dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
mimi nimefanya leo, usahili ila kuna sehemu nimepita nimeonaNadhani wiki ijayo mwanzoni
tayari majina yashachujwa kupelekwa juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi nimefanya leo, usahili ila kuna sehemu nimepita nimeonaNadhani wiki ijayo mwanzoni
kuna mama mmoja aliomba kata ya chamazi nilimkuta akilalamika kuhusu nyomi ya watu akisema watu wanafika buku, ila me nkadhani utani labda bi. Mkubwa amepanic na maswal aliyikutana nayo 😁😁😁Kata ya Chamazi Wilaya ya Temeke waliomba Ukarani ni 1200+ bila kusahau Biza 1000 net.
Mmepita wote hongera mkuuTumeitwa usaili makarani 40
Maudhui 19
Tehama 1
Jumla 60
Waliofanikiwa kufika sikua ya usaili 50
Jumla ya mitaa katika 17+
hili la alfajir hadi jion nliona kata ya ukonga jana.., nmekatiza asubuh nkakuta nyomi ya watu hata jion nilivokuwa narud kwenye misele bado nkakuta watu kibaoKifupi ni kuwa kama huna connection hesabu maumivu,na kubwa zaidi nahisi haya ni maelekezo kutoka NBS kuwa Viongozi wa Mitaa/Vijiji na Kata/Vitongoji walipewa majina na NBS au walipewa maelekezo kuwa wachague watu wanaona wanafaa kufanya hii kazi vigezo ni Elimu na background ya mtu husika anaeishi huo mtaa. Nawasikitia vijana masikini wa Kitanzania hasa form four waliohangaika na wanaoendelea kuhangaika na zoezi hili LA sensa wakikaa juani na kwenye mvua wakiwa na njaa kuanzia alfajiri mpaka jioni.
Imagines mtu anaambiwa ataje Wadhamini wake aliojaza wakati anatuma maombi hawafahamu halafu ndio umpe kazi nyeti kama hii,vijana wengi wanamihemko na hiyo hela ya soda ya Sensa na sio kwenye ufanisi na uwezo wa kuifanya hiyo kazi.Umeongea kwa uchungu kwa vijana wategemea miujiza, Kuna miujiza miwili katika maisha nayo ni bahati(Mungu) na kujituma(Elimu) na vyote vinategemeana
Watu wanawaza hivyo vijisenti vya malipo badala ya kujipima ufanisi na ugumu wa hiyo kazi.Kijiwe cha lia lia fc , sahivi Uzi umekuwa uzi wa lawama[emoji2]
Mtu aliyenitonya aliombea kijijini majina yalivyotoka kachukua gari fasta mpaka Mtwara , wakati ananipanga habari hii alikuwa amekata tamaa kabisa kisa yeye hana mtonyo na koneksheni ya kutoa mpunga nikamuambia nafasi zote haziwezi kujazwa kimchongo lazima ibaki asilimia ya kugombania kajamba nani kwa hiyo hope moyo unaweza kupata.Kamanda huu ni ukweli mtupu nimeona leo kabisa mtu anapigiwa cm
Mimi anuani ya makazi niliomba kata ya chamazi nilishuhudia nyomi balaa halafu nilivyoenda kwenye kata hapo tangazo limechelewa , wengi hawajui na wengine wameondoka wilayani tayari.Kata ya Chamazi Wilaya ya Temeke waliomba Ukarani ni 1200+ bila kusahau Biza 1000 net.
😆😆😆😆😆😆 Unyanyapaa huo nchi yetu sote ....kuna mwingine hana gari lkn ana asset ya dhaman kuliko gari
Umeelewa swali au umekurupuka kujibu ndgu??Sasa kuharibu kazi muhimu ya Taifa na hivyo vihela uchwara kipi bora? Bora ukatwe kichwa mapema awekwe mwingine,na hela za semina unapewa semina zikiisha.
Ugumu wapi acha kutisha watu kijana.Watu wanawaza hivyo vijisenti vya malipo badala ya kujipima ufanisi na ugumu wa hiyo kazi.
Hakukua na pdf?Kinondoni wametoa Majina 18/7/2022. Yakabandikwa kwenye Kata 19/7/2022 Usiku. Hakuna aliyepogiwa Simu wala Email. Interview 20/7 na 21/7/2022. Sijapata ona Uhuni wa Ajira kama huu. Anyway kisicho riski hakiliki. Tumenyimwa Fursa ya Ajira za muda za Sensa Kinondoni.
Usiku wa kuamkia leo nimepata bongo tumefanya bonge la Usiliank ile kuamka nimejikuta nacheka kumbe ni ndoto za asubuhi..Hii inch bila Usrilank hatoboi mtu nawaambia
Ulivyo MJINGA haujui kuwa programming language ni lugha za kiteknolojia na bado hauoni aibu kudharau wasomi!Hiyo ni C++ computer language
Sasa kwa akili yako hiyo idea kwenye sensa itakusaidia nin.......... Halaf nimesema leta technology wewe unaleta maswali ya lugha
so jobless hatuna chetuUkiacha Walimu wa Msingi,hakuna form four jobless wala certificate atakaepata hii kazi ya Sensa labda huko Vijijini kusiko na Wasomi.
Life kitaa gumu sana boss...Watu wanawaza hivyo vijisenti vya malipo badala ya kujipima ufanisi na ugumu wa hiyo kazi.