Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Muongozo uliotoka NBS ni kwamba,,Wasimamizi wa Sensa ni Walimu Wakuu na Waratibu wa Elimu Kata tu kwa kila kila Kata,,kwahiyo kama wewe sio mwalimu mkuu na umeomba nafasi ya usimamizi hesabia umeliwa kichwa[emoji2163][emoji1],,

NBS watatoa majina ya waliopita katika usahili muda wowote kuanzia sasa,na usahili utafanyika rasmi tarehe 19 July 2022.Leo wamemaliza vikao vya mikoa kwa baadhi ya maeneo yamebaki mambo machache tu.Ila kila kitu kipo tayari.[emoji857]

Kila aliyeomba nafasi asikae mbali na simu yake au kompyuta yake asubiri kuvuna alichopanda maana wakati wa mavuno umewadia..Naomba kawasilisha[emoji120]
Kimeumana..[emoji1787][emoji1787]
 
Na watakao wafanyia usahili watahiniwa wa nafasi za sensa sio watendaji wa kata tena bali ni walimuu wakuu kutoka shule kadhaa ambao majina yao yameshapelekwa Wilayani pamoja na waratibu elimu Kata..

Nawapongeza NBS kwa hili maana itaondoa ile dhana mtendaji ndio mwenye maamuzi ya mwisho so kila mtu atapata haki yake .[emoji857][emoji857]

Watendaji wa Kata na Vijiji hawatahusika katika usahili ila watakuepo kwenye semina zinazoanza tarehe 29.Kama una vigezo na unaamini katika Mungu wako amini kua utapata [emoji120]

Majobless wenzangu tusikate tamaa hii ni nafasi nzuri ya kuanzia maisha kama tukifanikiwa kupata kiinua mgongo cha sensa[emoji122][emoji122]
 
Na watakao wafanyia usahili watahiniwa wa nafasi za sensa sio watendaji wa kata tena bali ni walimuu wakuu kutoka shule kadhaa ambao majina yao yameshapelekwa Wilayani pamoja na waratibu elimu Kata..

Nawapongeza NBS kwa hili maana itaondoa ile dhana mtendaji ndio mwenye maamuzi ya mwisho so kila mtu atapata haki yake .[emoji857][emoji857]

Watendaji wa Kata na Vijiji hawatahusika katika usahili ila watakuepo kwenye semina zinazoanza tarehe 29.Kama una vigezo na unaamini katika Mungu wako amini kua utapata [emoji120]

Majobless wenzangu tusikate tamaa hii ni nafasi nzuri ya kuanzia maisha kama tukifanikiwa kupata kiinua mgongo cha sensa[emoji122][emoji122]
Tafuta muongozo unaoonyesha kamati ya sensa ngazi ya Kata kisha urudi tena hapa jukwaani
 
Ile siku mkeka umetoka na jina lako halipo fomu lazima nitaichachana vibaya.
1000_F_161405546_SfjYNH1qSKDSADSJGad9PcfoiBoikAi2.jpg
 
Sasa Majobless wenzangu ni wakati wa kujipanga tukawapige watu spana, it's obvious...kama una sifa zile NBS waliziorodhesha lazima utakuwepo kwenye usaili hakuna janjajanja, hata zoezi lenyewe naamini litakuwa open and fair.

Sisi hatutaki kuonewa huruma tunataka mbungi iwe fair tu basi, sasa wale ndg zetu wa kuleta mambo ya kujuana kisa wao wamewahi kuingia kwenye mfumo tukutane huko.

Soon tutaanza kushusha nondo humu. Let's trust the process!.
 
Sasa Majobless wenzangu ni wakati wa kujipanga tukawapige watu spana, it's obvious...kama una sifa zile NBS waliziorodhesha lazima utakuwepo kwenye usaili hakuna janjajanja, hata zoezi lenyewe naamini litakuwa open and fair.

Sisi hatutaki kuonewa huruma tunataka mbungi iwe fair tu basi, sasa wale ndg zetu wa kuleta mambo ya kujuana kisa wao wamewahi kuingia kwenye mfumo tukutane huko.

Soon tutaanza kushusha nondo humu. Let's trust the process!.
Watakao simamia usaili ni akina nani?
 
Back
Top Bottom