Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

[emoji15]KWA moshi Uru Kusini mpo zaidi ya 400 afu wengi wanachuo cha mwenge, mumejazana Kama nyuki kwenye mzinga mkaacha baadhi ya kata Kuna watu 80 tu. Subiri panga tu apo hutoboi dogo, narudia tena Uru Kusini hutoboi. Uru Kusini hutoboi
[emoji1787][emoji1787] da utafkiri wewe ndo kamisaa wa sensa
 
Na watakao wafanyia usahili watahiniwa wa nafasi za sensa sio watendaji wa kata tena bali ni walimuu wakuu kutoka shule kadhaa ambao majina yao yameshapelekwa Wilayani pamoja na waratibu elimu Kata..

Nawapongeza NBS kwa hili maana itaondoa ile dhana mtendaji ndio mwenye maamuzi ya mwisho so kila mtu atapata haki yake .[emoji857][emoji857]

Watendaji wa Kata na Vijiji hawatahusika katika usahili ila watakuepo kwenye semina zinazoanza tarehe 29.Kama una vigezo na unaamini katika Mungu wako amini kua utapata [emoji120]

Majobless wenzangu tusikate tamaa hii ni nafasi nzuri ya kuanzia maisha kama tukifanikiwa kupata kiinua mgongo cha sensa[emoji122][emoji122]
Bora watendaji hao walimu ni wabinafsi,usitegemee kupata ikiwa walimu watachakata wao Sababu hawezi kumuacha mwalimu mwenzake akuchukue wewe never hiyo haijalishi huyo mwalimu hayupo shuleni kwake,walimu wa hii nchi huwajui,tegemea kusaga meno
 
Yaani watu kibao tunaenda kujazana ofisi za kata daah.

Hivi wanahitaji watu wangapi kwa kila kijiji/kata maana mtu unaweza kujichosha kufanya huo usaili kumbe wanahitajika mtu chache tu na tayari walishapangwa tayari.

NBS wangechambua tu wenyewe watoe mkeka hizi longo longo kibao ni kujifanya watenda haki ilhali wanakosea, kuwapa watu taharuki na kupotezeana muda bila sababu za msingi. Na wanajua fika kua lazma upangwaji wa watu kwa connection zao utakua ni mkubwa sana.
 
Walimu kupewa jukumu la kusimamia usaili mpaka hapa tayari ni kosa la kiufundi maana kitakachofanyika ni walimu kubebana wao kwa wao kwa sababu sidhani kama mwl atamwacha mwl mwenzie yaani rafiki yake amchukue jobless graduate. It is IMPOSSIBLE narudia tena lT IS IMPOSSIBLE
Kwani Waalimu ndio watendaji wa kata?
 
Yaani watu kibao tunaenda kujazana ofisi za kata daah.

Hivi wanahitaji watu wangapi kwa kila kijiji/kata maana mtu unaweza kujichosha kufanya huo usaili kumbe wanahitajika mtu chache tu na tayari walishapangwa tayari.

NBS wangechambua tu wenyewe watoe mkeka hizi longo longo kibao ni kujifanya watenda haki ilhali wanakosea, kuwapa watu taharuki na kupotezeana muda bila sababu za msingi. Na wanajua fika kua lazma upangwaji wa watu kwa connection zao utakua ni mkubwa sana.
Sijajua ila kwa wastani ukichukua idadi ya watu wanaohitajika kufanya kazi ya sensa na idadi ya vijiji vyote tz unapata wastani wa watu 12 kwa kila kijiji.
 
Back
Top Bottom