Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Hivi Temeke ni kweli wamepita kimya kimya ?
 
Siamini kama umepoteza muda wote kuchapa hii code, sometimes ni vizuri ku skip baadhi ya unnecessary leagues BTW kuna mengi ya kufanya kwa muda huu.. Ushauri tu
 
Siamini kama umepoteza muda wote kuchapa hii code, sometimes ni vizuri ku skip baadhi ya unnecessary leagues BTW kuna mengi ya kufanya kwa muda huu.. Ushauri tu
Kiongozi nadhani msomi wetu amesema anahitaji swali lolote la teknolojia yupo vyema kuliko sisi tuliopoteza muda kwenda vyuo.Samahani pia
 
Siamini kama umepoteza muda wote kuchapa hii code, sometimes ni vizuri ku skip baadhi ya unnecessary leagues BTW kuna mengi ya kufanya kwa muda huu.. Ushauri tu
Ashamaliza kufanyiwa usaili huyo mwache apumzike mkuu 😄😄
 
Nyie mmeulizwa ngoma ngumu...sehemu nyingine taja jina la diwani..mtendaji..Sensa ya mwisho..jukumu la karani
Ukiwa mtu wa mwisho mwisho wajuba wanakua washachoka hawana maswali konki wala hawataki kupoteza muda sana.
Ila monie mzee wanakiaga na maswali ya kiwaki sana.
 
Wilaya ya kyerwa kagera Walioomba maudhui wote wamehamishiwa kwenye Ukarani halafu Wasimamizi wa maudhui wamechukuliwa waalimu
 
Hahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…