😁😁muache mwana akapambaneKuna Jobless mwenzangu kesho anpanda gari dar awahi usahili Ntwara J4,nimeambiwa usijali umeenda wakati muafaka coz ukikatwa kwenye usahili utaenda kulimia mikorosho na kujiandaa na msimu hivyo nauli yako haijaenda bure .
AsanteKwa halmashauri ya mafinga majina wamebandika kwenye ofisi za watendaji so pitieni huko
Langu nimeliona ila duh [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mwenye ako na maswali yanayoulizwa anipe asee
Wanachakachua kwanza. Walimu wanapita free kwakuwa watakua busy kazini siku ya usahili. Wameorodhesha majina yaoDar mpaka Moro kumekuwa kugumu mpaka muda huu
Upo tabora mkuu?Hata Tabora ni hivyohivyo
Shukrani chiefKinondoni bado, hadi keshokutwa
Kata ganHaya majina yaliyotoka wamechambua akina nani? Maana kuna vituko vingi sana.
Kwa mfano rafiki zangu wana degree za IT ila hawamo kwenye shortlisted ya kwenda kufanya usaili ila mtu cheti cha short course za ICT jina lake limo..
Pepo shindwa sili mashogabuku
Ukarani au tehama?Haya majina yaliyotoka wamechambua akina nani? Maana kuna vituko vingi sana.
Kwa mfano rafiki zangu wana degree za IT ila hawamo kwenye shortlisted ya kwenda kufanya usaili ila mtu cheti cha short course za ICT jina lake limo..
Ndugu wawili wilaya XYZ mmoja kasoma ualimu na mwingine uhasibu wote wamepata afisa tehama ....😂😂kifupi hawana hata vyeti vya shoti kozi ya Tehama ila wamepata nbs wametishaaaa mamaeeeHaya majina yaliyotoka wamechambua akina nani? Maana kuna vituko vingi sana.
Kwa mfano rafiki zangu wana degree za IT ila hawamo kwenye shortlisted ya kwenda kufanya usaili ila mtu cheti cha short course za ICT jina lake limo..a m
Funguka mkuu ili wajifunze tofauti na hapo unalea ujingaWilaya X sitaki kuiweka hadharani lakini kuna maajabu hayo.
Hata Tabora ni hivyohivyo