euca
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 3,811
- 4,178
uongo huuLaki 5, here we go!View attachment 2291958
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uongo huuLaki 5, here we go!View attachment 2291958
🤣🤣🤣Umeona wewe link unaomba wasioona ,mbona Presha?
Hapo kwenye vyeti halisi hapoo na vitambulisho kuna wahuni waliweka living certificatesMkuu wa Wilaya ya Magharibi B anawatangazia wale wote waliomba nafasi za kazi ya muda kwa ajili ya Sensa ya watu na makaazi ya mwaka 2022 kwa nafasi za karani , msimamizi maudhui na Tehama kuangalia majina yao yaliobandikwa katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Magharibi B zilizopo Mwanakwerekwe karibu na kituo cha kuuzia umeme .
Wale wote wataoyaona majina yao wanatakiwa kufika katika usajili { Interview } utaofanyika Siku ya Jumanne tarehe 19/07/2022 katika Skuli ya Sekondari Aboud Jumbe Fuoni kuanzia saa moja na nusu asubuhi.
Aidha muombaji anatakiwa kuja na vyeti halisi vya kumalizia masomo na Kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi au Mtanzania.
Ahsante.
Imetolewa na :
Kitengo cha Habari na mawasiliano
Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Magh B
Daah! Hiyo balaa mzeeHapo kwenye vyeti halisi hapoo na vitambulisho kuna wahuni waliweka living certificates
Mfumo wa kujuana hauwez epukika ndugu.Vijana wa Tanzania hamueleweki mnataka nini subiri kwanza mpigike kitaa mpaka akili ziwakae sawa. Huwa nashikwa na huruma Sana ninapoona vijana wanalalamika mfumo wa kujuana unavyowakosesha fursa lakini suala la ajira za sensa zimebadili mtazamo wangu kabisa.
Kijana huyohuyo anayelalamika kwingine anaonewa kwa Sababu hawamjui lakini hapohapo anashangilia kwenye sensa kwa Sababu wanamjua. Kweli nimeamini hakuna mfumo unaokubalika na kila mtu nami naona bora mashemeji, ndugu na jamaa wapewe fursa na ndugu zao wenye nafasi.
Baada ya kusema haya naomba niseme KAZI IENDELEE.
Na majina yakitoka ndio moja kwa moja hiyo.Humu kuna watu hawaelewi nilishawaambia majina yaliletwa kata ila wakaanza nishambulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana wenyewe wanafki tu me sijawahi kutegemea Wana nilizaliwa familia ya kishua namaliza chuo ikabidi nikasimamie biashara ya home..Cha ajabu Wana,marafiki wakawa wanakopa biashara hawalipi madeni Nina hasira nao hao Wana wako fanya biashara ndo utajua Wana NI kitu gn ....me sifagilii hizo za kiwana.Mkuu mimi nishakula namba kitambo ase sema dharau ndo sina coz nimetoka mtaani wauni ndo waliokuwa wananipa michongo tatizo ni niliajiriwa mkoa tofauti na nilipo kulia ila kila nikipata wasaa wa kutembea hm lazima nikaonane na wana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pumzi zikikatika hautaweza kujibeba wala kujichimbia makazi yako ya baada ya pumzi....tuishi kwa kuchuliana madhaifu yetu na kupunguza KIBURI.Wana wenyewe wanafki tu me sijawahi kutegemea Wana nilizaliwa familia ya kishua namaliza chuo ikabidi nikasimamie biashara ya home..Cha ajabu Wana,marafiki wakawa wanakopa biashara hawalipi madeni Nina hasira nao hao Wana wako fanya biashara ndo utajua Wana NI kitu gn ....me sifagilii hizo za kiwana.
Ukitaka mtaji/biashara iyumbe/ife lete mambo ya urafiki kwenye biashara, hauwezi ku survive kilomita nyingi lazima biashara ikupige mweleka, ni bora uonekane una roho mbaya kwa wana na marafiki ili mtaji usiyumbe ni hayo tu.Wana wenyewe wanafki tu me sijawahi kutegemea Wana nilizaliwa familia ya kishua namaliza chuo ikabidi nikasimamie biashara ya home..Cha ajabu Wana,marafiki wakawa wanakopa biashara hawalipi madeni Nina hasira nao hao Wana wako fanya biashara ndo utajua Wana NI kitu gn ....me sifagilii hizo za kiwana.
Mbna ndogo,kuna mtu alisema inafika milioni humuLaki 5, here we go!View attachment 2291958
Nipo mkuu nazurura tu hii mitaUkitaka mtaji/biashara iyumbe/ife lete mambo ya urafiki kwenye biashara, hauwezi ku survive kilomita nyingi lazima biashara ikupige mweleka, ni bora uonekane una roho mbaya kwa wana na marafiki ili mtaji usiyumbe ni hayo tu.
Tuendelee kupeana kinachojili kwa ajili ya Sensa, Kunguru wa Manzese mbona kimya ndugu yangu.
Hhaaha daah pole sana ndege johnWana wenyewe wanafki tu me sijawahi kutegemea Wana nilizaliwa familia ya kishua namaliza chuo ikabidi nikasimamie biashara ya home..Cha ajabu Wana,marafiki wakawa wanakopa biashara hawalipi madeni Nina hasira nao hao Wana wako fanya biashara ndo utajua Wana NI kitu gn ....me sifagilii hizo za kiwana.
Daah million nakataa kwa makarani wote hao Tanzania nzima yaani laki mbili mara million moja duuh Pesa nyingi sanaaMbna ndogo,kuna mtu alisema inafika milioni humu
Tunaambiwa siku za semina ni 21 na siku za zoezi la sensa ni 10. Kwa hiyo kama zoezi zima ni shikingi laki tano ina maana posho itakuwa elfu 16 kwa siku.Daah million nakataa kwa makarani wote hao Tanzania nzima yaani laki mbili mara million moja duuh Pesa nyingi sanaa
Hapo ngoma ni kilo tano ..
Kilo tano mtu unakuwa macmuga ukipewa million si tutauna huko kitaa jamani![]()
![]()
![]()
![]()
Inaweza ikafika million shekh.. billion 250 kulipa inawezekana beside hizo hela zinabaki hapahapa nchini wakikagua Kodi zao miezi miwili TU zisharud hazinaDaah million nakataa kwa makarani wote hao Tanzania nzima yaani laki mbili mara million moja duuh Pesa nyingi sanaa
Hapo ngoma ni kilo tano ..
Kilo tano mtu unakuwa macmuga ukipewa million si tutauna huko kitaa jamani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
DuuhTunaambiwa siku za semina ni 21 na siku za zoezi la sensa ni 10. Kwa hiyo kama zoezi zima ni shikingi laki tano ina maana posho itakuwa elfu 16 kwa siku.
Najaribu kuwaza tu.