Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Unakuta mtu unajuana naye alafu vigezo na interview kapiga vizuri asipopita ndio utakuwa wewe unatafuta chuki
Unajua kama itakuwa ni haki yake kupsta atapata ila sio kumbeba sensa ni zoezi zito Sana Yani kosa za kuacha kumwesabu mtu ni kupoteza taifa na ulimwengu kwenye mipango ya maendeleo
 
maswali ya usahili
sensa ni nini? , ni swali rahisi ila litakata wengi

Umejiandaaje /jipangaje kufanikisha zoezi la
sensa?

Je unauzoefu wowote ktk kukusanya takwimu yoyote? swali rahisi ila lita wabwaga wengi ( unaweza jibu Aghalabu nimeshawahi kusanya takwimu za mifugo nyumbani , pia shuleni kukusanya idadi ya wanafunzi wenzangu, ila kupitia semina nitajifunza na kupata maarifa sahihi ili kukamilisha zoezi hili la sensa)
 
Hivi hii issue ya watendaji kata sijui mtaa kuhusika katika zoezi la usahili mmeitoa wapi?

Wakati NBS wao walikwishasema kwamba watakaohusika kwenye kufanya usaili ni wataalamu kutoka chuo cha takwimu...

Nilivyoelewa mimi katika barua yao ya juzi ni kwamba watendaji wa mtaa na kata watajumuika katika yale mafunzo ya siku 21 kwa nafasi zao ili waweze kusimamia vyema zoezi la sensa katika maeneo yao.... hii ina maana watendaji na wale waombaji hawana tofauti kwenye ufahamu wao kuhusu zoezi, sasa kama ndivyo wanawezaje kukufanyia usaili?

Acheni kusumbua watendaji maana na wao hawajui chochote ila tu wao wamepewa gurantee ya kukomba ile 1M bila milolongo.

Msipokuwa makini mtaliwa hizo kumi zenu na msijue mnazidai vipi.
NBS hawako na manpower ya kucover vijiji na mitaa yote ya Tanzania.
 
Unajua kama itakuwa ni haki yake kupsta atapata ila sio kumbeba sensa ni zoezi zito Sana Yani kosa za kuacha kumwesabu mtu ni kupoteza taifa na ulimwengu kwenye mipango ya maendeleo
Hapo wangeupa tu mfumo uchambue mbona dakika chache watu weshajua mbivu na mbichi, kigezo kikubwa ni elimu ya sekondari, hapo unauagiza tu nichukulie kwanza Div 1 then 2 kisha 3 na mwisho 4 kama watakuwa hawajatimia...[emoji23]
 
Vigezo walivyotumia kukata majina ya waombaji ni
1. Sahihi ya mwombaji kutowekwa
2. Waombaji kuweka living certificate
3. Sahihi za wadhamini kutowekwa
4. Kutokata sehemu waliyoandika afikiriwe ama asifikiriwe.
5. Kutoweka mhuri wa mtendaji yeyote kata au kijiji.

NB. nenda uangalie copy za form yako ukiona umenusurika na hivyo vigezo ujue jina litatoka.
Hapo asifikiriwe na afikiriwe kutaenda na watu wengi kma ni kweli asee [emoji2960]
 
Back
Top Bottom