Wamechoka kuwapigia ramli watu ambao hata ratiba yao wenyewe wanashindwa kuifata!Leo kijiwe kimepoa au kuna watu wanaliwa kimasihara
Hapa ndo Nbs watatoa Sasa mzigo ili watoneshe mshono wa ajira za TAMISEMIWamechoka kuwapigia ramli watu ambao hata ratiba yao wenyewe wanashindwa kuifata!
Kwahiyo watendaji hawahisiki kwenye huo usaili mkuu??Kilichobadilika ni mfumo tu wa kutoka sensa ya analojia na kuwa sensa ya kidigitali lkn taaratibu zote za ufanyikaji wa Sensa ni zilezile. Tuache kuzungumza/kuongea tusiyoyajuwa.
Aisee umenifungua macho ndgu yangu.Hivi hii issue ya watendaji kata sijui mtaa kuhusika katika zoezi la usahili mmeitoa wapi?
Wakati NBS wao walikwishasema kwamba watakaohusika kwenye kufanya usaili ni wataalamu kutoka chuo cha takwimu...
Nilivyoelewa mimi katika barua yao ya juzi ni kwamba watendaji wa mtaa na kata watajumuika katika yale mafunzo ya siku 21 kwa nafasi zao ili waweze kusimamia vyema zoezi la sensa katika maeneo yao.... hii ina maana watendaji na wale waombaji hawana tofauti kwenye ufahamu wao kuhusu zoezi, sasa kama ndivyo wanawezaje kukufanyia usaili?
Acheni kusumbua watendaji maana na wao hawajui chochote ila tu wao wamepewa gurantee ya kukomba ile 1M bila milolongo.
Msipokuwa makini mtaliwa hizo kumi zenu na msijue mnazidai vipi.
Mwanzoni taarifa zilisema usaili utasimamiwa na watu wa takwimu kupitia kwenye kata na wilayani, lkn mpaka kufikia muda huu siku zimeisha tayari, lolote laweza kutokea. Mana hata hao watendaji mpaka muda huu hawana tofauti na wewe hawajui chochote kinachoendelea.Kwahiyo watendaji hawahisiki kwenye huo usaili mkuu??
Kwanini hutoshiriki brohHata wakitoa majina hata jina langu likiwepo najua sitashiriki hili zoezi
Daah hili dili nilishalikosa
Mwezetu sio jobless Tena aisee umetoboa pahala nn mkuuHata wakitoa majina hata jina langu likiwepo najua sitashiriki hili zoezi
Daah hili dili nilishalikosa
Kwanini tena mkuu au kiwira mesomaHata wakitoa majina hata jina langu likiwepo najua sitashiriki hili zoezi
Daah hili dili nilishalikosa
[emoji16][emoji16][emoji16] hamna bossKwanini tena mkuu au kiwira mesoma
Sio kweli,watendaji wana taarifa sema labda wako wewe hataki kukwambia ukweliMwanzoni taarifa zilisema usaili utasimamiwa na watu wa takwimu kupitia kwenye kata na wilayani, lkn mpaka kufikia muda huu siku zimeisha tayari, lolote laweza kutokea. Mana hata hao watendaji mpaka muda huu hawana tofauti na wewe hawajui chochote kinachoendelea.
Bajeti yangu ya kuishi huku nilipo inaenda ukingoniKwanini hutoshiriki broh
Acha bhas [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2278812View attachment 2278813View attachment 2278814View attachment 2278815View attachment 2278816View attachment 2278817View attachment 2278818
Possibly. Kuanzia tarehe 20+ mzigo utaachiwa LIVESio kweli,watendaji wana taarifa sema labda wako wewe hataki kukwambia ukweli
Ila majina hayatoki hata wiki ijayo kuanzia tarehe 20 ukoooo.
Aisee nimekomboka ndgu yangu.Mwanzoni taarifa zilisema usaili utasimamiwa na watu wa takwimu kupitia kwenye kata na wilayani, lkn mpaka kufikia muda huu siku zimeisha tayari, lolote laweza kutokea. Mana hata hao watendaji mpaka muda huu hawana tofauti na wewe hawajui chochote kinachoendelea.
Hakuna mtendaji mwenye taarifa za NBS mpaka sasa, kwa kifupi wewe na mtendaji hakuna anayeelewa kipi kinaendelea NBS.Sio kweli,watendaji wana taarifa sema labda wako wewe hataki kukwambia ukweli
Ila majina hayatoki hata wiki ijayo kuanzia tarehe 20 ukoooo.
Hata kama usaili ungefanyika kata bado walikuwa hawana mandate ya kuamua yupi achagukiwe au yupi asichaguliwe, Usaili ungesimamiwa na watu wa takwimu yeye angekuwepo kwenye panel kama mwenyeji wao tu.Aisee nimekomboka ndgu yangu.
Mi nilidhani watendaji ndo kila kitu, wao ndo wameshika fyekeo.
Huwez kubadilisha wewe komaa tu huko huko mbona siku zimeisha mzee wa manzese.Bajeti yangu ya kuishi huku nilipo inaenda ukingoni
Na huku ndio nilipo ombea au wanaruhusu ukichaguliwa sehemu flani unaweza badilisha ?