Donald Marcus Hemu
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 372
- 535
Singida vijijini na ikungi mkuu 😂😂Wale wa singida mkalama DC majina yenu hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Singida vijijini na ikungi mkuu 😂😂Wale wa singida mkalama DC majina yenu hayo
Naunga mkono hojaInaonekana ni mgeni wa Mambo hayo. Kuna mtu alitumwa apeleke document ofisi fulani ile document akaifikisha kosa likawa ni kwamba hawakubidhiana kwa dispatch maalumu ile ofisi ikapoteza ile document na ikakana kabisa kuipokea. Huo ni mfano tosha wa kuelezea nini kinachoweza kutokea.
Ninazungumzia ushahidi wa wewe kuthibitisha document yako imepokelewa.
Serikali kuja na ajiraportal ni kupunguza malalamiko ya waombaji barua zao kupokelewa na kufichwa kabatini , unadhani unapotuma barua kwa posta au unapopleka barua yako ya maombi ya kazi masijala ya ofisi husika inakujali Sana? Kuna Mambo ya hovyo kwenye hizo masijala kuyaelezea ni ngumu
Kila mtu atapataje wakati waliotuma maombi kwa usahihi ndo hao 689,000+ na nafasi nchi nzima ni 205,000 tu?Ninachokiona kila alietuma maombi atapata na alietuma taarifa kwa usahii atapata, shida ni katani kwa hao watendaji ndio watazingua tu
Sio kweli waliotuma kwa usahii wakisema 500k then kuna ambao waliweka vyeti ambao sivyo n.k then ujue competition hipo kwenye kata husikaKila mtu atapataje wakati waliotuma maombi kwa usahihi ndo hao 689,000+ na nafasi nchi nzima ni 205,000 tu?
La takhaafu ya akhy, kama riski yako ipo basi utaikuta imekaa yakusubiriKila mtu atapataje wakati waliotuma maombi kwa usahihi ndo hao 689,000+ na nafasi nchi nzima ni 205,000 tu?
Mkuu hizo serial number vipi?Wale wa singida mkalama DC majina yenu hayo
Si tumeona wanatuma ya Wilaya nyingineBaada ya soga kuisha
Sasa watu wanaanza kuulizia mikeka [emoji16]
Oyaa mikeka yote mtakayokutana nayo leo tumeni humu
Kwani haya majina yanayotoka tayari yameshapunguzwa?Wale wanangu waliokua wanasema Watendaji hawahusiki wako wapi[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona hapo kwenye pdf ya Mkalama inaonesha wasimamizi wa Usaili watakuja ni Wakuu wa shule na Maafisa Elimu wa KataWale wanangu waliokua wanasema Watendaji hawahusiki wako wapi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ona huyu, taja wilaya watu wajue trendAsante Mungu jina langu nimeliona