jahanbaksh
Senior Member
- Sep 4, 2018
- 122
- 161
Mkuu umeshapata mkeka wa ilala?, Ukipata usisite kutosogezea hapa jukwaaniWatu wanavyosema hii nchi ina mambo ya hovyo muwe mnaelewa mifano halisi sasa inajitokeza namna hiyo na bado vitu vizito vinakuja soon..
Hapana bana, mbona kuna kata zingine zina vijiji 14 na kila kijiji nasikia wanahitajika watu 4Na kila kata hawatazidi watu 5 watakwao chukuliwa daaah ! kuna nafas ndog mnooo ya kutoboa kwa walioomba. yote kwa yote bila conection hatobei mtu
Sw ila ushindani ni mkubwaa mnoooHapana bana, mbona kuna kata zingine zina vijiji 14 na kila kijiji nasikia wanahitajika watu 4
Vibaya mno nilichoona bila connection kutoboa ni vigumu tena sanaSw ila ushindani ni mkubwaa mnooo
Watu 4, hahahaha.....Hapana bana, mbona kuna kata zingine zina vijiji 14 na kila kijiji nasikia wanahitajika watu 4
Now utapumua kdgMOSHI DISTRICT. NIMEJIONA. NOW. MASUBILI HATUA INAYOFATA YA USAILI.......
Tafuta connection utakuja kulia humi [emoji23][emoji23]MOSHI DISTRICT. NIMEJIONA. NOW. MASUBILI HATUA INAYOFATA YA USAILI.......
Tanga wametoa mkinga tu hadi saiv kwengine kote bado [emoji1787]Jamn korogwe tanga
Pamoja mkuuSawa ingawa naskia mpaka kesho sijui
[emoji1787][emoji1787] da utafkiri wewe ndo kamisaa wa sensa[emoji15]KWA moshi Uru Kusini mpo zaidi ya 400 afu wengi wanachuo cha mwenge, mumejazana Kama nyuki kwenye mzinga mkaacha baadhi ya kata Kuna watu 80 tu. Subiri panga tu apo hutoboi dogo, narudia tena Uru Kusini hutoboi. Uru Kusini hutoboi
Bora watendaji hao walimu ni wabinafsi,usitegemee kupata ikiwa walimu watachakata wao Sababu hawezi kumuacha mwalimu mwenzake akuchukue wewe never hiyo haijalishi huyo mwalimu hayupo shuleni kwake,walimu wa hii nchi huwajui,tegemea kusaga menoNa watakao wafanyia usahili watahiniwa wa nafasi za sensa sio watendaji wa kata tena bali ni walimuu wakuu kutoka shule kadhaa ambao majina yao yameshapelekwa Wilayani pamoja na waratibu elimu Kata..
Nawapongeza NBS kwa hili maana itaondoa ile dhana mtendaji ndio mwenye maamuzi ya mwisho so kila mtu atapata haki yake .[emoji857][emoji857]
Watendaji wa Kata na Vijiji hawatahusika katika usahili ila watakuepo kwenye semina zinazoanza tarehe 29.Kama una vigezo na unaamini katika Mungu wako amini kua utapata [emoji120]
Majobless wenzangu tusikate tamaa hii ni nafasi nzuri ya kuanzia maisha kama tukifanikiwa kupata kiinua mgongo cha sensa[emoji122][emoji122]
Mapema wamekutema
Mwakidila mwisho wa lami karibu na msikiti wa vioo hapo vipi bado ? Hivi hiyo ni kata ?Tanga wametoa mkinga tu hadi saiv kwengine kote bado [emoji1787]
Kwani Waalimu ndio watendaji wa kata?Walimu kupewa jukumu la kusimamia usaili mpaka hapa tayari ni kosa la kiufundi maana kitakachofanyika ni walimu kubebana wao kwa wao kwa sababu sidhani kama mwl atamwacha mwl mwenzie yaani rafiki yake amchukue jobless graduate. It is IMPOSSIBLE narudia tena lT IS IMPOSSIBLE
Sijajua ila kwa wastani ukichukua idadi ya watu wanaohitajika kufanya kazi ya sensa na idadi ya vijiji vyote tz unapata wastani wa watu 12 kwa kila kijiji.Yaani watu kibao tunaenda kujazana ofisi za kata daah.
Hivi wanahitaji watu wangapi kwa kila kijiji/kata maana mtu unaweza kujichosha kufanya huo usaili kumbe wanahitajika mtu chache tu na tayari walishapangwa tayari.
NBS wangechambua tu wenyewe watoe mkeka hizi longo longo kibao ni kujifanya watenda haki ilhali wanakosea, kuwapa watu taharuki na kupotezeana muda bila sababu za msingi. Na wanajua fika kua lazma upangwaji wa watu kwa connection zao utakua ni mkubwa sana.