bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 857
ChangamkaSasa mtendaji akiptisha watu wake poa
Ila hizo pesa watazopata nitakksha tunakula wote tuuu! Maana
Wanadadisi nini ndugu?Wajumbe hvi kuna any information kuwa washaanza kupiga simu kudadisi ?
Vijana wa Tanzania hamueleweki mnataka nini subiri kwanza mpigike kitaa mpaka akili ziwakae sawa. Huwa nashikwa na huruma Sana ninapoona vijana wanalalamika mfumo wa kujuana unavyowakosesha fursa lakini suala la ajira za sensa zimebadili mtazamo wangu kabisa.Changamka
Hiyo kuna walimu,mwenyekiti wa mtaa,mtendaji kata watendaji wa mtaa wazee kutoka mtaa husika.
Sasa hapo wewe wote hao ukose wa kukutetea ndugu?
ivi na nyie huwa mnatumiwa izi text au View attachment 2291451
hahahah acha kunipamba kiongoz izi meseji natumiwagwa sana tangu nlivopeleka form tuyan wew tyari ushapita kabisaa! wanawatumia makarani na wasimamizi watarajiwa TU!
kuna jamaa anatumiwaga na ajaomba aseeee hapo imekaajeyan wew tyari ushapita kabisaa! wanawatumia makarani na wasimamizi watarajiwa TU!
Kama inaelekea kuwa kweli mdau maana na Mimi nimetumiwa jumbe km hiyo asubuhiyan wew tyari ushapita kabisaa! wanawatumia makarani na wasimamizi watarajiwa Tu
Liwalo na liwe.Kuna taarifa hapa exclusive ninayo ni pigo kwa walioomba nafasi za wasimamizi wa sensa na wale wasio na ajira [emoji22][emoji22]
Majina kesho yapo kwa hewa.Just In:
Mchujo wa majina kwa level ya Kata kwa Arumeru, Arusha unafanyika leo na watendaji wa kata wamewaomba wakuu wa shule wawatumie majina ya walimu wa shule zao walioomba Sensa.
Hapa jobless tushapigwa goli la mkono
Humu kuna watu hawaelewi nilishawaambia majina yaliletwa kata ila wakaanza nishambuliaJust In:
Mchujo wa majina kwa level ya Kata kwa Arumeru, Arusha unafanyika leo na watendaji wa kata wamewaomba wakuu wa shule wawatumie majina ya walimu wa shule zao walioomba Sensa.
Hapa jobless tushapigwa goli la mkono
Acha porojo dogo na kuwatisha ma jobu lesi, wkt wa maombi nbs hawakusema kuwa hizo nafazi zisiombwe ni kwa ajili ya hizo kada ulizozitaja,Muongozo uliotoka NBS ni kwamba,,Wasimamizi wa Sensa ni Walimu Wakuu na Waratibu wa Elimu Kata tu kwa kila kila Kata,,kwahiyo kama wewe sio mwalimu mkuu na umeomba nafasi ya usimamizi hesabia umeliwa kichwa[emoji2163][emoji1],,
NBS watatoa majina ya waliopita katika usahili muda wowote kuanzia sasa,na usahili utafanyika rasmi tarehe 19 July 2022.Leo wamemaliza vikao vya mikoa kwa baadhi ya maeneo yamebaki mambo machache tu.Ila kila kitu kipo tayari.[emoji857]
Kila aliyeomba nafasi asikae mbali na simu yake au kompyuta yake asubiri kuvuna alichopanda maana wakati wa mavuno umewadia..Naomba kawasilisha[emoji120]
Walikuwa hawajui walitendalo mkuu...ila watu washapigwa bao la mkono though kuna nafasi nafikiri zipo kwa wasio na ajira. Ila bongo kujuana sanaHumu kuna watu hawaelewi nilishawaambia majina yaliletwa kata ila wakaanza nishambulia
Sent using Jamii Forums mobile app