Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Habari ya asubuhi.
Nimekutana na hiki kibonzo mtandaoni nikasema acha ni share
Wanaume wengi sasa wanalalamika wanawake wamekua na elements za u-masculine au wanaonesha ungangari lakini mnajua sababu?
Unakuta mwanaume yupo ndani na mkewe,
Bulb imeungua usiku mwanaume anasema anampigia fundi kwa simu hapatikani so wanalala giza. Bro hawezi kubadilisha bulb.
Wanatembea na gari inapata pancha mwanaume anashika kichwa hajui anafanyaje anamtafuta fundi abduli wa magari hampati safari inaishia hapo.
Najua mtabisha lakini nawaambia masculine men wapo wachache sana sana sana sana na hiko ndo kinawafanya wanawake wavue gamba la unyonge waanze wao kujaribu kufanya hivyo vitu ili gurudumu liende. Wakishajaribu tayari wanaume wanakasirika wanakwambia mwanamke anataka kushindana na nature,
Mwanamke anataka kujifananisha na mwanaume. Nani kakwambia wanataka kuwa kama nyinyi?
Mnafika sehemu unakuta mhuni anamkosea heshima mwanamke mbele ya mwanaume wake, mwanaume anashindwa kustep up kwa ajili ya mwanamke wake, anakaa pembeni anasema ye hapendi shari. Hivi hapo huyo mwanamke atafanyaje kama sio kujivika vazi la umasculine na mara nyingi changamoto zinaanziaga hapo.
Wanawake wanajipambania kwasababu mwanaume waliemkabidhi nafasi ya uongozi anashindwa kukaa kwenye nafasi so mwanamke ana feel hayuko protected,
Kila mmoja ana nafasi yake katika uhalisia lakini mmoja anaposhindwa kuisimamia nafasi yake automatically huyu mwanamke itabidi aanze kujipambania mwenyewe. Sijasema hizo ndo sababu pekee zinazofanya mwanamke aone she has to step up zipo nyingi sana na hii kitu haiibuki tu out of nowhere unakuta ni kitu kimejijenga.
Ngoja niwape mfano, mtoto wa kiume analelewa zile familia za ‘daddy I’m going’ kila kitu anafanyiwa, nguo anafua dada wa kazi hadi akifika chuo, hata nyasi zikiota nyumbani anaitwa kijana wa jirani au houseboy anafanya. Huyu mtu akipata familia yake af ye ndo awe baba lazima utaskia malalamiko na kwa bahati mbaya akikutana na mwanamke wa opposite yake lazima watagombana kwasababu mwanamke anategemea Baba atafanya, baba hafanyi, mwanamke anashika kifaa anajaribu kufanya mwenyewe-tayari anataka kushindana na mwanaume.
Haya unakuta sasa ndo hizi familia zetu za kawaida, kijana amemaliza chuo anategemea kuna kazi za 9-5 atakaa ofisini anajishkiza sehemu kwenye ofisi anatafuta na mke anaoa, bahati mbaya akipoteza ile kazi ndo basi anarudi nyumbani anashinda na playstation ( najua mtabisha lakini hawa watu wapo) wengine wanashinda kwenye simu tu lets say ni kwasababu ya frustration hivi hapo nani atabidi a step up!!
Ili familia iende itabidi yule mwanamke asimame akapambane familia ile na watoto waende shule.
Haya huu ni ukweli ambao wengi hamuutaki, wanaume wengi sasa hivi hawataki wanawake ambao hawana kazi. ‘Utaskia pambana mamie tusaidiane majukumu.’ Seriously. Sasa unakuta wanaume wengine nje wanadhani yule mwanamke ni feminist sijui anataka 50/50 hawajui ndani ya nyumba anaishi na mwanaume wa aina gani. Unakuta mwanaume anasema kabisa mimi nta deal na ada na kodi ya nyumba wewe deal na kulisha familia, mifano hai ipo kabisa. Hawa wanawake ndo mnaokutana nao humo makazini hawana furaha maana nyumbani hakuna furaha, mume hana muda nae wote wana stress za kazini, inabidi a meet end needs za kuprovide part yake. Two bulls in the house🤦🏾♀️
My call is for some men to step up.
Protect your ladies, stand up for your families, let your woman know that she has a man inside. Hata kama hujui kutengeneza gari amka asubuhi fungua bonnet shika shika hata betri pale gonga gonga hata kachuma kamoja, shika hata wheel spana kaza tairi yani kuwa busy uone mwanamke anavyo feel.
Wanaume nilikua nasubiri sana zitokee mada za kusema ukweli wa kwanini hali sasa imebadilika naona mnatupia lawama kwenye end result tu hamsemi chimbuko la tatizo. Baadhi yenu mmekulia kwenye maisha tofauti sana so kila mtu ananamna yake ya kuendesha majukumu ya familia yake. Yaani mwanamke anaona bila kupambana hapa watoto wangu hawatasoma. Mwanaume kila akija anasema hajalipwa mshahara of which kwa wengine huwa ni kweli kwa wengine ni njia ya kukwepa majukumu. Nini kitatokea?
I call out for peace humu. Sitegemei heka heka zozote wala nadharia za hawa watoto wa kizazi hiki. Kama huna any positive comment kindly pita tu.
Kwa wanaume ambao wana project masculine energy kudos to you. Hamjui tu ni kiasi gani mwanamke anashuka na kuuvaa ukike mnapo step up. Having a person you can rely on ni nzuri kwa afya zetu🤝
Nimekutana na hiki kibonzo mtandaoni nikasema acha ni share
Wanaume wengi sasa wanalalamika wanawake wamekua na elements za u-masculine au wanaonesha ungangari lakini mnajua sababu?
Unakuta mwanaume yupo ndani na mkewe,
Bulb imeungua usiku mwanaume anasema anampigia fundi kwa simu hapatikani so wanalala giza. Bro hawezi kubadilisha bulb.
Wanatembea na gari inapata pancha mwanaume anashika kichwa hajui anafanyaje anamtafuta fundi abduli wa magari hampati safari inaishia hapo.
Najua mtabisha lakini nawaambia masculine men wapo wachache sana sana sana sana na hiko ndo kinawafanya wanawake wavue gamba la unyonge waanze wao kujaribu kufanya hivyo vitu ili gurudumu liende. Wakishajaribu tayari wanaume wanakasirika wanakwambia mwanamke anataka kushindana na nature,
Mwanamke anataka kujifananisha na mwanaume. Nani kakwambia wanataka kuwa kama nyinyi?
Mnafika sehemu unakuta mhuni anamkosea heshima mwanamke mbele ya mwanaume wake, mwanaume anashindwa kustep up kwa ajili ya mwanamke wake, anakaa pembeni anasema ye hapendi shari. Hivi hapo huyo mwanamke atafanyaje kama sio kujivika vazi la umasculine na mara nyingi changamoto zinaanziaga hapo.
Wanawake wanajipambania kwasababu mwanaume waliemkabidhi nafasi ya uongozi anashindwa kukaa kwenye nafasi so mwanamke ana feel hayuko protected,
Kila mmoja ana nafasi yake katika uhalisia lakini mmoja anaposhindwa kuisimamia nafasi yake automatically huyu mwanamke itabidi aanze kujipambania mwenyewe. Sijasema hizo ndo sababu pekee zinazofanya mwanamke aone she has to step up zipo nyingi sana na hii kitu haiibuki tu out of nowhere unakuta ni kitu kimejijenga.
Ngoja niwape mfano, mtoto wa kiume analelewa zile familia za ‘daddy I’m going’ kila kitu anafanyiwa, nguo anafua dada wa kazi hadi akifika chuo, hata nyasi zikiota nyumbani anaitwa kijana wa jirani au houseboy anafanya. Huyu mtu akipata familia yake af ye ndo awe baba lazima utaskia malalamiko na kwa bahati mbaya akikutana na mwanamke wa opposite yake lazima watagombana kwasababu mwanamke anategemea Baba atafanya, baba hafanyi, mwanamke anashika kifaa anajaribu kufanya mwenyewe-tayari anataka kushindana na mwanaume.
Haya unakuta sasa ndo hizi familia zetu za kawaida, kijana amemaliza chuo anategemea kuna kazi za 9-5 atakaa ofisini anajishkiza sehemu kwenye ofisi anatafuta na mke anaoa, bahati mbaya akipoteza ile kazi ndo basi anarudi nyumbani anashinda na playstation ( najua mtabisha lakini hawa watu wapo) wengine wanashinda kwenye simu tu lets say ni kwasababu ya frustration hivi hapo nani atabidi a step up!!
Ili familia iende itabidi yule mwanamke asimame akapambane familia ile na watoto waende shule.
Haya huu ni ukweli ambao wengi hamuutaki, wanaume wengi sasa hivi hawataki wanawake ambao hawana kazi. ‘Utaskia pambana mamie tusaidiane majukumu.’ Seriously. Sasa unakuta wanaume wengine nje wanadhani yule mwanamke ni feminist sijui anataka 50/50 hawajui ndani ya nyumba anaishi na mwanaume wa aina gani. Unakuta mwanaume anasema kabisa mimi nta deal na ada na kodi ya nyumba wewe deal na kulisha familia, mifano hai ipo kabisa. Hawa wanawake ndo mnaokutana nao humo makazini hawana furaha maana nyumbani hakuna furaha, mume hana muda nae wote wana stress za kazini, inabidi a meet end needs za kuprovide part yake. Two bulls in the house🤦🏾♀️
My call is for some men to step up.
Protect your ladies, stand up for your families, let your woman know that she has a man inside. Hata kama hujui kutengeneza gari amka asubuhi fungua bonnet shika shika hata betri pale gonga gonga hata kachuma kamoja, shika hata wheel spana kaza tairi yani kuwa busy uone mwanamke anavyo feel.
Wanaume nilikua nasubiri sana zitokee mada za kusema ukweli wa kwanini hali sasa imebadilika naona mnatupia lawama kwenye end result tu hamsemi chimbuko la tatizo. Baadhi yenu mmekulia kwenye maisha tofauti sana so kila mtu ananamna yake ya kuendesha majukumu ya familia yake. Yaani mwanamke anaona bila kupambana hapa watoto wangu hawatasoma. Mwanaume kila akija anasema hajalipwa mshahara of which kwa wengine huwa ni kweli kwa wengine ni njia ya kukwepa majukumu. Nini kitatokea?
I call out for peace humu. Sitegemei heka heka zozote wala nadharia za hawa watoto wa kizazi hiki. Kama huna any positive comment kindly pita tu.
Kwa wanaume ambao wana project masculine energy kudos to you. Hamjui tu ni kiasi gani mwanamke anashuka na kuuvaa ukike mnapo step up. Having a person you can rely on ni nzuri kwa afya zetu🤝