Amekuoa na bado anakudanganya[emoji23]Nimetoka kuchati na Jamaa wa NBS ambaye yupo kwenye Ngazi ya kutaifa..amenioa ukweli wote ..Semina inaanza tarehe 27 mwezi huu..hivyo majina hayana wiki moja mbele yanatoka
Amekuoa????Nimetoka kuchati na Jamaa wa NBS ambaye yupo kwenye Ngazi ya kutaifa..amenioa ukweli wote ..Semina inaanza tarehe 27 mwezi huu..hivyo majina hayana wiki moja mbele yanatoka
Unajua kama itakuwa ni haki yake kupsta atapata ila sio kumbeba sensa ni zoezi zito Sana Yani kosa za kuacha kumwesabu mtu ni kupoteza taifa na ulimwengu kwenye mipango ya maendeleoUnakuta mtu unajuana naye alafu vigezo na interview kapiga vizuri asipopita ndio utakuwa wewe unatafuta chuki
NBS hawako na manpower ya kucover vijiji na mitaa yote ya Tanzania.Hivi hii issue ya watendaji kata sijui mtaa kuhusika katika zoezi la usahili mmeitoa wapi?
Wakati NBS wao walikwishasema kwamba watakaohusika kwenye kufanya usaili ni wataalamu kutoka chuo cha takwimu...
Nilivyoelewa mimi katika barua yao ya juzi ni kwamba watendaji wa mtaa na kata watajumuika katika yale mafunzo ya siku 21 kwa nafasi zao ili waweze kusimamia vyema zoezi la sensa katika maeneo yao.... hii ina maana watendaji na wale waombaji hawana tofauti kwenye ufahamu wao kuhusu zoezi, sasa kama ndivyo wanawezaje kukufanyia usaili?
Acheni kusumbua watendaji maana na wao hawajui chochote ila tu wao wamepewa gurantee ya kukomba ile 1M bila milolongo.
Msipokuwa makini mtaliwa hizo kumi zenu na msijue mnazidai vipi.
Hapo wangeupa tu mfumo uchambue mbona dakika chache watu weshajua mbivu na mbichi, kigezo kikubwa ni elimu ya sekondari, hapo unauagiza tu nichukulie kwanza Div 1 then 2 kisha 3 na mwisho 4 kama watakuwa hawajatimia...[emoji23]Unajua kama itakuwa ni haki yake kupsta atapata ila sio kumbeba sensa ni zoezi zito Sana Yani kosa za kuacha kumwesabu mtu ni kupoteza taifa na ulimwengu kwenye mipango ya maendeleo
Tena nyingi sanaZipo aisee niamini mimi
Ushatoka lindoMbona majina yameshatoka
Nimekuta hiyo mtandaoni ila haifungukiMbona majina yameshatoka
Kabisa, itqkua na tako kashatoaAmekuoa na bado anakudanganya[emoji23]
Acha zako sungura topeMbona majina yameshatoka
Upo tayari kupokea jina lako jipya? Au umeshaondoka ulipokaa.ikipita tar.5 July 2022 na majina ya sensa hayajatoka mniite mbwa nipo nimekaa palee[emoji117][emoji117][emoji117]
Hapo asifikiriwe na afikiriwe kutaenda na watu wengi kma ni kweli asee [emoji2960]Vigezo walivyotumia kukata majina ya waombaji ni
1. Sahihi ya mwombaji kutowekwa
2. Waombaji kuweka living certificate
3. Sahihi za wadhamini kutowekwa
4. Kutokata sehemu waliyoandika afikiriwe ama asifikiriwe.
5. Kutoweka mhuri wa mtendaji yeyote kata au kijiji.
NB. nenda uangalie copy za form yako ukiona umenusurika na hivyo vigezo ujue jina litatoka.
Asee hatarii na huwa visababu vidogo kma hivyo ndiyo hupunguza watuHapo Kwa Afikiriwe/Asifikiriwe ni sehemu ya Mtendaji, na wengi sana hawajakatiwa hapo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Apo anaetakiwa kujaza ni WEO, kosa sio lako.Asee hatarii na huwa visababu vidogo kma hivyo ndiyo hupunguza watu