Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Unajiongeza au umeitoa NBS??? na wakati wanasema hiyo geresha hawakujua kama haiwezekani kufanya usaili nchi nzima?
 
Mkuu mimi mwenyewe ila sitamwingiza mtu kwa kumchomeka nitasimamia haki ila hivi vichali vya UVCCM vinataka mbereko this time wacha mwenye bahati apate haki nitaisimamia vilivyo
Bwana akubariki watu wengi hawana empathy, hebu simamia ili vijana wapate japo mtaji wa kufanya kitu fulani.
 
Kumbe hakuna unalolijuwa hata kiswahili kinakushinda. Hivi ni mauzui au maudhui? Hivi ni makalani au makarani?
 
Asante kwa kunisaidia kiongozi, huyu jamaa ni mgumu wa kuelewa.
 
WEO/VEO hili zoezi hawana mandate ya kuchagua au kutochagua waombaji, kama mlishawahonga pesa ili wawapitishe, basi tambueni pesa zenu zimeliwa na pengine panga likawapitia vilevile. Hakuna WEO/VEO mpaka sasa anayejuwa huu mchakato umefikia hatua gani kwa wasimamizi na makarani, kama wanawaeleza taarifa za NBS basi wanawadanganya.
 
Kama ulihonga pesa ili WEO/VEO akupitishehii imekula kwako na pengine panga likakupitia. Hakuna sehemu iliyosema kwamba watendaji ndio watakaosimamia usahili muwe mnaelewa.
 
akuna usairi utakao fanyika ni kuitwa kata na moja kwa moja kuenda katika semina kama mnabisha bisheni mwendo wa kama sensa tu na watu wengi wa ccm ndo watakaopewa kipaombele ili kazi isialibike kama postcode sababu watu walikua wanawekwa na watendaji na wamealibu pakubwa kwahyo now awapew mpini
 
Hapana umeongea ukweli mchungu sana lakini wale vijana wa mtendaji usisahau jina langu hawatakuelewa na wataelewa 26.07.2022 majina yakitoka
 
Na iwe hivyo asee kazi za kupitia halmashauri uwa miyeyusho sana mi nilikosaga mdh kizembe sana

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Watajuaje kama wewe ni CCM kupitia hayo maombi mbona kama sikuona sehemu iliyotakiwa uatachi kielelezo ama kadi ya utambulisho wa Chama chako Cha siasa au mchakato upoje hapo...zama kinagaubaga tuelewe....
 
Comrade hivi kulikuwa na sehemu ya kuambatanisha kadi ya CCM?
 
Hapo hata mimi nashangaa et CCM?
Hakuna kitu kama hiko hata under normal Circumstances hii issue mbona haiingiliani na mambo ya Vyama Vya Siasa sema ni watu wameshajawa na hofu za kukariri matukio ambaya huenda hayako sambamba na hii ishu nzima ya Sensa labda wangekuwa hawaja-announce hizo Vacancy Public tungesema yeah watatafutana chini kwa chini wapeane but hata ikitokea hivo I think itakuwa very rare sana uhalisia watu waliotuma Applications ndo wana chance ya asilimia mia kupewa hizo kazi bila longo longo kikubwa Subira tuu...Lenye mwanzo halikosi mwisho pia.
 
Hao si ndio waliodanganywa na WEO/VEO kwamba wao ndio watakaopitisha majina, hao WEO wenyewe mtakuwa nao kwenye semina za usimamizi na ukarani hakuna wanalolijuwa mpaka sasa.
 
Watajuaje kama wewe ni CCM kupitia hayo maombi mbona kama sikuona sehemu iliyotakiwa uatachi kielelezo ama kadi ya utambulisho wa Chama chako Cha siasa au mchakato upoje hapo...zama kinagaubaga tuelewe....
apo inakuja directly connection mpka kwa mkurugenz
 
kaz inatakiwa ifanyike kwa uwered auwez kumchukua mtu ambae ayupo katka itikadi yako lazma atafanya kwa matakwa yake sensa ya mwaka huu ni kubwa sanaa
 
Hapana umeongea ukweli mchungu sana lakini wale vijana wa mtendaji usisahau jina langu hawatakuelewa na wataelewa 26.07.2022 majina yakitoka
watendaji wamealibu sana sana katika postcode imepelekea hasara kubwa serikali ikabid mpka waajiri watu wengne ili wakamilishe sasa na katka sensa icho kitu akitakiw kujiludia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…