luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Mkuu mbona unachekaHahahahah
Hamnanini kinafata mkuu??nimeskia tetesi kuna usaili wa pili?
Hasa halimashauri za mji kuna viongozi kama wote hapoKuna maeneo hizi kazi kama huna konekshen hupat
This question is invalid hahahahaMtaje kamishna wa kwanza wa Sensa wa mwaka 1967 na utuambie ropoti yake aliizindua nani mwaka 1968 ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]subilia majina yatoke ndo usherehekee Mana figisu zipo nyingiNmekutana na Mwalimu wangu wa sekondari kwenye usaili...nilivyoingia tu akanitambua kisha akatabasamu akaniambia "Dogo vipi?" Nikaitia, halafu akaniuliza unanikumbuka nikamjibu "ndiyo"
Akaniambia "ok kila la kheri" nikasepa, interview yangu ikawa imeishia hapo.
Kweli nmeamini kujuana kupo.
Yaani hii dunia kama maneno yangekuwa siraha basi waswahili na kiswahili chao ingekuwa nyukliaNmekutana na Mwalimu wangu wa sekondari kwenye usaili...nilivyoingia tu akanitambua kisha akatabasamu akaniambia "Dogo vipi?" Nikaitia, halafu akaniuliza unanikumbuka nikamjibu "ndiyo"
Akaniambia "ok kila la kheri" nikasepa, interview yangu ikawa imeishia hapo.
Kweli nmeamini kujuana kupo.
Jopo lawatu wanaowafanyia usaili alikuwa yeye peke ake????Nmekutana na Mwalimu wangu wa sekondari kwenye usaili...nilivyoingia tu akanitambua kisha akatabasamu akaniambia "Dogo vipi?" Nikaitia, halafu akaniuliza unanikumbuka nikamjibu "ndiyo"
Akaniambia "ok kila la kheri" nikasepa, interview yangu ikawa imeishia hapo.
Kweli nmeamini kujuana kupo.
Wanaofanya usaili ni mafala, Mimi leo Kwenye jopo zima kaniuliza swali mtu mmoja tu. Mabwege wengine wote walikuwa kimya.Jopo lawatu wanaowafanyia usaili alikuwa yeye peke ake????
Nimepigwa za uso, nimefika nikawakabidhi magamba yangu acha waanze kutafuta jina, walikuwa kama sita hivi mie nawacheki tu, wanauliza ka nimeona jina langu kwa mtandao nikawajibu sinauhakika sana sababu najua maelekezo ya NBS ni majina yabandikwe katani na huko kwa ofisi za kata hayapo, kazi nimeomba na nimekuja kwenye interview....wakaangua kicheko, wakasema wamelekezwa wafanyie usaili majina walopewa tu lakini wakanipongeza sana kwa kupambana....[emoji28][emoji28][emoji28]Mie naenda nikapime upepo aisee.