Jiwe ndo alifanya wasomi wakadharaulika , wote alitaka tuwe wachoma mahindi ndo mana form four failure wanabonga Sana , mpak la Saba B nao wanabwabwaja huko bungeniUmeandika Upupu Tuuu,, hao wasomi wanausumbufu gani? yaan Ww unauhakika Kuwa Wasomi ni wasumbufu kuliko Form 4 ebu lete ushahidi hapa....Eti uchukue kilaza aliyepata mswaki wa hesabu akahesabu watu unamuacha Msomi mwenye uelewa mpana zaidii wa hesabu na Technologia...... Alafu unapanua Domo lako kuongea na kuandika hovyo hovyo,,,,,,, Ebu waacheni waliokomaa Na Elimu mkashindwa kuwaajiri Wapate pesa za kujiajirii
Kweli mtaani hali mbaya, wafanye chap! Watoe majina ya wana dsm maana huku ndio kimbembe
😆😆😆 Tangazo la ajira za sensa kionhozi lilitoka tangia April sasa from April to July kaka ni muda gani umepita ?Jenga hoja acha vihoja.Kila wakati unadandia yasiyohusika.Tunajadili simu au matumizi ya neno kadhaa?
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
hili zoezi wapewe vijana wasio na ajira na wazalendo wa nchi huwez mweka mtumishi kua karani ukamuacha asio na ajira akapata hata mtaji.Lini wameondolewa na wamerudishwa lini?
huku niliko taarifa imetolewa mchana na inaonesha agizo toka juu maana MKUU WA WILAYA alipigiwa simu na akatoa kauli ya watumishi kuondolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini muliwapa nafasi ya kuomba kama hamuwahitaji?hili zoezi wapewe vijana wasio na ajira na wazalendo wa nchi huwez mweka mtumishi kua karani ukamuacha asio na ajira akapata hata mtaji.
Huku nilipo watumishi ni kama wote.Lini wameondolewa na wamerudishwa lini?
huku niliko taarifa imetolewa mchana na inaonesha agizo toka juu maana MKUU WA WILAYA alipigiwa simu na akatoa kauli ya watumishi kuondolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huku hapo awali majina yalirudi yote,ila baadae watumishi wakaenguliwa na majina wanaenda kuchapa upya then wayabandike tena bila uwepo wa watumishi.Huku nilipo watumishi ni kama wote.
Yaani ni kama wamerudisha majina yoote ya walioomba.
Hiyo ya kuondoa watumishi labda ni huko kwenu mkuu.
Hata mim sijaomba nime tumiwakuna jamaa anatumiwaga na ajaomba aseeee hapo imekaaje
Duuh aisee kumbe, ngoja kesho kenye usaili tuone itakuaje.Hata huku hapo awali majina yalirudi yote,ila baadae watumishi wakaenguliwa na majina wanaenda kuchapa upya then wayabandike tena bila uwepo wa watumishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hatari na usaili umesogezwa mbele hadi kesho kutwa na sio kesho kama taarifa ilivyokawaDuuh aisee kumbe, ngoja kesho kenye usaili tuone itakuaje.
Nchi zima ama??Ni hatari na usaili umesogezwa mbele hadi kesho kutwa na sio kesho kama taarifa ilivyokawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu check **** mdau kalishalirusha.hapo juuMwenye pdf la Moro DC alibwage hapa jamvini wakuu
Ile pdf ni ya moro municipal
Kesho saa ngapi? Embu wasaidie watu link za kila manispaa (temeke, kigamboni, ubungo, ilala na kinondoni)Dar Interview kesho