Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Acha fix mkuu, yaani kuku ameshalalia siku 19 then unasema ndani ya saa 72 vifaranga vinatotolewa halafu unatak tukuite mtabiri? 😂😂😂
Unaelekea wewe ni mgeni kwenye uzi huu...ramli zilikuwa nyingi sana.😆😆 the most recent jana mtu alisema majina yatatoka tarhe 28 mwezi huu!!
Hivyo nipe credit zangu mkuu🤣🤣🤣
 
Maisha yanaenda taratibu sn...toka tar 5 may mkeka upo active na uhudhuriaji wa hpa unapendeza bt mkeka ukitoka either uchanike au uktick...tusiusahau uzi huu tuendelee kuhudhuria tu
Niwahakikishieni ndg zng....muda mrefu mmesubiri bt by ijumaa tar 15/7 majina tutayatoa na majina hayo yalitumwa tka katani kwa wale waliokapeleka form zao tu..!!
Ahsante nawasilisha !!
Nilitoa hii ramli naona imetiki...cna Cha kuongezea..!! Hongera kwa waliopata na poleni mliokosa na ambao bdo kuona jina lako...may GOD be with you!!
 
Back
Top Bottom