kata kata kataaaWilaya temeke done
Huoni wadau wamekubaliana kwamba majina utayakuta kwenye ofisi ya kata yatabandikwaMajina yaliotoka yanapatikana tovuti ipi
Msalimie Mtendaji mkandi hapo sikongeSasa mkuu baadhi ya halmashauri washaanza kubandika. Huku Sikonge wana bandika leo nimeambiwa
Kosa lililofanywa na NBS ndo Hilo hawakuweka utaratibu wa zile fomu kurudishwa. Mrudushaji hana ushahidi wa kumsaidia kulalamika fomu yake inapofichwa na kuonekana hakurudisha.Ukweli ni kwamba wote walioomba kazi majina yao yataonekana kwa kata kwa ajiri ya usaili. Labda uwe hukurudisha form au kama mtendaji alisahau kukuandika ktk kitabu cha kumbukumbu. Baada ya usaili ndipo kuna mchujo sasa
Mkuu huwa nawaza sijui ni Tanzania pekee ambapo mtu akipata ridhaa/cheo/kazi, akili inalala inashindwa kufanya kazi. Maana napata shida kuamini kama umati wote ule NBS ameshindwa kujitokeza hata mtu mmoja kuwaza kama ulivyowaza.Kosa lililofanywa na NBS ndo Hilo hawakuweka utaratibu wa zile fomu kurudishwa. Mrudushaji hana ushahidi wa kumsaidia kulalamika fomu yake inapofichwa na kuonekana hakurudisha.
NBS walitakiwa kuchuja majina wao na waite kwenye usaili wao na kama hitaji la kuwa na fomu walitakiwa kusema siku ya usaili kila mtu aende na fomu yake.
Kama ni hivyo mbona NBS walisumbua watu kuomba mtandaoni?Ukweli ni kwamba wote walioomba kazi majina yao yataonekana kwa kata kwa ajiri ya usaili. Labda uwe hukurudisha form au kama mtendaji alisahau kukuandika ktk kitabu cha kumbukumbu. Baada ya usaili ndipo kuna mchujo sasa
Si kweli ushahidi anao,anaweza kuidownload kutoka kwenye account yake na aliacha copy kwa mwenyekitiKosa lililofanywa na NBS ndo Hilo hawakuweka utaratibu wa zile fomu kurudishwa. Mrudushaji hana ushahidi wa kumsaidia kulalamika fomu yake inapofichwa na kuonekana hakurudisha.
NBS walitakiwa kuchuja majina wao na waite kwenye usaili wao na kama hitaji la kuwa na fomu walitakiwa kusema siku ya usaili kila mtu aende na fomu yake.
Unajuwa humu kila mtu anaongea analolijuwa, mimi nadhani tusubiri tuache muda uamue mbivu na mbichi zitafahamika tu, tusiwe wepesi wa kulaumu kabla ya hali halisi hatujakutana nayo.Kama ni hivyo mbona NBS walisumbua watu kuomba mtandaoni?
Miezi yote hiyo walikuwa wanachambua nini?
15,000Posho ya semina ya sensa kwa makarani wa sensa ni tsh 60,000 kwa siku
Hivi pesa ya sensa itakua inalipwa kila siku au vipi15,000
20,000
25,000
35,000
60,000
80,000
Yoyote itakayopitishwa, poa tu.
Ili upotee? Mara nyingi hela hulipwa mwishoni wakati wa kula kiapoHivi pesa ya sensa itakua inalipwa kila siku au vipi
Inaonekana ni mgeni wa Mambo hayo. Kuna mtu alitumwa apeleke document ofisi fulani ile document akaifikisha kosa likawa ni kwamba hawakubidhiana kwa dispatch maalumu ile ofisi ikapoteza ile document na ikakana kabisa kuipokea. Huo ni mfano tosha wa kuelezea nini kinachoweza kutokea.Si kweli ushahidi anao,anaweza kuidownload kutoka kwenye account yake na aliacha copy kwa mwenyekiti
Kwahiyo ile hela tunayoambiwa ya chakula na nauli itakua hakuna!Ili upotee? Mara nyingi hela hulipwa mwishoni wakati wa kula kiapo