Ajira za sensa ni kwa ajili ya watu wa masters?Ni Tanzania tu form 4 anawekwa kwenye kundi sawa kwenye ajira na mwenye masters na wote wanasubiri kufanyiwa usaili na darasa la saba. Nchi nyingine panga lenye makali kuwili lingepita na form 4 wote.
Sio mbaya nanyi mpate kitu Cha kusimulia wajukuu mkekani enzi hizo mkiwa wahenga' hapo zamani za kawe kulikuwa na usaili ...'
Kule telegram yapo HR tanzaniaJAMANI TUSAIDIANE NA MAJINA YA KATA YA KUNDUCHI MANISPAA YA KINONDONI MAJINA KAMA YAMEBANDIKWA WENGINE TUPO MBALI.
Unaonyesha kadi kwenye msitariSa utajulikanaje kua wewe ni uvccm[emoji849]
Watalamba nyapu sanaWatendaji wamepewa rungu wasio na conection ni mwendo wa rungu tu [emoji23][emoji23]
Usaili kesho na kweny ubao Wa kata hamnWale.wa ilemela mzgo ulishapakiwa tayari tembelea kwenye website ya ilemela usahili Kesho SA mbili
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Ilala mkeka updateView attachment MAJINA YA USAILI WILAYA YA ILALA.pdfIlala majina 350 wilaya nzima ,Mungu atusaidie kuna dalili nzuri tukatoboa kwa wnye kufahm wilay nzm au kata itahitaji makaran wngp atujuze
Walimu huwa wanatia huruma sanaKwa wale wa Mahina na Mhandu-Mwanza, nadhani asubuhi mliwaasili kwenye eneo la tukio, mlijiandikisha na wakaita majina 120 kwa leo saa 4asubuhi, 120 kesho na 120 keshokutwa, huku walimu wakiombewa wawe wa kwanza kufanya usahili kwakuwa wanasimamia mitihani.
Huo ulikuwa mpango wa siku tatu, yaani kuanzia leo 19 hadi 21 kwa makarani, lakini ilipotimia saa 8:30mchana iliingia meseji kutoka kwenye namba ya mtendaji ikinitaka niende kwenye usahili ilihali mimi nilikuwa nifanye jumatano.
Nilikuwa mbali baada ya kuruhusiwa kuondoka kwa wale tusiotakiwa kufanya usahili siku ya leo, mida ya saa 10 jioni niliamua nipite hapo eneo la tukio kujua huu wito unaochanganya.
Nilifika nikakuta hata wale 120 wa leo hawakufanya usahili, bali nilikuta kamati ya sensa ikiomba radhi kwa siku ya leo, hivyo usahili utakuwa kesho, huku wakisisitiza saa moja watu wawe eneo la tukio, kwa mahina watakuwa mahina sekondari na mhandu watakuwa nyakato B, primary, hivyo kama una ndugu yako mjulishe hilo badiliko.
Ila siyo waalimu, mtendaji, meya, wana watu wao, inasikitisha sana, nilisikia waalimu wakinung'unika kwamba itakuwaje, sisi tunasimamia mock(Mkuu tusaidie), Mtendaji akisema yule ni mdau wangu lazima hata apate ya ukarani apate hela hii ya sensa, Mwisho, uhalisia zoezi linasikitisha hasa kwenye kujuana, msiokuwa na watu nendeni mkajaribu bahati yenu.
Bunju maudhui hakuna walioitwaYa bunju hakuna kule
Acha ujinga, mtu wa form anaweza kufanya ukarani wa sensa na kwa ufanisi mkubwa kama mtu wa degree, kama una degree na huna kazi usiwabanie wenzako kwa sababu za kipuuziHii nchi ina viongozi wa hovyo maana wao kila mambo wanafanya kisiasa tu yani hawapo serious. Kazi kama ya kuwa karani wa sensa au supervisor wanasema sifa awe amamaliza form four?, zoezi Zito kama hili linalohitaji umakini unampa form four nakati Kuna wasomi lukuki.
Haya Sasa piga mahesabu Tanzania nzima waliomaliza form four to above ni wa ngapi. Huo mchujo watauweza au wanatafuta popularity ya kisiasa wapendwe mpaka na mbumbumbu. halafu hizi chaguzi za makarani na wasimamizi wa sensa wangewaachia halmashauri na vitongoji vyake sio NBS maana kwa NBS kufanya screening kwa applicants zaidi ya million 15 sio kitu rahisi. Ngoja tusubiri ila mm si apply maana huu ni utoto.
Sawa nimeacha ujinga kiongozi wanguAcha ujinga, mtu wa form anaweza kufanya ukarani wa sensa na kwa ufanisi mkubwa kama mtu wa degree, kama una degree na huna kazi usiwabanie wenzako kwa sababu za kipuuzi
Majina yapo kwenye website ya ilemela Check mkuuUsaili kesho na kweny ubao Wa kata hamn
Eeeh tunakoelekea itatubid tuzkane kadi za chama kama yule dada maana ugali ni muhim kuliko siasaUnaonyesha kadi kwenye msitari
I think "smart casual" is enough! Maana shughuli hii ni ya field zaidiVipi dressing code
Shati nyeusiVipi dressing code