Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Ni Tanzania tu form 4 anawekwa kwenye kundi sawa kwenye ajira na mwenye masters na wote wanasubiri kufanyiwa usaili na darasa la saba. Nchi nyingine panga lenye makali kuwili lingepita na form 4 wote.

Sio mbaya nanyi mpate kitu Cha kusimulia wajukuu mkekani enzi hizo mkiwa wahenga' hapo zamani za kawe kulikuwa na usaili ...'
Ajira za sensa ni kwa ajili ya watu wa masters?

Hizo kazi hata form two mwenye upeo mkubwa na urlewa wa haraka akipewa maandalizi na training ya kutosha anaweza fanya vyema sana .

Kuzifikiria sana ajira za muda mfupi ni... Temporary solution to a permanent problem
 
Wakuu Mimi mtaani kwangu namshukuru Mungu ushindani siyo mgum kivile lakini sijaua kila mtaa wanatakiwa watu wangapi sasa. Kwa kata nzima tupo tupo 200+. Mtaani tupo 10 tu
 
Kwa wale wa Mahina na Mhandu-Mwanza, nadhani asubuhi mliwaasili kwenye eneo la tukio, mlijiandikisha na wakaita majina 120 kwa leo saa 4asubuhi, 120 kesho na 120 keshokutwa, huku walimu wakiombewa wawe wa kwanza kufanya usahili kwakuwa wanasimamia mitihani.

Huo ulikuwa mpango wa siku tatu, yaani kuanzia leo 19 hadi 21 kwa makarani, lakini ilipotimia saa 8:30mchana iliingia meseji kutoka kwenye namba ya mtendaji ikinitaka niende kwenye usahili ilihali mimi nilikuwa nifanye jumatano.

Nilikuwa mbali baada ya kuruhusiwa kuondoka kwa wale tusiotakiwa kufanya usahili siku ya leo, mida ya saa 10 jioni niliamua nipite hapo eneo la tukio kujua huu wito unaochanganya.

Nilifika nikakuta hata wale 120 wa leo hawakufanya usahili, bali nilikuta kamati ya sensa ikiomba radhi kwa siku ya leo, hivyo usahili utakuwa kesho, huku wakisisitiza saa moja watu wawe eneo la tukio, kwa mahina watakuwa mahina sekondari na mhandu watakuwa nyakato B, primary, hivyo kama una ndugu yako mjulishe hilo badiliko.

Ila siyo waalimu, mtendaji, meya, wana watu wao, inasikitisha sana, nilisikia waalimu wakinung'unika kwamba itakuwaje, sisi tunasimamia mock(Mkuu tusaidie), Mtendaji akisema yule ni mdau wangu lazima hata apate ya ukarani apate hela hii ya sensa, Mwisho, uhalisia zoezi linasikitisha hasa kwenye kujuana, msiokuwa na watu nendeni mkajaribu bahati yenu.
Walimu huwa wanatia huruma sana

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Hii nchi ina viongozi wa hovyo maana wao kila mambo wanafanya kisiasa tu yani hawapo serious. Kazi kama ya kuwa karani wa sensa au supervisor wanasema sifa awe amamaliza form four?, zoezi Zito kama hili linalohitaji umakini unampa form four nakati Kuna wasomi lukuki.

Haya Sasa piga mahesabu Tanzania nzima waliomaliza form four to above ni wa ngapi. Huo mchujo watauweza au wanatafuta popularity ya kisiasa wapendwe mpaka na mbumbumbu. halafu hizi chaguzi za makarani na wasimamizi wa sensa wangewaachia halmashauri na vitongoji vyake sio NBS maana kwa NBS kufanya screening kwa applicants zaidi ya million 15 sio kitu rahisi. Ngoja tusubiri ila mm si apply maana huu ni utoto.
Acha ujinga, mtu wa form anaweza kufanya ukarani wa sensa na kwa ufanisi mkubwa kama mtu wa degree, kama una degree na huna kazi usiwabanie wenzako kwa sababu za kipuuzi
 
Back
Top Bottom