Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Mkuu wa Wilaya ya Magharibi B anawatangazia wale wote waliomba nafasi za kazi ya muda kwa ajili ya Sensa ya watu na makaazi ya mwaka 2022 kwa nafasi za karani , msimamizi maudhui na Tehama kuangalia majina yao yaliobandikwa katika ofisi ya mkuu wa wilaya ya Magharibi B zilizopo Mwanakwerekwe karibu na kituo cha kuuzia umeme .

Wale wote wataoyaona majina yao wanatakiwa kufika katika usajili { Interview } utaofanyika Siku ya Jumanne tarehe 19/07/2022 katika Skuli ya Sekondari Aboud Jumbe Fuoni kuanzia saa moja na nusu asubuhi.

Aidha muombaji anatakiwa kuja na vyeti halisi vya kumalizia masomo na Kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi au Mtanzania.

Ahsante.

Imetolewa na :
Kitengo cha Habari na mawasiliano
Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Magh B
Hapo kwenye vyeti halisi hapoo na vitambulisho kuna wahuni waliweka living certificates
 
Vijana wa Tanzania hamueleweki mnataka nini subiri kwanza mpigike kitaa mpaka akili ziwakae sawa. Huwa nashikwa na huruma Sana ninapoona vijana wanalalamika mfumo wa kujuana unavyowakosesha fursa lakini suala la ajira za sensa zimebadili mtazamo wangu kabisa.

Kijana huyohuyo anayelalamika kwingine anaonewa kwa Sababu hawamjui lakini hapohapo anashangilia kwenye sensa kwa Sababu wanamjua. Kweli nimeamini hakuna mfumo unaokubalika na kila mtu nami naona bora mashemeji, ndugu na jamaa wapewe fursa na ndugu zao wenye nafasi.

Baada ya kusema haya naomba niseme KAZI IENDELEE.
Mfumo wa kujuana hauwez epukika ndugu.
Kuna watu wana chongesha cheti cha mzazi kuwa anaumwa anatakiwa awe anaenda muhimbili mara kwa mara,na cheti kinaonesha ameanza kwenda miaka mitano nyuma ili tu hasiamishwi kazi mkoani,hii kitu haupati kisa una hela ila unamjua nani. Mfano tu.
 
Mkuu mimi nishakula namba kitambo ase sema dharau ndo sina coz nimetoka mtaani wauni ndo waliokuwa wananipa michongo tatizo ni niliajiriwa mkoa tofauti na nilipo kulia ila kila nikipata wasaa wa kutembea hm lazima nikaonane na wana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wana wenyewe wanafki tu me sijawahi kutegemea Wana nilizaliwa familia ya kishua namaliza chuo ikabidi nikasimamie biashara ya home..Cha ajabu Wana,marafiki wakawa wanakopa biashara hawalipi madeni Nina hasira nao hao Wana wako fanya biashara ndo utajua Wana NI kitu gn ....me sifagilii hizo za kiwana.
 
Wana wenyewe wanafki tu me sijawahi kutegemea Wana nilizaliwa familia ya kishua namaliza chuo ikabidi nikasimamie biashara ya home..Cha ajabu Wana,marafiki wakawa wanakopa biashara hawalipi madeni Nina hasira nao hao Wana wako fanya biashara ndo utajua Wana NI kitu gn ....me sifagilii hizo za kiwana.
Mkuu pumzi zikikatika hautaweza kujibeba wala kujichimbia makazi yako ya baada ya pumzi....tuishi kwa kuchuliana madhaifu yetu na kupunguza KIBURI.
 
Wana wenyewe wanafki tu me sijawahi kutegemea Wana nilizaliwa familia ya kishua namaliza chuo ikabidi nikasimamie biashara ya home..Cha ajabu Wana,marafiki wakawa wanakopa biashara hawalipi madeni Nina hasira nao hao Wana wako fanya biashara ndo utajua Wana NI kitu gn ....me sifagilii hizo za kiwana.
Ukitaka mtaji/biashara iyumbe/ife lete mambo ya urafiki kwenye biashara, hauwezi ku survive kilomita nyingi lazima biashara ikupige mweleka, ni bora uonekane una roho mbaya kwa wana na marafiki ili mtaji usiyumbe ni hayo tu.
Tuendelee kupeana kinachojili kwa ajili ya Sensa, Kunguru wa Manzese mbona kimya ndugu yangu.
 
Ukitaka mtaji/biashara iyumbe/ife lete mambo ya urafiki kwenye biashara, hauwezi ku survive kilomita nyingi lazima biashara ikupige mweleka, ni bora uonekane una roho mbaya kwa wana na marafiki ili mtaji usiyumbe ni hayo tu.
Tuendelee kupeana kinachojili kwa ajili ya Sensa, Kunguru wa Manzese mbona kimya ndugu yangu.
Nipo mkuu nazurura tu hii mita
 
Wana wenyewe wanafki tu me sijawahi kutegemea Wana nilizaliwa familia ya kishua namaliza chuo ikabidi nikasimamie biashara ya home..Cha ajabu Wana,marafiki wakawa wanakopa biashara hawalipi madeni Nina hasira nao hao Wana wako fanya biashara ndo utajua Wana NI kitu gn ....me sifagilii hizo za kiwana.
Hhaaha daah pole sana ndege john

Hapo uzembe ulikuwa wako wewe hata usiwasingizie

Wana ni muhimu kwenye kupeana ramani , michongo, kukuepusha na Shari mfano wanakwambia huyu manzi kawaka hapo wameona unataka kupiga so hata kama si kweli ila wanakupa tahadhari . ila sio kwenye pesa na biashara yako unaleta uwana hapo lazima ufeli masta
 
Mbna ndogo,kuna mtu alisema inafika milioni humu
Daah million nakataa kwa makarani wote hao Tanzania nzima yaani laki mbili mara million moja duuh Pesa nyingi sanaa


Hapo ngoma ni kilo tano ..


Kilo tano mtu unakuwa macmuga ukipewa million si tutauna huko kitaa jamani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Ramli! Ramli!! ziendelee majobless tumeweka kijiwe hapa.
IMG-20220514-WA0008 (2).jpg
 
Daah million nakataa kwa makarani wote hao Tanzania nzima yaani laki mbili mara million moja duuh Pesa nyingi sanaa


Hapo ngoma ni kilo tano ..


Kilo tano mtu unakuwa macmuga ukipewa million si tutauna huko kitaa jamani
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
emoji1787.png
Tunaambiwa siku za semina ni 21 na siku za zoezi la sensa ni 10. Kwa hiyo kama zoezi zima ni shikingi laki tano ina maana posho itakuwa elfu 16 kwa siku.

Najaribu kuwaza tu.
 
Daah million nakataa kwa makarani wote hao Tanzania nzima yaani laki mbili mara million moja duuh Pesa nyingi sanaa


Hapo ngoma ni kilo tano ..


Kilo tano mtu unakuwa macmuga ukipewa million si tutauna huko kitaa jamani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Inaweza ikafika million shekh.. billion 250 kulipa inawezekana beside hizo hela zinabaki hapahapa nchini wakikagua Kodi zao miezi miwili TU zisharud hazina
 
Back
Top Bottom