Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kitaalamu imekaa vipi? kuna mtu namkutaga katika nyuzi fulani anasema yuko majuu ana kazi yake na kula bata cha ajabu kila siku yupo analilia mkeka humu na kulaumu serikali [emoji23][emoji23][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vihoja vya jeifu
 
KWA WALE WANAOENDA USAILI JIONGEZEENI MAARIFA KIDOGO KUHUSU SENSA [emoji116].

Sensa ya Watu na Makazi ni zoezi la kitaifa linalofanyika kila baada ya miaka 10 ambapo Sensa ya mwisho kufanyika nchini ni ile ya mwaka 2012.

Hivyo Sensa ya mwaka 2022 itakuwa ni sensa ya sita kufanyika nchini baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.

Sensa nyingine zilifanyika [emoji116] >>1967
>1978
>1988
>2002
>2012
 
Sensa ya 1967 watanzania walikuwa wangapi?
 
WILAYA YA KINONDONI NDO BADO AU TUMESHAPITA WOTEEEE HAINA HAJA YA USAILI ETI EH?? SAFI SANAAA WATUMISHI NA WENYE AJIRA WAONDOLEWE WOTEEEEE TUWEKWE MAJOBLESS TUPATE MITAJI,SERIKALI INATOA MIKOPO LAKINI KWA MASHARTI YA MWENDO KASI.
MAJOBLESS WOTEE TUSAPOTIANE KWA HILI TUPITE KWENYE KILA KITU NA KIASI CHOCHOTE UTAKACHO PATA TURIDHIKE NACHO TU.
 
Hizi movement zingekuwa zinafanyika mjini Twitter huenda zingezaa matunda ila humu jeiefu tutajiongelesha sana
 
Umeandika kwa uchungu Sana mkuu[emoji23][emoji23]
 
Daah haya maswali yamekuwa mengi hujui ukariri lipi Usaili wenyewe ni kesho saa mbili halafu ni wa mazungumzo hizi nondo nitazipitia asubuhi nikisubir jina langu liitwe nilale zangu tu [emoji3]

Shusheni maswali hayo mkuu
 
Wakuu naona majina ya kata ya tegeta, kawe bunju siyapati, mwenye kuweza kunisaidia naomba msaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…