Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Hapana bana, mbona kuna kata zingine zina vijiji 14 na kila kijiji nasikia wanahitajika watu 4
Watu 4 ni wasimamizi au makarani??

je kila kitongoji kunatakiwa kuwe na makarani wangapi??

je kama umeomba kijiji x unaweza chaguliwa kufanya kazi kijiji y vijiji vyote vipo ndani ya kata moja?
 
Asslam Alaykum.
Wilaya ya Mjini imejiwekea Utaratibu wake wa kufanya Uhakiki kwa Wale wote ambao watafanya usaili Tarehe 19/7/2022. Utaratibu ni kama ufuatao:

Siku ya Jumatatu ya Tarehe 18/7/2022 Waliomba Ajira ya Muda ya Sensa na Makazi wanatakiwa kuwaona Masheha wao kwa Ili akuhakiki katika Maeneo Maalum kama Ifuatayo.

Eneo la Skuli ya Bitihamran saa 1 asubuhi Masheha 15 watakuwa hapo: Mpendae, Bitihamrani,Migombani, Kilimani, Magomeni,Meya,Jangombe, Matarumbeta, Kidongo. Chekundu, Urusi, Kwamtumwajeni, Kwa wazee,Sogea na Nyerere.

Eneo la Karakana/ hospital ya Chumbuni Asubuhi saa 1 Masheha 9 watakuwepo hapo.
Karakana, Banco, chumbuni, Muembe Makumbi, Masumbani,Maruhubi, Kwamtipura, Mboriborini na. Mitiulaya.

Eneo la Hospitali ya Lumumba asubuhi saa 2 Asubuhi Masheha 13 watakuwepo hapo:
Gulioni, Makadara, Mikunguni, Mapinduzi,Saateni, Mlandege, Mkele, Shaurimoyo, Kwahani, Kwalinato, Kwalimsha, Muungano na Muembeladu.

Eneo la Malindi katika Soko la Samaki saa 3 asubuhi Masheha 5 watakuwa hapo.
Malindi,, Kiponda,. Mkunazini. Shangani na mnazimmoja

Tangazo hilo tunalitoa katika mitandao ya Kijamii ya Wilaya tukiamini ya kwamba muombaji anatumia teknologia.

Ukiliona Tangazo hili mujulishe na Mwenzio.
 
Udini unewakaa sana ndio mana ukifika pemba ni magofu tu na harufu za mashombo ya samaki na mapweza, roho mbaya zimewajaa zaidi ya shetani firauni. Akipata mkristo kazi ya sensa zanzibar mm na kwenda kujilipua na petrol.
 
Udini unewakaa sana ndio mana ukifika pemba ni magofu tu na harufu za mashombo ya samaki na mapweza, roho mbaya zimewajaa zaidi ya shetani firauni. Akipata mkristo kazi ya sensa zanzibar mm na kwenda kujilipua na petrol.
Kitu ulichokua hujui, jaribu kuuliza au kutafakari kwa kina kabla hujaongea au kuandika kitu.
Tumia akili kabla hujatumia matako
 
Bora watendaji hao walimu ni wabinafsi,usitegemee kupata ikiwa walimu watachakata wao Sababu hawezi kumuacha mwalimu mwenzake akuchukue wewe never hiyo haijalishi huyo mwalimu hayupo shuleni kwake,walimu wa hii nchi huwajui,tegemea kusaga meno
Daaah! Mmeshaanza lawama kwa walimu tena? Ila watu mbona mliafiki watendaji kusimamia hili zoezi?
 
Kuna halmashauri hazipo siriaz wenzao wanapakia majina wao sijui wanafanya nn
 
Watu 4 ni wasimamizi au makarani??

je kila kitongoji kunatakiwa kuwe na makarani wangapi??

je kama umeomba kijiji x unaweza chaguliwa kufanya kazi kijiji y vijiji vyote vipo ndani ya kata moja?
Eneo uliloombea si lazima ufanyie kazi hapohapo, unaweza ukawa umeomba eneo X kisha ukapangwa eneo Z huwaga iko hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…