Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili suala lako Tuliweke kwenye katiba mpyaKwahiyo tusemeje hapo mm mbona sielewi. ,Maana niliko ombea ni mbali sana na nilipo
Kimeumana..[emoji1787][emoji1787]Muongozo uliotoka NBS ni kwamba,,Wasimamizi wa Sensa ni Walimu Wakuu na Waratibu wa Elimu Kata tu kwa kila kila Kata,,kwahiyo kama wewe sio mwalimu mkuu na umeomba nafasi ya usimamizi hesabia umeliwa kichwa[emoji2163][emoji1],,
NBS watatoa majina ya waliopita katika usahili muda wowote kuanzia sasa,na usahili utafanyika rasmi tarehe 19 July 2022.Leo wamemaliza vikao vya mikoa kwa baadhi ya maeneo yamebaki mambo machache tu.Ila kila kitu kipo tayari.[emoji857]
Kila aliyeomba nafasi asikae mbali na simu yake au kompyuta yake asubiri kuvuna alichopanda maana wakati wa mavuno umewadia..Naomba kawasilisha[emoji120]
[emoji1787][emoji1787]Just In:
Mchujo wa majina kwa level ya Kata kwa Arumeru, Arusha unafanyika leo na watendaji wa kata wamewaomba wakuu wa shule wawatumie majina ya walimu wa shule zao walioomba Sensa.
Hapa jobless tushapigwa goli la mkono
Wasalimie hao wanaofanya usaili was watendaji hapoWale tulioko moshi tunasubilia kinuke njoooni in box pleaseeee
Ni ya kweli au ndo kupandishana presha kwa sisi jobless??Mambo yameiva huko
100% TrueHuu ndio ukweli Kuna maticha nawajua na wengine ni waratibu elimu kata wameenda seminar za uwezeshaji
Hawa ndio watakuja kufundisha wenzao huku katani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta muongozo unaoonyesha kamati ya sensa ngazi ya Kata kisha urudi tena hapa jukwaaniNa watakao wafanyia usahili watahiniwa wa nafasi za sensa sio watendaji wa kata tena bali ni walimuu wakuu kutoka shule kadhaa ambao majina yao yameshapelekwa Wilayani pamoja na waratibu elimu Kata..
Nawapongeza NBS kwa hili maana itaondoa ile dhana mtendaji ndio mwenye maamuzi ya mwisho so kila mtu atapata haki yake .[emoji857][emoji857]
Watendaji wa Kata na Vijiji hawatahusika katika usahili ila watakuepo kwenye semina zinazoanza tarehe 29.Kama una vigezo na unaamini katika Mungu wako amini kua utapata [emoji120]
Majobless wenzangu tusikate tamaa hii ni nafasi nzuri ya kuanzia maisha kama tukifanikiwa kupata kiinua mgongo cha sensa[emoji122][emoji122]
Mkuu ushamaliza utata ila ungesema Ni halmashauri gani watu wafunge kauliMambo yameiva huko
Umeona wewe link unaomba wasioona ,mbona Presha?Majina yametoka Nani mwenye link me nimeona mtu katumiwa ya singida huko
Watakao simamia usaili ni akina nani?Sasa Majobless wenzangu ni wakati wa kujipanga tukawapige watu spana, it's obvious...kama una sifa zile NBS waliziorodhesha lazima utakuwepo kwenye usaili hakuna janjajanja, hata zoezi lenyewe naamini litakuwa open and fair.
Sisi hatutaki kuonewa huruma tunataka mbungi iwe fair tu basi, sasa wale ndg zetu wa kuleta mambo ya kujuana kisa wao wamewahi kuingia kwenye mfumo tukutane huko.
Soon tutaanza kushusha nondo humu. Let's trust the process!.
Kila halmashauri wanatoa majina kivyake, Halmashauri ya Kyerwa imeshatoa tayariUmeona wewe link unaomba wasioona ,mbona Presha?
[emoji1787][emoji1787]Umeona wewe link unaomba wasioona ,mbona Presha?