Nafasi ya Mwanaume katika Jamii

Nmesoma nusu nmeona umeandika utumbo kwa kweli. Hiyo sio sabab kabisa. Ttizo kibonzo umekikuta sehem na ww ume copy kama ulivosema em fanya utaft wa kwako alaf ulete hapa.
KASHESHE🤣 kiswahili ni kazi sana Mungu akasaidie wanao utakao wazaa.
Na maisha nayo utakua unayachukulia nusu nusu hivyo hivyo
 
What a https://jamii.app/JFUserGuide?

Naunga hoja kwa mikono miwili na miguu pia
 
So right, unajua kuwa na perspectives kama zako kwa wanawake wengi ni ngumu sana kuwa nazo unless awe amesoma na ana emotiona maturity! Ila ukweli unafaa sana I wish kungekua na wanawake wa namna hii wengi, and facts you can't be the second bull lol 😂, kuna parts ambazo kila part inapaswa kuplay. At the same time mm naona mutual partnership ni kitu nadra sana kukipata maana watu wamevurugwa hata wewe pia umesema swala la bills linakuumiza which is wrong! Kama una nafasi, Ila yote kwa yote mwanaume anapaswa kustep up mwanamke anapaswa pia kustep up kwenye ku nurture na kutunza familia.
 
Mkuu acha kuwa ignorant! Sijasema ndo kipimo nimetolea mfano tu kuonesha jinsi mambo yalivyo!
Hiyo pia nimeitolea mfano maana comment yako imemhusisha mwanaume na nguvu moja kwa moja.
Vipi mlemavu wa miguu/mikono asieweza kusogeza hizo ndoo, sio mwanaume?? Au kapoteza hiyo masculinity?

Chipsi zina uhusiano gani na masculinity, guys hebu kuweni serious basi? Ni makosa mwanaume kula chipsi? Kwanini ??
 
Asante sana mkuu.

Nashukuru pia kama umeweza kuona all this positively and in a bigger picture.

Na niwe mkweli mimi hakuna kitu kinani frustrate kama kuwa two bulls in the house I will feel weak. Nataka kaka mkuu awe strong haswa. sasa ili niwe chini tunaanza kwenye majukumu😂 niache nifanye yangu kwa nafasi yangu. We fanya yako kwa nafasi yako. that is really my toxic trait nahisi ni weakness labda mniseme mnirekebishe hata kama ntabisha ila ntajua mnanisaidia😂 na wanavyosemaga ela ya mwanamke hawajui inaenda wapi huwa hawakosei ila vitu tunavyofanya huwa havionekani kwasababu havihusiani na kulipa bills, kununua vyakula vya familia au ada. Ila deep down wababa wanatakiwa waelewe we are their supporters big time.
 
Umeongea jambo zuri sana yaan hadi nimekupenda madam

Kiukweli wanawake wameumbwa kutunzwa na kulelewa hii kuwapa majukumu ya familia ni basi tu,,,lkn wanawake ni watu wa kuhudumiwa huo ndio ukweli

Watafanya majukumu lakini kwa shingo upande na wanaweza kuonekana wapo okay na hilo lkn deep down wanaumia sana kwasababu it's not their nature

Walau basi wajitolee wenyewe kufanya hivyo kwa mapenzi yao lkn sio umpangie kwamba this time utacover moja mbili tatu hapana ni uongo

Lkn jambo la pili nakubaliana na wewe kabisa kuna malezi ambayo vijana wanalelewa na kuwafanya kuwa walaini sana,yaani hawajui kufua,kufanya kazi ndogo ndogo tangu wakiwa wadogo matokeo yake ukubwani wanashindwa kufanya hata vitu vidogo tu

Binafsi nashukuru tangu udogoni nilikuwa naambiwa nijitume kufanya mambo bila kuambiwa na mzee wangu,,leo hii naweza safisha hata mazingira yanayotuzunguka sio kwangu tu hata karibu na jirani yangu nikiona kuna uchafu kwakuwa nataka mazingira yawe safi

Leo hii kuna mabinti ambao walidekezwa huko udogoni hata kupika hawajui,matokeo yake wanaolewa wanategemea mahouse girl ndio wasimamie show

Kifupi malezi toka udogoni ni jambo zuri mno,wazazi hata kama nyumbani kuna house boy na house girl hakikisha siku moja moja wanao wanafanya kazi ndogo ndogo ili uwajengee msingi bora mbele ya safari
 
You have always been the best. Thank you🤝

Yani inawezekana tunakosea ila ni nature.

Hatufanyi kazi ili tuwakomeshe au vipi. Yani mimi nataka nitoke kazini nikikutana na mboga ya kununua nipitie, nimeona shati zuri kwa ajili ya Baba watoto nichukue. Wanangu wavae vizuri, it’s alot. Niweze kushiriki shughuli za kijamii ili ku maintain social connection ambazo baba mda mwingi anakua hana.

Yani ni ile
Financial freedom tu ndo tunayoitamani. Hatupendi kusumbua wababa kuhusu mahitaji yetu ila tunapenda watuspoil. Wanaume wengi wakielewa hili kutakua na amani sana
 
Kwanini isiwe bills, hapo ndo unapofeli sasa! What is with bills that frustrates you? Kama unanafasi lipa that's true companionship sio sasa eti kwa sababu wewe ni mwanamke hupaswi. Nimeanza kuona kumbe na wewe ni walewalle tu kasoro tarehe🤣
 
Kwanini isiwe bills, hapo ndo unapofeli sasa! What is with bills that frustrates you? Kama unanafasi lipa that's true companionship sio sasa eti kwa sababu wewe ni mwanamke hupaswi. Nimeanza kuona kumbe na wewe ni walewalle tu kasoro tarehe🤣
Sio kwamba hatutoi, tunataka iwe automatic na sio mwanaume aiweke kimpangilio kwamba lazima tulipe ada sijui kodi.

Si ndo tunahofia hiyo 50/50 wanayotafsiri ni feminism wakati sio. Yani inaonekana kama tunachuana. Napenda mwanaume anizidi kila kitu.

Huwezi amini bro. Sisi tunaotoa kidogo kidogo bado ni kubwa haionekani tu.
 
Kubadili bulb ni taaluma au common sense?

Unabisha Bure tu ila kwenye huu uzi jamaa katoa madini sana
 
It depends na situation huwezi nambia unapata mshahara mnono na ninajua kabisa you can afford to do something then usingizie you are a woman. Japo I know it's not fair to push women to do so, ila nitajua if she can afford it or not. Alaf hio statement ya kusema mwanaume akuzidi kila kitu tyr inaonesha umeleta uzi for your own benefits ili ku feed mitazamo yako, mwanaume sio roboti wa kufulfil kila kitu ndo maana akatafta mwenza
 
Okay...
 
Ooh I understand you.
Basi kuna kasehemu kadogo tu tumepishana.
Sio kwamba tusitoe because we are women. No. Tunafanya lakini havionekani kwasababu men’s point of view kwenye responsibilities zime rely kwenye majukumu wanayoyaona, sisi tuna base kwenye vile ambavyo sio rahisi mwanaume kuona mfano ndo hivyo wageni wamekuja na Baba hayupo, kuna vitu wanawake tunafanya wanaume hawajuagi basi tu. Mfano tunanunua mashuka mapya, tunaextend our budgets ili ku accomodate wale wageni hata kama ni wakwe.

We do but men create expectations ambazo huwa zinaleta shida. Nikupe mfano.
Nna rafiki yangu alikua anafanya kazi ya mshahara wa laki saba take home. Mumewe ana mshahara wa almost 3.8m. Na biashara kubwa sana. Mwanaume alimwambia mkewe a deal na kununua vyakula ndani mwezi mzima kwasababu anafanya kazi ili yeye adeal na kulipa ada ya mtoto. So yule dada akawa anatumia 300000 mafuta ya kwenda kazini. 300,000 mahitaji ya nyumbani na kulipa mishahara wafanyakazi wawili. Anafika week ya tatu ya mwezi mshahara wake umeisha akimuomba mwanaume anamuuliza umeufanyia nini mshahara wote ule. You see where the thing comes?
 
I see it! Ndo maana nikasema I'll know if she can afford, if that's your point upo sahihi kabisa alot of men hawalioni hilo, that's why inabidi kuwe na openness sio mwanaume hajui hela ya mke inaingiaje na inatumikaje vivyo hivyo kwa mwanamke. Ila mimi najua kuna wanawake hawapo hivyo anapata hio laki 6 na bado hela ya mafuta anaomba huo ni ujinga hat mm sikubali
 
Haka kamstari ka mwisho kame ‘kompliketi’ bro😂 sasa akitafta mwenza ndo atamsaidia kwenye bills? Au atamuongezea

Ndo maana mwanzo nika declare kabisa mimi hiyo ni weakness yangu huwa napenda hata kama nna kazi ina mshahara wa kawaida nifanye uhuru wa kununua vitu nyumbani bila kuwa pushed. Nahisi ni ile feminine feeling tu ya kupenda kuamini kwamba Baba anaweza au sijui ndo kudeka ndo maana nikasema kama ni mbaya labda ndo ntajirekebisha ila huwa tunapenda sana Baba wa familia atuzidi kila kitu hadi uwezo wa kufikiri yani tuna feel very secure. Unakuta kabisa nakijua kitu flani ila naskia raha nimuulize aseme haya ngoja nikuelekeze sasa. Imagine unarudi nyumbani unamkuta mwanamke anaidadavua engine ya gari kama ametengeneza yeye😂 mwanaume unajiskiaje? Au wazazi wako wamekuja mwanamke anaamka asabuhi anaongea hivi ‘ yani humu ndani nanunua sukari kilo moja haifiki siku ya pili nimechoka. Yani nanunua vyakula hamjali mnavitapanya’ inaleta picha gani kwa ndugu zako?

Believe me hii ni from the deepest part naisema tunapenda sana sana sana Mume atuzidi kila kitu! Inatufanya tuuache ungangari. Hiyo ya ku share bills ni makubaliano sasa kati ya mume na mke.
 
Okay we are on the same page. Hiyo mshahara wa laki sita na anaomba ya mafuta si aelezee ameimalizaje haina shida kumwambia mume kwamba nilifanya hiki na hiki nimeishiwa naomba ni boost next time ntajitahidi kubalance budget. I think itakua poa zaidi
 
Mwanamke akitaka kuwa mwanaume unamuacha awe, ni nafasi ambayo wengi hawajui sacrifices zake so wanataka waonyeshe kuwa wanaweza kufanya.

Ila trust me, ni swala la muda tu wanashindwa na kutamani kuwa wanawake tena.

Wanaume wengi wanapambana sana kwa ajili ya familia zao, mambo ya fixing bulbs n the like ni maneno yasiyo na maana yoyote. Asipofix kitu fulani wapo watakaofanya badala yake, kwa sababu wapo. Masculinity is measured as to how a man protects, cares and nurtures his family.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…