Jamaaa hataki jobless tutusue kifupi wivu tu yeye ndo Kila mara alikua anaponda na kumtisha yule jamaa mtoa taarifa dah kweli PATA kazi tujue tabia yakoNakumbuka miaka ya nyuma huna kazi ulikuwa unalalamika kweli [emoji16] ukaja na uzi watu waajiriwe kwa mikataba wapishe wengine kwa zamu zamu
Ulivyootea utumishi kuna mwamba akakuulize vipi ule msimamo wako wa kupishana ukamjibu kila mtu apambane na hali yake
[emoji16][emoji16][emoji1787]
Kwahyo nashangaa unavyotushangaa jobless kwamba hayo mambo hatujazoea wakati tulikuwa wote kwenye misoto
Sema nini mwanangu nikaribishe huko soon nitimba utumishi kijana wa Manzese
Expendable chama wa gomz ,Monaco ganz ,w.c.n nakadhalika watanikoma ngoja niingie kwenye system nitavimba sana
Mnyungu tunampiga pitori
Wanachoshtumiwa ni kwamba wanataka kujimilikisha hizo kazi wao tu wengine wasipatePoleni sn,poleni Sana walimu maana mnapigwa mawe sna lakin ukweli hakuna ambae hataki kazi hii kwa uhalisia wa maisha yetu ya kitanzania...siamin km walimu Wana njaa saaaana kuliko majobless wa mtaani!! Nadhani nj defending point dhidi ya walimu tu...
Msiwashutumu kiasi hcho Hawa ndg zetu hakuna ambae hataki pesa kwa maisha ya ck hz
Nawasilisha
Wanakwambia mwenye shibe hamjui mwenye njaaJamaaa hataki jobless tutusue kifupi wivu tu yeye ndo Kila mara alikua anaponda na kumtisha yule jamaa mtoa taarifa dah kweli PATA kazi tujue tabia yako
Kivipi mkuu na. Ni form zip?Wengine ndio tumerudisha form Leo
Yani Posho per day ni 80k? Kwahiyo Kwa siku 21 ni 1,600,000/=Tsh[emoji23][emoji23] na Kazi ulipwe tena 800,000/=Tsh? Serikali hii hii au ?Wakuu za ndani kabisa kutoka nbs ..posho ni 80,000/day
Hawa ndo wale wakishapata kazi wanawasahau na waliokuwa wanasota nsoNakumbuka miaka ya nyuma huna kazi ulikuwa unalalamika kweli [emoji16] ukaja na uzi watu waajiriwe kwa mikataba wapishe wengine kwa zamu zamu
Ulivyootea utumishi kuna mwamba akakuulize vipi ule msimamo wako wa kupishana ukamjibu kila mtu apambane na hali yake
[emoji16][emoji16][emoji1787]
Kwahyo nashangaa unavyotushangaa jobless kwamba hayo mambo hatujazoea wakati tulikuwa wote kwenye misoto
Sema nini mwanangu nikaribishe huko soon nitimba utumishi kijana wa Manzese
Expendable chama wa gomz ,Monaco ganz ,w.c.n nakadhalika watanikoma ngoja niingie kwenye system nitavimba sana
Mnyungu tunampiga pitori
Kibongo bongo, ukicheki na hali ya sasa hiyo 80, 000/day itakuwa ni mkombozi kwa walio wengi. Ukifanikiwa kumaliza zoezi zima hapo unatoka na kitu cha maana.Wakuu za ndani kabisa kutoka nbs ..posho ni 80,000/day
Wengine huwa wanabadili mpaka namba za simu, huwa hawajui kuwa hizi kazi/ajira huwa ni mapito tu. Wanashindwa kutambua kuwa Ujamaa, Urafiki, Undugu sio vitu vya kupita.Hawa ndo wale wakishapata kazi wanawasahau na waliokuwa wanasota nso
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesota na Nani we bwege kila mtu anasoma kivyake na kufaulu kivyake na kujiongeza kivyake.ukitaka hints za kufaulu oral interview za sekratariet ya Ajira NI PM..uandikiwe night 20 kila mwezi za site na mshahara juuHawa ndo wale wakishapata kazi wanawasahau na waliokuwa wanasota nso
Sent using Jamii Forums mobile app
HAPANA....walioko mkoani ndo wanakula hyo 80k,makarani na wasimamizi watakula 50k per dayWakuu za ndani kabisa kutoka nbs ..posho ni 80,000/day
Kwahiyo Posho ya Semina ni Tofauti na Ile 800k wanayodai watalipwa mwishoni?HAPANA....walioko mkoani ndo wanakula hyo 80k,makarani na wasimamizi watakula 50k per day
Source: usiulze
Mkuu tupe tips hizo Za Utumishi, wengine ndo Tumeianza Safari. Utakua umesaidia sanaNimesota na Nani we bwege kila mtu anasoma kivyake na kufaulu kivyake na kujiongeza kivyake.ukitaka hints za kufaulu oral interview za sekratariet ya Ajira NI PM..uandikiwe night 20 kila mwezi za site na mshahara juu
mkuu sio kweli, za ndani zenyewe ni 120,000 per dayWakuu za ndani kabisa kutoka nbs ..posho ni 80,000/day
Exactlymkuu sio kweli, za ndani zenyewe ni 120,000 per day