Nafasi ya Waziri Mkuu wa Uingereza ni Liz Truss vs Rishi Sunak. Unapenda nani awe PM?

Madam Liz Truss ndo mpango mzima✔️
 

Hivi waziri mkuu wa Uingereza ananihusu nini kama Mtanzania? Uwe unafikiria mara mbili kabla ya kuleta humu nyuzi🚮
 
Hivi waziri mkuu wa Uingereza ananihusu nini kama Mtanzania? Uwe unafikiria mara mbili kabla ya kuleta humu nyuzi🚮
Taahira wewe,ulitishiwa kuingizwa ukuni wa kiume ndo ukaja kuchangia utumbo?

Pita kushoto.
Hivi waziri mkuu wa Uingereza ananihusu nini kama Mtanzania? Uwe unafikiria mara mbili kabla ya kuleta humu nyuzi🚮
 
Acha uongo lini wewe umeongea na hao waingereza
Ungesoma makala ya hilo gazeti ndio ungeelewa..

Lizi Truss ,Mwanamke wa Shoka aweka msimamo hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220731-133855.png
    93.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220802-073943.png
    96.8 KB · Views: 5
Mashabiki wa Liz tumepata uungwaji mkono muhimu kutoka kwa Penny ambae alikuwa namba 3 kwenye kura za Maoni na mshindani mkuu wa Liz.

Ushindi sasa ni nje nje,kanjibai aendelee kuuza nyanya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220802-073943.png
    96.8 KB · Views: 4
Umechafua sridi ulipoweka hiyo chuya sijui SSH... umeonekana wa hovyo.

Mwisho uingereza haitafuti Rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…