Mkuu anayekupa taarifa anakupotosha sana,watendaji kata wapo katani kwao wametulia wanasubiria kuanza mafunzo tar 29 pamoja na wasimamizi na makarani wa sensa..Wao hawajui chochote kinachoendelea ila ratiba yao wametumiwa kwamba wajiandae kwa semina hiyo tar.29 hadi tar 18 August..
Hivyo nakuomba ukae kwa kutulia majina yatatolewa na NBS then waratibu wa sensa waliopo mafunzoni sasa hivi mkoani wakiwemo maafisa mipango na Elimu Kata wakishirikiana na Watendaji watachuja majina na kuyapost katani tayari kwa kuanza semina hiyo tar.29
Hivyo muda wowote kuanzia leo tujiandae kwa lolote kutoka huko NBS.