Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nmekutana na Mwalimu wangu wa sekondari kwenye usaili...nilivyoingia tu akanitambua kisha akatabasamu akaniambia "Dogo vipi?" Nikaitia, halafu akaniuliza unanikumbuka nikamjibu "ndiyo"
Akaniambia "ok kila la kheri" nikasepa, interview yangu ikawa imeishia hapo.

Kweli nmeamini kujuana kupo.
Alimaanosha kila la kheri katika usahili sio katika kazi akashangaa wewe unaondoka!
 
Kwa ambao watakao fanya usahihi kwa siku zijazo au kesho zingatia ukifika eneo la usahili salimia watu possible zipo ...
Kuna bwege Leo kasababisha ntafeli usaili, niliuliza swali akajibu ebanae nilivoingia kwa usaili Hilo swali likaulizwa mimi nikawa chap kujibu lile jibu la Yule bwege kumbe Ni la uongo.
 
Kuna bwege Leo kasababisha ntafeli usaili, niliuliza swali akajibu ebanae nilivoingia kwa usaili Hilo swali likaulizwa mimi nikawa chap kujibu like jibu la Yule bwege kumbe Ni la uongo.
Jana kuna walimu baada ya kusikia kipaumbele watapewa wasio na ajira wakaamua kufanya movement ya kuwalisha sumu ma jobless kwa kiwapa majibu ya uongo ili angalau wao watengeneze nafasi ya kuchaguliwa.

Imagine mtu anaambiwa ukiulizwa kama upo tayari kushiriki zoezi la sensa, jibu hapana. Na kweli mtu anaenda kijibu hivyo, analiwa kichwa.
 
Nimeomba usimamizi wa maudhui majina yaliotoka ni makarani tuu peke yake. Wananiambia ukiona jina lako kwa makarani basi ujachaguliwa. Huu usaili hata haueleweki
 
Nimeulizwa pia ilo nikasema mmh!! Huu mtego au?? Nikawaambia zoezi la sensa linaanza tarehe 23/8 haifiki mwezi wa 9 akasema hujaelewa swali tunarudia wakarudia ikabid tu niseme ndiyo ila wamenichanganya
Ukisema hapana umekwisha,na naona hapo walikuonea huruma.

Maana yeye kauliza upo tayari haijalishi unajua nn kuhusu sensa inaanza lini.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hawajakatwa wamewekwa kwenye ukarani, maswali yao yako sawa kati ya Maudhui na Makarani.
Ukipita watakupangia kwenye kitengo chako. Ondoa hofu.
Hawajaitwa hata kwenye usaili sasa wanapita wapi
 
Leo,kesho majina out!! Hku niliko mbanga ni za kutosha!! Nawaona maslay queen wanavyoliwa kimasihara mchana kweupeeee...maana c kwa shobo hz!!!!
Washkaji tuendelee kutafta hela aisee hii sensa tumepgwa za uso live[emoji15]
Mi nishawaambia haijalishi umepata maswali au umekosa kama mbanga unayo unapita ngoja list itoke uone


Ila kitakacho okoa watu hii operation ya kuondoa watumishi ipite na kwa baadhi ya wilaya nyengine ..sumbawanga nimeskia jana ila sina uhakika kama ni kweli
 
Mwenye nondo za watu wa MAUDHUI jamani tusaidiane.

nilijua mimi ni KARANI kumbe nimo maudhui
 
Mi nishawaambia haijalishi umepata maswali au umekosa kama mbanga unayo unapita ngoja list itoke uone


Ila kitakacho okoa watu hii operation ya kuondoa watumishi ipite na kwa baadhi ya wilaya nyengine ..sumbawanga nimeskia jana ila sina uhakika kama ni kweli
Nadhani ni nchi nzima, hata huku niliona mwongozo kuwa wafanyakazi wawekwa endapo ma jobless wenye sifa wakiisha na nafasi zikabaki wazi.
 
Back
Top Bottom