Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Maswali mengine ya kipuuzi tyuNimeulizwa pia ilo nikasema mmh!! Huu mtego au?? Nikawaambia zoezi la sensa linaanza tarehe 23/8 haifiki mwezi wa 9 akasema hujaelewa swali tunarudia wakarudia ikabid tu niseme ndiyo ila wamenichanganya
Siamini kama umepoteza muda wote kuchapa hii code, sometimes ni vizuri ku skip baadhi ya unnecessary leagues BTW kuna mengi ya kufanya kwa muda huu.. Ushauri tu[emoji116][emoji116][emoji116] Nisaidie jibu
Break this algorithm to nth number sqrt()
-float Q_rsqrt( float number )
{
long i;
float x2, y;
const float threehalfs = 1.5F;
x2 = number * 0.5F;
y = number;
i = * ( long * ) &y; // evil floating point bit level hacking
i = 0x5f3759df - ( i >> 1 ); // what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
y = * ( float * ) &i;
y = y * ( threehalfs - ( x2 * y * y ) ); // 1st iteration
// y = y * ( threehalfs - ( x2 * y * y ) ); // 2nd iteration, this can be removed
return y;
}
Huko wilaya ya ilemelaUmesikia wapi?
Kiongozi nadhani msomi wetu amesema anahitaji swali lolote la teknolojia yupo vyema kuliko sisi tuliopoteza muda kwenda vyuo.Samahani piaSiamini kama umepoteza muda wote kuchapa hii code, sometimes ni vizuri ku skip baadhi ya unnecessary leagues BTW kuna mengi ya kufanya kwa muda huu.. Ushauri tu
Ashamaliza kufanyiwa usaili huyo mwache apumzike mkuu 😄😄Siamini kama umepoteza muda wote kuchapa hii code, sometimes ni vizuri ku skip baadhi ya unnecessary leagues BTW kuna mengi ya kufanya kwa muda huu.. Ushauri tu
[emoji23][emoji23][emoji23] Kiongozi bado sijanyolewa ila kuna vitu vinakera.Anyway tukomae tulambe hiyo mitajiAshamaliza kufanyiwa usaili huyo mwache apumzike mkuu [emoji1][emoji1]
Nyie mmeulizwa ngoma ngumu...sehemu nyingine taja jina la diwani..mtendaji..Sensa ya mwisho..jukumu la karaniMtaje kamishna wa kwanza wa Sensa wa mwaka 1967 na utuambie ropoti yake aliizindua nani mwaka 1968 ?
Mimi nimeambiwa "nakutaka Kazi ukichaguliwa kuwa karani wa sensa"Hivi kama ukiambiwa hivi baada ya usahili ina. Maana gani ? " HAYA KWA HERI..."
Ukiwa mtu wa mwisho mwisho wajuba wanakua washachoka hawana maswali konki wala hawataki kupoteza muda sana.Nyie mmeulizwa ngoma ngumu...sehemu nyingine taja jina la diwani..mtendaji..Sensa ya mwisho..jukumu la karani
Kwan karani anajukumu gani ?Nyie mmeulizwa ngoma ngumu...sehemu nyingine taja jina la diwani..mtendaji..Sensa ya mwisho..jukumu la karani
Integrate integral of √TanX [emoji57]Kiongozi nadhani msomi wetu amesema anahitaji swali lolote la teknolojia yupo vyema kuliko sisi tuliopoteza muda kwenda vyuo.Samahani pia
Kukusanya taarifa za idadi ya watu na makazi na kuzituma kwenye mfumo uliopo kwenye vishkwambi na kutumaKwan karani anajukumu gani ?
HahahahahMdogo wangu ananiambia kakutana na panelist vilaza hawajui ya kuwa majukumu ya karani wa sensa ndio kazi za karani wa sensa ......
Kwa maana walimuuliza kazi za karani yy akaanza kuwashushia kje eti gafla waka mwambia anatqja majukumu na wao wanataka kazi za karani dogo akasema nyie nyote ni vilanza dogo akasepa