Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

baadhi ya watu kata ya kilakala wakiwa katika usahiri
IMG_20220721_081336.jpg
 
Nadhani ni nchi nzima, hata huku niliona mwongozo kuwa wafanyakazi wawekwa endapo ma jobless wenye sifa wakiisha na nafasi zikabaki wazi.
Mambo yanaanza kubadilika zamani hizi nafasi kwa asilimia kubwa ilikuwa zao ila sahivi watu wamechafukwa na graduate wanaongezeka
 
Vipi kwa wilaya ambazo watu wa maudhui wote hawajaitwa kwenye usaili?
Hakuna wilaya hawajaita Watu wa Maudhui, majina yamechanganywa humohumo ndani. Vijana mlioomba mnapata hizo kazi, majina yenu yametoka.

Angalieni sehemu ya makarani yamechanganywa humohumo.
 
Hakuna wilaya hawajaita Watu wa Maudhui, majina yamechanganywa humohumo ndani. Vijana mlioomba mnapata hizo kazi, majina yenu yametoka.

Angalieni sehemu ya makarani yamechanganywa humohumo.
Mkuu sio kweli unachoongea Kuna wilaya hawajaita kabisa watu wa maudhui
 
Kwa wale wa Mahina na Mhandu-Mwanza, nadhani asubuhi mliwaasili kwenye eneo la tukio, mlijiandikisha na wakaita majina 120 kwa leo saa 4asubuhi, 120 kesho na 120 keshokutwa, huku walimu wakiombewa wawe wa kwanza kufanya usahili kwakuwa wanasimamia mitihani.

Huo ulikuwa mpango wa siku tatu, yaani kuanzia leo 19 hadi 21 kwa makarani, lakini ilipotimia saa 8:30mchana iliingia meseji kutoka kwenye namba ya mtendaji ikinitaka niende kwenye usahili ilihali mimi nilikuwa nifanye jumatano.

Nilikuwa mbali baada ya kuruhusiwa kuondoka kwa wale tusiotakiwa kufanya usahili siku ya leo, mida ya saa 10 jioni niliamua nipite hapo eneo la tukio kujua huu wito unaochanganya.

Nilifika nikakuta hata wale 120 wa leo hawakufanya usahili, bali nilikuta kamati ya sensa ikiomba radhi kwa siku ya leo, hivyo usahili utakuwa kesho, huku wakisisitiza saa moja watu wawe eneo la tukio, kwa mahina watakuwa mahina sekondari na mhandu watakuwa nyakato B, primary, hivyo kama una ndugu yako mjulishe hilo badiliko.

Ila siyo waalimu, mtendaji, meya, wana watu wao, inasikitisha sana, nilisikia waalimu wakinung'unika kwamba itakuwaje, sisi tunasimamia mock(Mkuu tusaidie), Mtendaji akisema yule ni mdau wangu lazima hata apate ya ukarani apate hela hii ya sensa, Mwisho, uhalisia zoezi linasikitisha hasa kwenye kujuana, msiokuwa na watu nendeni mkajaribu bahati yenu.
Last line....watu nenden mkajaribu bahati yenu
 
Mnaweza kuamini ndani ya masaa saba tumefanyiwa usaili watu mia sita[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Hii nchi ngumu sanaaa



Ova
Panel zilikuwepo ngap? Kama zilikuwepo nyingi basi inawezekana vzuri sana
 
Mkuu sio kweli unachoongea Kuna wilaya hawajaita kabisa watu wa maudhui
Wasimamizi wa maudhui wengi wanachukuliwa kwanza wale waliokuwa wanawafanyia usaili yaani walimu wakuu kama kutatokea upungufu ndio wanaongezea hawa wengine ambao waliomba.

Kwahyo sehemu nyingine wamerahisisha wasiwasumbue kwenda kwenye usaili ili huo muda nikapambane na ishu nyingine.
 
Leo,kesho majina out!! Hku niliko mbanga ni za kutosha!! Nawaona maslay queen wanavyoliwa kimasihara mchana kweupeeee...maana c kwa shobo hz!!!!
Washkaji tuendelee kutafta hela aisee hii sensa tumepgwa za uso live[emoji15]
Ukweli huu
 
Kata ya uru kusini , majina ya wasahiliwa yalikuwa zaidi ya 400+ pamoja na muda wenywe wa usahili , kazi ilienda hivyo basi , nipo na jiuliza hapa. Idadi ile je sisi. Jobless graduates je tunaweza fikiriwa ?? Au. Tuanze kuchukua hatua nyingine , maana mimi nataka niende katika wilaya moja wapo hapa kilimanjaro ye yenye upungufu wa makarani nika jaribu kuulizia kama naweza ingizwa kwenyw system huko huki , wilaya hizo ni hai dc au rombo dc
 
Kata ya uru kusini , majina ya wasahiliwa yalikuwa zaidi ya 400+ pamoja na muda wenywe wa usahili , kazi ilienda hivyo basi , nipo na jiuliza hapa. Idadi ile je sisi. Jobless graduates je tunaweza fikiriwa ?? Au. Tuanze kuchukua hatua nyingine , maana mimi nataka niende katika wilaya moja wapo hapa kilimanjaro ye yenye upungufu wa makarani nika jaribu kuulizia kama naweza ingizwa kwenyw system huko huki , wilaya hizo ni hai dc au rombo dc
kua mvumilivu ndugu yangu[emoji38][emoji4]tatizo umepaniki sanaaaaa.
 
Back
Top Bottom