Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Sema ni Halmashauri gani michezo ya Halmashauri ni hatari kwa ustawi wa nchi. Hata usiogope na sio jambo la kushtua mtu mwenye Elimu ya kidato Cha nne akachukuliwa na mwenye degree akaachwaWilaya X sitaki kuiweka hadharani lakini kuna maajabu hayo.
Hahahaha...umeandika kwa uchungu Sana ila nakuombea usijiunge na makundi ya kiharamia maana level uliofikia ya uchungu ni ile ya liwalo na liwe.Ndugu wawili wilaya XYZ mmoja kasoma ualimu na mwingine uhasibu wote wamepata afisa tehama ....😂😂kifupi hawana hata vyeti vya shoti kozi ya Tehama ila wamepata nbs wametishaaaa mamaeee
Embu acha uongo mpwayungu ww mm nipo zenji nambie makao makuu yke iyo brotherhood yako wapi?Bado hujajua tu hata matamshi yake ni religion oriented?, nikishasema Allah Akbar haina maana ni uislam Bali ni salamu tu ila ipo kidini zaidi. Zanzibar kule wana umoja unaoitwa Muslim brotherhood huu umoja wa waislam wenye hasira kali na itikadi zao zakidini, saud Arabia iliko makka bado huu umoja waliukataa lakini zanzibar wanejiunga, hawa ni Jihad wakisikia mkristo kapewa kipaombele unajitakia kufa
Mkuu kwenye ualimu huwa kuna course inaitwa COMPUTER LITERACY FOR TEACHER huwa inahusiana na mambo kama hayo. Kuwa mpoleNdugu wawili wilaya XYZ mmoja kasoma ualimu na mwingine uhasibu wote wamepata afisa tehama ....😂😂kifupi hawana hata vyeti vya shoti kozi ya Tehama ila wamepata nbs wametishaaaa mamaeee
Mkuu nakubaliana na wewe 100%,,Haya majina wamemaliza katani na wilayani NBS hawajahusika kwa lolote,,Hahahaha...umeandika kwa uchungu Sana ila nakuombea usijiunge na makundi ya kiharamia maana level uliofikia ya uchungu ni ile ya liwalo na liwe.
Huo mchezo NBS hata hawaujui majina yamechezewa Serikali za mitaa. Kuanzia alhamis baada ya usaili kitapelekwa kilio Cha mbwa kubweka mdomo juu huuuuhuuuu
Fugisu inapigwa hapo Mzee 😂,Inakuwaje halmashauri za Vijijini zinatoa mikeka halafu hizi za mjini hakuna kitu
We jamaa Muongo Muongo Sana..tushakuchokaBado hujajua tu hata matamshi yake ni religion oriented?, nikishasema Allah Akbar haina maana ni uislam Bali ni salamu tu ila ipo kidini zaidi. Zanzibar kule wana umoja unaoitwa Muslim brotherhood huu umoja wa waislam wenye hasira kali na itikadi zao zakidini, saud Arabia iliko makka bado huu umoja waliukataa lakini zanzibar wanejiunga, hawa ni Jihad wakisikia mkristo kapewa kipaombele unajitakia kufa
Molodo ilideHaya majina yaliyotoka wamechambua akina nani? Maana kuna vituko vingi sana.
Kwa mfano rafiki zangu wana degree za IT ila hawamo kwenye shortlisted ya kwenda kufanya usaili ila mtu cheti cha short course za ICT jina lake limo..
yani NBS ninyi mungu anawaona kwakweli.Haya majina si waya upload mtandaoni tuyakute NBS mambo gani haya
Unaweza ukawa upo ndani umelala unakuna pumbu
Kumbe wenzako wapo kwenye usaili
Unaitwa jina hauonekani
subiri interview uone kama utapita,niite shoga ukipita kwenye usaili nipo hapaaaWatu wametokwa na mapovu Mara ohhh sasa Mimi Nina degree inakuwaje nikose Mimi apate !wenye elimu ndogo zaidi yangu tulieni dawa iwaingie mmejaza makaratasi kichwani hamna kitu mmezeshwa majivuno na kujikweza
Mkuu nakubaliana na wewe 100%,,Haya majina wamemaliza katani na wilayani NBS hawajahusika kwa lolote,,
KWANINI NASEMA HIVI!
Nina ndugu yangu kaajiriwa juzi ni afisa kwenye kata fulani ila cha ajabu kwenye majina ya usahili jina lake halijarudi na ana vigezo vyote na elimu ya kutosha(Wengi wasio na vigezo majina yao yamerudi hata walioishia form 3[emoji1]),,maana yake walipoona ameajiriwa wakaamua kumkata jina lake lisiwe shortlisted kwahiyo hapo NBS hawahusiki
Mkuu kwenye ualimu huwa kuna course inaitwa COMPUTER LITERACY FOR TEACHER huwa inahusiana na mambo kama hayo. Kuwa mpole
Ni Tanzania tu form 4 anawekwa kwenye kundi sawa kwenye ajira na mwenye masters na wote wanasubiri kufanyiwa usaili na darasa la saba. Nchi nyingine panga lenye makali kuwili lingepita na form 4 wote.Watu wametokwa na mapovu Mara ohhh sasa Mimi Nina degree inakuwaje nikose Mimi apate !wenye elimu ndogo zaidi yangu tulieni dawa iwaingie mmejaza makaratasi kichwani hamna kitu mmezeshwa majivuno na kujikweza
ni Aibu kwa msomi kulialiaNi Tanzania tu form 4 anawekwa kwenye kundi sawa kwenye ajira na mwenye masters na wote wanasubiri kufanyiwa usaili na darasa la saba. Nchi nyingine panga lenye makali kuwili lingepita na form 4 wote.
Sio mbaya nanyi mpate kitu Cha kusimulia wajukuu mkekani enzi hizo mkiwa wahenga' hapo zamani za kawe kulikuwa na usaili ...'
Hii sio ramli, mi nimeitwa niliomba usimamizi maudhui ila ndio hivyo UE sijamaliza na majina yametoka leo.Uzi bila ramli haunogi baada ya ya mikeka ramli yangu ni hivi;
Kuna watu majina yametoka ila wapo chuo wanapiga pepa wengine field na wengine wapo mbali na maeneo yao sasa kwa vile siku za usahili zipo karibu wale walioitwa watarajie kupata moja kwa moja coz nafasi nyingi zitakuwa wazi . Mwisho wa ramli