Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,798
- 1,570
mbna inashuka kwa kasi ivoWewee leo si ndo wana maliza zoezi la usahili alafu kumbe malipo ya zoezi lote nasikia ni 500k tu
Kuna hii website wameweka mchanganuombna inashuka kwa kasi ivo
duuuuuh, yaan mim jana naingia usaili wmeniuliza elimu yngu kuwambia tu nmemaliza chuo kikuu wannanza kunambia wa chuo tupo weng tunatakiwa kujiajiri kutkana na elimu yte ad nguvu zkaniishia nkaona hapa nshakosa sasa sisi tulio na bachelor nashindwa kuelewa hawatutaki au vip na km hatutakiwa kwa nin nbs watuchagueKuna hii website wameweka mchanganuo
Malipo ya zoezi la Sensa 2022 na ratiba ya sensa 2022
Malipo ya zoezi la Sensa 2022, ratiba ya sensa 2022, posho ya sensa 2022, maombi ya kazi ya sensa 2022, nafasi za kazi ya sensa 2022, fomu ya maombi ya sensa 2022, tarehe ya sensa tanzania 2022, sensa ya watu na makazi 2022, faida ya sensa, www tamisemi go tz 2022 sensa, NBS tanzania jobs 2022jobwikis.com
Kama una uhakika wa huo upungufu ongea na mtendaji kata mapema yeye awasiliane na mwenzake na eneo hiloKata ya uru kusini , majina ya wasahiliwa yalikuwa zaidi ya 400+ pamoja na muda wenywe wa usahili , kazi ilienda hivyo basi , nipo na jiuliza hapa. Idadi ile je sisi. Jobless graduates je tunaweza fikiriwa ?? Au. Tuanze kuchukua hatua nyingine , maana mimi nataka niende katika wilaya moja wapo hapa kilimanjaro ye yenye upungufu wa makarani nika jaribu kuulizia kama naweza ingizwa kwenyw system huko huki , wilaya hizo ni hai dc au rombo dc
Pole sana, usikate tamaa utachaguliwa tuduuuuuh, yaan mim jana naingia usaili wmeniuliza elimu yngu kuwambia tu nmemaliza chuo kikuu wannanza kunambia wa chuo tupo weng tunatakiwa kujiajiri kutkana na elimu yte ad nguvu zkaniishia nkaona hapa nshakosa sasa sisi tulio na bachelor nashindwa kuelewa hawatutaki au vip na km hatutakiwa kwa nin nbs watuchague
Inawezekana mkuu,hata ukiwa hauja apply.ashakua na mawenge huyo hajiamini ,,asubrie majina yakitoka tenaa ndo atapagawa zaidiii.
Acha uongo, Ilala Idadi ya Jumla ya majina ni haya 18,865Ilala majina 350 wilaya nzima ,Mungu atusaidie kuna dalili nzuri tukatoboa kwa wnye kufahm wilay nzm au kata itahitaji makaran wngp atujuze
Walioomba wengi ni graduates mkuu sasa wawakate hizo nafasi wanamuweka nani tena?duuuuuh, yaan mim jana naingia usaili wmeniuliza elimu yngu kuwambia tu nmemaliza chuo kikuu wannanza kunambia wa chuo tupo weng tunatakiwa kujiajiri kutkana na elimu yte ad nguvu zkaniishia nkaona hapa nshakosa sasa sisi tulio na bachelor nashindwa kuelewa hawatutaki au vip na km hatutakiwa kwa nin nbs watuchague
Nadhani yeye kaangalia page hapo chini na sio idadi ya majina.Acha uongo, Ilala Idadi ya Jumla ya majina ni haya 18,865View attachment 2298746
labda wanataka kubase na form iv maana nliwashangaa sana kwa maneno yaoWalioomba wengi ni graduates mkuu sasa wawakate hizo nafasi wanamuweka nani tena?
Paper litafanyika baada ya seminaKuna Faza hapa kasema kuna Pepa itafanyika round ya pili, sijajua kuna ukweli au Nyambu... Temeke mambo ni mengi sana Idadi ni kubwa mnoo.
Hiyo semina si ina malipo hiyo, sasa pepa likifanyika mdau akafeli inakuaje kwenye malipo?Paper litafanyika baada ya semina
TEHAMA, MAUDHUI & MAUDHUI. Idadi ya namba ngapi haijulikani.Nadhani yeye kaangalia page hapo chini na sio idadi ya majina.
Pages ndo ziko 350.
Hao wote 18,000+ wanapambania nafasi nagapi mkuu??
Kwa maelezo yake ni kabla ya seminar, yani ni hatua inayofuata baada ya hii ya usahiliPaper litafanyika baada ya semina
ushapita nini?? ninacho ila sina bando la kutosha mkuuMwenye ktbu cha muongozo wa sensa naomba anitumie
hajui kitu huyo baada ya kupita kwenye usaili kituo kinachofuata ni mafunzo ya siku 21Kwa maelezo yake ni kabla ya seminar, yani ni hatua inayofuata baada ya hii ya usahili
Kama ni laki 5 basi semina haiwezi kua siku 21.Wewee leo si ndo wana maliza zoezi la usahili alafu kumbe malipo ya zoezi lote nasikia ni 500k tu