdown waliolelewa hivyo huishi vyedi almost maisha yao yote.
Kumpa mwanao mikazi migumu sio guarantee ya yeye kuja kua mpambanaji anaweza kua teja, kibaka au mkabaji. Kwenye hili tafuta pesa mwanao aishi kitajiri.
Wewe bulb ikiungua unamuita fundi abadili?
 
Na ndo maana nikasema sio sababu pekee na hazitokei overnight. Unakuta ni kitu kinajijenga. Hawa watu ndani ya nyumba lazima watagombana.

Niulize kivipi?
Kila siku mwanaume anashindwa kufanya vile vitu vya kiume ambavyo mke wake anategemea atavifanya. Unakuta mwanamke anamuuliza why are you like this? Sasa kama hadi hiki nimwite fundi inakuwaje , nimetolea mfano maneno yanaweza kuwa tofauti lakini summary yake huwa ni- step up bro, ndo huyu mwanaume ana tafuta summary ya kusema mwanamke anampanda kichwani anajiona yeye ndo mwanaume kwenye familia. Tena ukute mwanamke anafanya kazi ndo kabisa anapewa jina la feminist.

Na wakitokea wanajamii wakiiskia story ya mwanaume wanaamini huyu mwanamke kweli ni mjeuri hamheshimu mume wake kumbe mwanaume keshasimulia kwa mtazamo wake yeye na huyu mke hawezi kusema kwamba mwanaume wake haoneshi masculine yake inapotakiwa. Who wants to show they have a weak man? No one

Na masculine sio kitandani tu. Wala sio kufoka wala sio kurudi na mchele usiku. It’s the little things. Viki sum up ndo vinamfanya mwanaume awe mwanaume. Sasa vile vikasoro kuna mwanamke anaona kawaida tu, na kuna mda vikizidi mwanamke anaona kama ana baby sit watoto ndani. I don’t know if my point is made clearly lakini changamoto ipo na kwa bahati mbaya wanaozileta mtandaoni sio victims wanawamba ngoma upande wao.

Utakuta mwanamke anaitwa anasemwa kwanini humuheshimu mmeo, anashindwa kujitetea kwasababu the more anavyoelezea the more anavyoonekana ana matatizo. Basi mwanamke ana baki ana maumivu kwamba kwanini mwenzake hamuelewi na ameenda kumgeuzia maneno.

Sasa hutu tuvitu vitu ndo kunafanya heshima ndani inasua sua kwasababu kila siku mnagombana kwasababu ya kitu kimoja.

Hamjawahi kuskia kauli hizi from some women, utaskia “I can’t baby sit my baby and her dad”
Basi ndo maana yake. Yani mwanamke anaona kabisa ana watoto wawili. Yani sababu ni nyingi sana ukifuatilia. Women really love to be in their womanhood changamoto sasa wanaona wakilegea watapotezwa kwasababu ya aina ya watu walio nao. And believe me, hawa watu hawakubaligi makosa yao. Because?! They are men.
Kama ni baadhi sikupingi na hamna ataekupinga ila hizo sababu ni nyepesi sana kwa mwanaume kuwaza kua mke kaanza kumtunishia misuli.
 
Bro ume hit the nail kabisa. Na ndo maana uzi hautembei men are the weakest have ever been in history. Na ndo hii new age ya mitandao inayo sababisha yote haya, wanaume laini laini this is what's causing the imbalance.
Wanawake sio wa kulaumiwa hasa kwenye hili swala la 50/50 ikiwa sisi wanaume tunatakiwa kustep up kama ulivyosema na hili hata lisingeshika tamu kama lilivyo now! Men are weak, kabisa this is true, kuna tafiti moja ilisema masculinity levels zinazidi kushuka with time because system na society hazimkuzi mwanaume kusimama kidete endapo ataface challenges. Mtoto wa kiume hata jembe hajui kushika, ndoo ya lita 20 hatembei nayo hata mita 100, anakula chips na mafuta constantly unategemea ataweza kuhandle familia kweli?
I think ifile mda tuache kulaumu kama wanaume na tuanze kuface reality ya kustep up na kusimama katkia masculinity yetu.
 
Habari ya asubuhi.

Nimekutana na hiki kibonzo mtandaoni nikasema acha ni share

Wanaume wengi sasa wanalalamika wanawake wamekua na elements za u-masculine au wanaonesha ungangari lakini mnajua sababu?

Unakuta mwanaume yupo ndani na mkewe,
Bulb imeungua usiku mwanaume anasema anampigia fundi kwa simu hapatikani so wanalala giza. Bro hawezi kubadilisha bulb.

Wanatembea na gari inapata pancha mwanaume anashika kichwa hajui anafanyaje anamtafuta fundi abduli wa magari hampati safari inaishia hapo.

Najua mtabisha lakini nawaambia masculine men wapo wachache sana sana sana sana na hiko ndo kinawafanya wanawake wavue gamba la unyonge waanze wao kujaribu kufanya hivyo vitu ili gurudumu liende. Wakishajaribu tayari wanaume wanakasirika wanakwambia mwanamke anataka kushindana na nature,
Mwanamke anataka kujifananisha na mwanaume. Nani kakwambia wanataka kuwa kama nyinyi?
Mnafika sehemu unakuta mhuni anamkosea heshima mwanamke mbele ya mwanaume wake, mwanaume anashindwa kustep up kwa ajili ya mwanamke wake, anakaa pembeni anasema ye hapendi shari. Hivi hapo huyo mwanamke atafanyaje kama sio kujivika vazi la umasculine na mara nyingi changamoto zinaanziaga hapo.

Wanawake wanajipambania kwasababu mwanaume waliemkabidhi nafasi ya uongozi anashindwa kukaa kwenye nafasi so mwanamke ana feel hayuko protected,

Kila mmoja ana nafasi yake katika uhalisia lakini mmoja anaposhindwa kuisimamia nafasi yake automatically huyu mwanamke itabidi aanze kujipambania mwenyewe. Sijasema hizo ndo sababu pekee zinazofanya mwanamke aone she has to step up zipo nyingi sana na hii kitu haiibuki tu out of nowhere unakuta ni kitu kimejijenga.

Ngoja niwape mfano, mtoto wa kiume analelewa zile familia za ‘daddy I’m going’ kila kitu anafanyiwa, nguo anafua dada wa kazi hadi akifika chuo, hata nyasi zikiota nyumbani anaitwa kijana wa jirani au houseboy anafanya. Huyu mtu akipata familia yake af ye ndo awe baba lazima utaskia malalamiko na kwa bahati mbaya akikutana na mwanamke wa opposite yake lazima watagombana kwasababu mwanamke anategemea Baba atafanya, baba hafanyi, mwanamke anashika kifaa anajaribu kufanya mwenyewe-tayari anataka kushindana na mwanaume.

Haya unakuta sasa ndo hizi familia zetu za kawaida, kijana amemaliza chuo anategemea kuna kazi za 9-5 atakaa ofisini anajishkiza sehemu kwenye ofisi anatafuta na mke anaoa, bahati mbaya akipoteza ile kazi ndo basi anarudi nyumbani anashinda na playstation ( najua mtabisha lakini hawa watu wapo) wengine wanashinda kwenye simu tu lets say ni kwasababu ya frustration hivi hapo nani atabidi a step up!!
Ili familia iende itabidi yule mwanamke asimame akapambane familia ile na watoto waende shule.

Haya huu ni ukweli ambao wengi hamuutaki, wanaume wengi sasa hivi hawataki wanawake ambao hawana kazi. ‘Utaskia pambana mamie tusaidiane majukumu.’ Seriously. Sasa unakuta wanaume wengine nje wanadhani yule mwanamke ni feminist sijui anataka 50/50 hawajui ndani ya nyumba anaishi na mwanaume wa aina gani. Unakuta mwanaume anasema kabisa mimi nta deal na ada na kodi ya nyumba wewe deal na kulisha familia, mifano hai ipo kabisa. Hawa wanawake ndo mnaokutana nao humo makazini hawana furaha maana nyumbani hakuna furaha, mume hana muda nae wote wana stress za kazini, inabidi a meet end needs za kuprovide part yake. Two bulls in the house🤦🏾‍♀️

My call is for some men to step up.
Protect your ladies, stand up for your families, let your woman know that she has a man inside. Hata kama hujui kutengeneza gari amka asubuhi fungua bonnet shika shika hata betri pale gonga gonga hata kachuma kamoja, shika hata wheel spana kaza tairi yani kuwa busy uone mwanamke anavyo feel.

Wanaume nilikua nasubiri sana zitokee mada za kusema ukweli wa kwanini hali sasa imebadilika naona mnatupia lawama kwenye end result tu hamsemi chimbuko la tatizo. Baadhi yenu mmekulia kwenye maisha tofauti sana so kila mtu ananamna yake ya kuendesha majukumu ya familia yake. Yaani mwanamke anaona bila kupambana hapa watoto wangu hawatasoma. Mwanaume kila akija anasema hajalipwa mshahara of which kwa wengine huwa ni kweli kwa wengine ni njia ya kukwepa majukumu. Nini kitatokea?

I call out for peace humu. Sitegemei heka heka zozote wala nadharia za hawa watoto wa kizazi hiki. Kama huna any positive comment kindly pita tu.

Kwa wanaume ambao wana project masculine energy kudos to you. Hamjui tu ni kiasi gani mwanamke anashuka na kuuvaa ukike mnapo step up. Having a person you can rely on ni nzuri kwa afya zetu🤝

View attachment 3007949
Sasa bro Sina hata jeki Wala spana Moja... Ningebadilisha tairi vp
 
Na ndo maana nikasema sio sababu pekee na hazitokei overnight. Unakuta ni kitu kinajijenga. Hawa watu ndani ya nyumba lazima watagombana.

Niulize kivipi?
Kila siku mwanaume anashindwa kufanya vile vitu vya kiume ambavyo mke wake anategemea atavifanya. Unakuta mwanamke anamuuliza why are you like this? Sasa kama hadi hiki nimwite fundi inakuwaje , nimetolea mfano maneno yanaweza kuwa tofauti lakini summary yake huwa ni- step up bro, ndo huyu mwanaume ana tafuta summary ya kusema mwanamke anampanda kichwani anajiona yeye ndo mwanaume kwenye familia. Tena ukute mwanamke anafanya kazi ndo kabisa anapewa jina la feminist.

Na wakitokea wanajamii wakiiskia story ya mwanaume wanaamini huyu mwanamke kweli ni mjeuri hamheshimu mume wake kumbe mwanaume keshasimulia kwa mtazamo wake yeye na huyu mke hawezi kusema kwamba mwanaume wake haoneshi masculine yake inapotakiwa. Who wants to show they have a weak man? No one

Na masculine sio kitandani tu. Wala sio kufoka wala sio kurudi na mchele usiku. It’s the little things. Viki sum up ndo vinamfanya mwanaume awe mwanaume. Sasa vile vikasoro kuna mwanamke anaona kawaida tu, na kuna mda vikizidi mwanamke anaona kama ana baby sit watoto ndani. I don’t know if my point is made clearly lakini changamoto ipo na kwa bahati mbaya wanaozileta mtandaoni sio victims wanawamba ngoma upande wao.

Utakuta mwanamke anaitwa anasemwa kwanini humuheshimu mmeo, anashindwa kujitetea kwasababu the more anavyoelezea the more anavyoonekana ana matatizo. Basi mwanamke ana baki ana maumivu kwamba kwanini mwenzake hamuelewi na ameenda kumgeuzia maneno.

Sasa hutu tuvitu vitu ndo kunafanya heshima ndani inasua sua kwasababu kila siku mnagombana kwasababu ya kitu kimoja.

Hamjawahi kuskia kauli hizi from some women, utaskia “I can’t baby sit my baby and her dad”
Basi ndo maana yake. Yani mwanamke anaona kabisa ana watoto wawili. Yani sababu ni nyingi sana ukifuatilia. Women really love to be in their womanhood changamoto sasa wanaona wakilegea watapotezwa kwasababu ya aina ya watu walio nao. And believe me, hawa watu hawakubaligi makosa yao. Because?! They are men.
Makosa madogo kama yapi mkuu, labda uwe specific kidogo. What if huyo mwanaume ni kweli hawezi hivyo vitu.
Usigeneralize kua kuna vitu wanaume wote wanaviweza, kuna wanaume wanaogopa mende na hiyo haiondoi uanaume wao ujue.

Kama kitu gani labda ?? Maana kwa nijuavyo ndoa pia inahusisha kubebeana madhaifu yetu.

Huenda ni kweli wanaume wengi wanajua kuendesha pikipiki lakini mimi sijui na nina sababu zangu za kutotaka kujua kuendesha. Hapo utanijudge kwa hiyo dhana yako mkuu.

Nadhani soln hapo ni kutomlazimisha mtu awe vile wewe unataka maana hukumlea wala hukumzaa wewe. Na hapo ndo wanandoa wanapofatakana sana, wanataka mtu abadilie Asap akiolewa/kuoa tu.

Mpe muda, muache awe yeye usimlazimishe awe kama fulani.
 
Bro ume hit the nail kabisa. Na ndo maana uzi hautembei men are the weakest have ever been in history. Na ndo hii new age ya mitandao inayo sababisha yote haya, wanaume laini laini this is what's causing the imbalance.
Wanawake sio wa kulaumiwa hasa kwenye hili swala la 50/50 ikiwa sisi wanaume tunatakiwa kustep up kama ulivyosema na hili hata lisingeshika tamu kama lilivyo now! Men are weak, kabisa this is true, kuna tafiti moja ilisema masculinity levels zinazidi kushuka with time because system na society hazimkuzi mwanaume kusimama kidete endapo ataface challenges. Mtoto wa kiume hata jembe hajui kushika, ndoo ya lita 20 hatembei nayo hata mita 100, anakula chips na mafuta constantly unategemea ataweza kuhandle familia kweli?
I think ifile mda tuache kulaumu kama wanaume na tuanze kuface reality ya kustep up na kusimama katkia masculinity yetu.
Kubeba ndoo ya lita 20 kwa umbali wa mita 100 ndio kipimo cha uanaume??
 
Wewe bulb ikiungua unamuita fundi abadili?
Nabadili mwenyewe.
Babu yangu alikua anamuita fundi abadili maana hiyo taaluma hakua nayo.
Yeye alikua mkulima, kwenye issue yoyote inayohusiana na kilimo aliifanya mwenyewe.
Umeme, mambo ya maji na ujenzi hayo aliita fundi labda sisi wanae na wajuu tuwe na ujuzi nayo.
Na Yes alikua baba baba kweli.
 
Bro ume hit the nail kabisa. Na ndo maana uzi hautembei men are the weakest have ever been in history. Na ndo hii new age ya mitandao inayo sababisha yote haya, wanaume laini laini this is what's causing the imbalance.
Wanawake sio wa kulaumiwa hasa kwenye hili swala la 50/50 ikiwa sisi wanaume tunatakiwa kustep up kama ulivyosema na hili hata lisingeshika tamu kama lilivyo now! Men are weak, kabisa this is true, kuna tafiti moja ilisema masculinity levels zinazidi kushuka with time because system na society hazimkuzi mwanaume kusimama kidete endapo ataface challenges. Mtoto wa kiume hata jembe hajui kushika, ndoo ya lita 20 hatembei nayo hata mita 100, anakula chips na mafuta constantly unategemea ataweza kuhandle familia kweli?
I think ifile mda tuache kulaumu kama wanaume na tuanze kuface reality ya kustep up na kusimama katkia masculinity yetu.
Asante Bro. Japo mimi ni KE.

Huu uzi hauwezi kutembea kwasababu ni ukweli ambao wanaume wengi hawataki kuusema wala kuusikia. wanapenda ku attack wanawake wanaofanya kazi kuwaita feminists na kwamba wanashindana na wanaume. Huwa inanichemsha wakati ukweli upo wazi kabisa.

Nimejaribu tu kuainisha baadhi ya sababu nnazoziona najua wanawake Wengine nao wameona experience kwengine.

Sisi ndo wa kuirudisha nature. Personally mwanaume akinitamkia anataka tugawane majukumu 50/50 namuona ana shida. Let it be automatic I can’t be the second bull in the house. Obviously kuna vitu mwanamke kama anauwezo atafanya tu kama kupamba nyumba, kuhakikisha jiko na vitu viko on point, wageni wakija wakute nyumba safi na chakula kimeandaliwa kwenye mandhari safi yani hivi vyote mwanaume hajui gharama yake lakini ukikuta mwanamke ana kazi yake, ananunua vyombo vya bei mbaya ili wageni wako wakija wapewe chakula kwenye mazingira safi na hata mume anajiskia vizuri. Mfano, mimi mr hajui hata bei ya sahani wala glass za kimjini. alizonunua yeye zile za 3000 moja anaona zinatosha mimi napenda kitu tofauti na nikajua mwanaume anaetunza familia ukimwambia akuletee set ya elegant glass wanauza decanter na glass zake hadi 180,000 lazima mpopoane. Mi sioni ubahili kununua hivyo because it’s my house and I want it classy. Kuna hotpot za laki sita ukimwambia bro anunue anaweza kukupasua😂 mi naelewa kwanini nazitaka hizo wakija ndugu zake ndo nawawekea humo wanamsifia hadi bichwa linataka kupasuka😂 sasa ela yangu hapo hata haiumi kutoa ila ukiniambia tu nilipe bills naona kama unataka unitoe kwenye umama niwe baba lazima pavurugike amani😂 labda awe amekwama na kwa kuwa najua kipato chake wala hatusumbuani. Wanangu wakipendeza na nyumba ikiwaka roho yangu inatulia. Samahani nimekupa mfano wa kike sana ila nilitaka uone ka reality flani.

It’s the little things yani majukumu yanajigawa automatically hata iweje no one can change familia kuwa into 50/50. Wanaume wanatakiwa waturuhusu tuwe In our feminine era. I hope they get to see the point. 🤝
 
Habari ya asubuhi.

Nimekutana na hiki kibonzo mtandaoni nikasema acha ni share

Wanaume wengi sasa wanalalamika wanawake wamekua na elements za u-masculine au wanaonesha ungangari lakini mnajua sababu?

Unakuta mwanaume yupo ndani na mkewe,
Bulb imeungua usiku mwanaume anasema anampigia fundi kwa simu hapatikani so wanalala giza. Bro hawezi kubadilisha bulb.

Wanatembea na gari inapata pancha mwanaume anashika kichwa hajui anafanyaje anamtafuta fundi abduli wa magari hampati safari inaishia hapo.

Najua mtabisha lakini nawaambia masculine men wapo wachache sana sana sana sana na hiko ndo kinawafanya wanawake wavue gamba la unyonge waanze wao kujaribu kufanya hivyo vitu ili gurudumu liende. Wakishajaribu tayari wanaume wanakasirika wanakwambia mwanamke anataka kushindana na nature,
Mwanamke anataka kujifananisha na mwanaume. Nani kakwambia wanataka kuwa kama nyinyi?
Mnafika sehemu unakuta mhuni anamkosea heshima mwanamke mbele ya mwanaume wake, mwanaume anashindwa kustep up kwa ajili ya mwanamke wake, anakaa pembeni anasema ye hapendi shari. Hivi hapo huyo mwanamke atafanyaje kama sio kujivika vazi la umasculine na mara nyingi changamoto zinaanziaga hapo.

Wanawake wanajipambania kwasababu mwanaume waliemkabidhi nafasi ya uongozi anashindwa kukaa kwenye nafasi so mwanamke ana feel hayuko protected,

Kila mmoja ana nafasi yake katika uhalisia lakini mmoja anaposhindwa kuisimamia nafasi yake automatically huyu mwanamke itabidi aanze kujipambania mwenyewe. Sijasema hizo ndo sababu pekee zinazofanya mwanamke aone she has to step up zipo nyingi sana na hii kitu haiibuki tu out of nowhere unakuta ni kitu kimejijenga.

Ngoja niwape mfano, mtoto wa kiume analelewa zile familia za ‘daddy I’m going’ kila kitu anafanyiwa, nguo anafua dada wa kazi hadi akifika chuo, hata nyasi zikiota nyumbani anaitwa kijana wa jirani au houseboy anafanya. Huyu mtu akipata familia yake af ye ndo awe baba lazima utaskia malalamiko na kwa bahati mbaya akikutana na mwanamke wa opposite yake lazima watagombana kwasababu mwanamke anategemea Baba atafanya, baba hafanyi, mwanamke anashika kifaa anajaribu kufanya mwenyewe-tayari anataka kushindana na mwanaume.

Haya unakuta sasa ndo hizi familia zetu za kawaida, kijana amemaliza chuo anategemea kuna kazi za 9-5 atakaa ofisini anajishkiza sehemu kwenye ofisi anatafuta na mke anaoa, bahati mbaya akipoteza ile kazi ndo basi anarudi nyumbani anashinda na playstation ( najua mtabisha lakini hawa watu wapo) wengine wanashinda kwenye simu tu lets say ni kwasababu ya frustration hivi hapo nani atabidi a step up!!
Ili familia iende itabidi yule mwanamke asimame akapambane familia ile na watoto waende shule.

Haya huu ni ukweli ambao wengi hamuutaki, wanaume wengi sasa hivi hawataki wanawake ambao hawana kazi. ‘Utaskia pambana mamie tusaidiane majukumu.’ Seriously. Sasa unakuta wanaume wengine nje wanadhani yule mwanamke ni feminist sijui anataka 50/50 hawajui ndani ya nyumba anaishi na mwanaume wa aina gani. Unakuta mwanaume anasema kabisa mimi nta deal na ada na kodi ya nyumba wewe deal na kulisha familia, mifano hai ipo kabisa. Hawa wanawake ndo mnaokutana nao humo makazini hawana furaha maana nyumbani hakuna furaha, mume hana muda nae wote wana stress za kazini, inabidi a meet end needs za kuprovide part yake. Two bulls in the house🤦🏾‍♀️

My call is for some men to step up.
Protect your ladies, stand up for your families, let your woman know that she has a man inside. Hata kama hujui kutengeneza gari amka asubuhi fungua bonnet shika shika hata betri pale gonga gonga hata kachuma kamoja, shika hata wheel spana kaza tairi yani kuwa busy uone mwanamke anavyo feel.

Wanaume nilikua nasubiri sana zitokee mada za kusema ukweli wa kwanini hali sasa imebadilika naona mnatupia lawama kwenye end result tu hamsemi chimbuko la tatizo. Baadhi yenu mmekulia kwenye maisha tofauti sana so kila mtu ananamna yake ya kuendesha majukumu ya familia yake. Yaani mwanamke anaona bila kupambana hapa watoto wangu hawatasoma. Mwanaume kila akija anasema hajalipwa mshahara of which kwa wengine huwa ni kweli kwa wengine ni njia ya kukwepa majukumu. Nini kitatokea?

I call out for peace humu. Sitegemei heka heka zozote wala nadharia za hawa watoto wa kizazi hiki. Kama huna any positive comment kindly pita tu.

Kwa wanaume ambao wana project masculine energy kudos to you. Hamjui tu ni kiasi gani mwanamke anashuka na kuuvaa ukike mnapo step up. Having a person you can rely on ni nzuri kwa afya zetu🤝

View attachment 3007949
Nmesoma nusu nmeona umeandika utumbo kwa kweli. Hiyo sio sabab kabisa. Ttizo kibonzo umekikuta sehem na ww ume copy kama ulivosema em fanya utaft wa kwako alaf ulete hapa.
 
Back
Top Bottom