Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kesho wahi pale bujingwa secondary kutakuwa na interview njoo na vyeti og na kitambulisho cha taifa. Taarifa hii ilikuwa kwa ajiri ya wasimamizi wa uchaguzi 2020
Confermed, kuna watu wanapigiwa simu na wengine sms kimya kimya kuitwa kesho kwenye usaili 😉🙄🙄🙄


Hii wilaya kiboko, na majina hakuna mahala ya mebandikwa 🤐 na hayapatikani kata zooooote
 
Confermed, kuna watu wanapigiwa simu na wengine sms kimya kimya kuitwa kesho kwenye usaili 😉🙄🙄🙄


Hii wilaya kiboko, na majina hakuna mahala ya mebandikwa 🤐 na hayapatikani kata zooooote
Mkuu watabandika kesho, kesho jaribu kuingia kwa kata ila ilemela kwa kujuana ni shida make nakumbuka anuani za makazi ilikuwa noma sana.

Mkuu kwani upo kata gani
 
Daah haya maswali yamekuwa mengi hujui ukariri lipi Usaili wenyewe ni kesho saa mbili halafu ni wa mazungumzo hizi nondo nitazipitia asubuhi nikisubir jina langu liitwe nilale zangu tu [emoji3]

Shusheni maswali hayo mkuu
mkuu na hatimaye jina lako ushaliona nini?
 
Confermed, kuna watu wanapigiwa simu na wengine sms kimya kimya kuitwa kesho kwenye usaili [emoji6][emoji849][emoji849][emoji849]


Hii wilaya kiboko, na majina hakuna mahala ya mebandikwa [emoji850] na hayapatikani kata zooooote
Ilemela ni wazushi sana
 
Mwenye link ya group la HR-TANZANIA , naomba aweke hapa maana huwa kuna discuss za maana kule kuhusu maswala ya sensa. Sema nilileft
 
Watendaji wamepewa rungu wasio na conection ni mwendo wa rungu tu [emoji23][emoji23]
Watendaji hapa ndipo watakapo jipalia kaa la moto, yaan japa wqsipo kaa vizuri watajitangazia vitaa na taifa la wasaka ajira ..😆😆 eiii yaan nbs wamewauzia kesi wa tendaji ...
 
Dar usahili utafanyika weekend ndio siku watumishi (hasa walimu) na wanafunzi (hasa wa vyuo) wapo off ili waweze kushiriki.
Walimu wakuu watasimamia show kuanzia usahili hadi mwisho
 
Watendaji hapa ndipo watakapo jipalia kaa la moto, yaan japa wqsipo kaa vizuri watajitangazia vitaa na taifa la wasaka ajira ..[emoji38][emoji38] eiii yaan nbs wamewauzia kesi wa tendaji ...
Mbna nasikia ni walimu wakuu na waratibu wa elimu
 
Confermed, kuna watu wanapigiwa simu na wengine sms kimya kimya kuitwa kesho kwenye usaili [emoji6][emoji849][emoji849][emoji849]


Hii wilaya kiboko, na majina hakuna mahala ya mebandikwa [emoji850] na hayapatikani kata zooooote[/QUOTE
 
Jiwe ndo alifanya wasomi wakadharaulika , wote alitaka tuwe wachoma mahindi ndo mana form four failure wanabonga Sana , mpak la Saba B nao wanabwabwaja huko bungeni
Nchi imekuwa ya mahayawani Tu hii , hopeless kabisa .Nchi isiyothamini elimu ni tundu la Choo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…