Nafasi ya Waziri Mkuu wa Uingereza ni Liz Truss vs Rishi Sunak. Unapenda nani awe PM?

Nafasi ya Waziri Mkuu wa Uingereza ni Liz Truss vs Rishi Sunak. Unapenda nani awe PM?

Bila kupoteza mda twende kwenye mada.

Kinyang'anyiro cha Nafasi ya Kuwa PM wa Uingereza ni Kati ya hao wawili baada ya kufanyika Mchujo..

Binafsi napenda Liz Truss ashinde kwa sababu zifuatazo..

1. Amekuwa bega kwa bega na Boris Johnson kama Foreign Minister kuwanyoonya Russia ndio maana walishangilia baada ya Kukiuzulu..

2. Ni Rais mwenye asili ya Uingereza ukilinganisha na mshindani wake..

3. Ni Mwanamke jasiri so she will make a good pair with Madam President SSH..

4.Waingereza wa Kawaida wanapendelea Liz Truss tofauti na wale mabwanhenye.

5. Wahindi hawaaminiki kwenye mambo magumu kama Vita, kiufupi wao ni mdebwedo,so huyo mhindi abakie kuwa Chancellor of Exchaquer.

Nini mtizamo wako? 👇
Madam Liz Truss ndo mpango mzima✔️
 
Bila kupoteza mda twende kwenye mada.

Kinyang'anyiro cha Nafasi ya Kuwa PM wa Uingereza ni Kati ya hao wawili baada ya kufanyika Mchujo..

Binafsi napenda Liz Truss ashinde kwa sababu zifuatazo..

1. Amekuwa bega kwa bega na Boris Johnson kama Foreign Minister kuwanyoonya Russia ndio maana walishangilia baada ya Kukiuzulu..

2. Ni Rais mwenye asili ya Uingereza ukilinganisha na mshindani wake..

3. Ni Mwanamke jasiri so she will make a good pair with Madam President SSH..

4.Waingereza wa Kawaida wanapendelea Liz Truss tofauti na wale mabwanhenye.

5. Wahindi hawaaminiki kwenye mambo magumu kama Vita, kiufupi wao ni mdebwedo,so huyo mhindi abakie kuwa Chancellor of Exchaquer.

Nini mtizamo wako? 👇

Hivi waziri mkuu wa Uingereza ananihusu nini kama Mtanzania? Uwe unafikiria mara mbili kabla ya kuleta humu nyuzi🚮
 
Hivi waziri mkuu wa Uingereza ananihusu nini kama Mtanzania? Uwe unafikiria mara mbili kabla ya kuleta humu nyuzi🚮
Taahira wewe,ulitishiwa kuingizwa ukuni wa kiume ndo ukaja kuchangia utumbo?

Pita kushoto.
Hivi waziri mkuu wa Uingereza ananihusu nini kama Mtanzania? Uwe unafikiria mara mbili kabla ya kuleta humu nyuzi🚮
 
Acha uongo lini wewe umeongea na hao waingereza
Ungesoma makala ya hilo gazeti ndio ungeelewa..

Lizi Truss ,Mwanamke wa Shoka aweka msimamo hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220731-133855.png
    Screenshot_20220731-133855.png
    93.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220802-073943.png
    Screenshot_20220802-073943.png
    96.8 KB · Views: 5
Mashabiki wa Liz tumepata uungwaji mkono muhimu kutoka kwa Penny ambae alikuwa namba 3 kwenye kura za Maoni na mshindani mkuu wa Liz.

Ushindi sasa ni nje nje,kanjibai aendelee kuuza nyanya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220802-073943.png
    Screenshot_20220802-073943.png
    96.8 KB · Views: 4
Bila kupoteza mda twende kwenye mada.

Kinyang'anyiro cha Nafasi ya Kuwa PM wa Uingereza ni Kati ya hao wawili baada ya kufanyika Mchujo..

Binafsi napenda Liz Truss ashinde kwa sababu zifuatazo..

1. Amekuwa bega kwa bega na Boris Johnson kama Foreign Minister kuwanyoonya Russia ndio maana walishangilia baada ya Kukiuzulu..

2. Ni Rais mwenye asili ya Uingereza ukilinganisha na mshindani wake..

3. Ni Mwanamke jasiri so she will make a good pair with Madam President SSH..

4.Waingereza wa Kawaida wanapendelea Liz Truss tofauti na wale mabwanhenye.

5. Wahindi hawaaminiki kwenye mambo magumu kama Vita, kiufupi wao ni mdebwedo,so huyo mhindi abakie kuwa Chancellor of Exchaquer.

Nini mtizamo wako? 👇
Umechafua sridi ulipoweka hiyo chuya sijui SSH... umeonekana wa hovyo.

Mwisho uingereza haitafuti Rais.
 
Back
Top Bottom