Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kilichobadilika ni mfumo tu wa kutoka sensa ya analojia na kuwa sensa ya kidigitali lkn taaratibu zote za ufanyikaji wa Sensa ni zilezile. Tuache kuzungumza/kuongea tusiyoyajuwa.
Kwahiyo watendaji hawahisiki kwenye huo usaili mkuu??
 
Hivi hii issue ya watendaji kata sijui mtaa kuhusika katika zoezi la usahili mmeitoa wapi?

Wakati NBS wao walikwishasema kwamba watakaohusika kwenye kufanya usaili ni wataalamu kutoka chuo cha takwimu...

Nilivyoelewa mimi katika barua yao ya juzi ni kwamba watendaji wa mtaa na kata watajumuika katika yale mafunzo ya siku 21 kwa nafasi zao ili waweze kusimamia vyema zoezi la sensa katika maeneo yao.... hii ina maana watendaji na wale waombaji hawana tofauti kwenye ufahamu wao kuhusu zoezi, sasa kama ndivyo wanawezaje kukufanyia usaili?

Acheni kusumbua watendaji maana na wao hawajui chochote ila tu wao wamepewa gurantee ya kukomba ile 1M bila milolongo.

Msipokuwa makini mtaliwa hizo kumi zenu na msijue mnazidai vipi.
Aisee umenifungua macho ndgu yangu.
Mtendaji alikua anaenda kulamba bia za bure bure tu.
Namba yake ilikua tayari hapa kumbe nae anasubiri maelekezo toka juu tu.
 
Kwahiyo watendaji hawahisiki kwenye huo usaili mkuu??
Mwanzoni taarifa zilisema usaili utasimamiwa na watu wa takwimu kupitia kwenye kata na wilayani, lkn mpaka kufikia muda huu siku zimeisha tayari, lolote laweza kutokea. Mana hata hao watendaji mpaka muda huu hawana tofauti na wewe hawajui chochote kinachoendelea.
 
Mwanzoni taarifa zilisema usaili utasimamiwa na watu wa takwimu kupitia kwenye kata na wilayani, lkn mpaka kufikia muda huu siku zimeisha tayari, lolote laweza kutokea. Mana hata hao watendaji mpaka muda huu hawana tofauti na wewe hawajui chochote kinachoendelea.
Sio kweli,watendaji wana taarifa sema labda wako wewe hataki kukwambia ukweli
Ila majina hayatoki hata wiki ijayo kuanzia tarehe 20 ukoooo.
 
Mwanzoni taarifa zilisema usaili utasimamiwa na watu wa takwimu kupitia kwenye kata na wilayani, lkn mpaka kufikia muda huu siku zimeisha tayari, lolote laweza kutokea. Mana hata hao watendaji mpaka muda huu hawana tofauti na wewe hawajui chochote kinachoendelea.
Aisee nimekomboka ndgu yangu.
Mi nilidhani watendaji ndo kila kitu, wao ndo wameshika fyekeo.
 
Aisee nimekomboka ndgu yangu.
Mi nilidhani watendaji ndo kila kitu, wao ndo wameshika fyekeo.
Hata kama usaili ungefanyika kata bado walikuwa hawana mandate ya kuamua yupi achagukiwe au yupi asichaguliwe, Usaili ungesimamiwa na watu wa takwimu yeye angekuwepo kwenye panel kama mwenyeji wao tu.
 
Back
Top Bottom