Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Mimi naelezea situation ilivyokuwa, usilete ligi hapa.
Huyu jamaa anatuharibia uzi wetu kea kuanza vitisho na kukatisha tamaa majobless wakimbie huu uzi na Mwenyezi Mungu akijaalia nikipata nitakuja kumpa spana humu na kufukua makaburi.
 
Inamaana NBS watachambua tena majina yaliyopita kweny usail wa makaran, maudhui na watehama?
Hapana, wao watayapokea na kutangaza tu. Kwenye jumatatu au jumanne mkeka utakuwa tayari. Na pia inawezekana wakaamua kuyabandika kwenye ofisi za kata ili kuongeza urahisi wa watu kuyaona maana website zetu za kibongo huwa zinaelemewa sana.
 
Huyu jamaa anatuharibia uzi wetu kea kuanza vitisho na kukatisha tamaa majobless wakimbie huu uzi na Mwenyezi Mungu akijaalia nikipata nitakuja kumpa spana humu na kufukua makaburi.
Anajifanya afisa kipenyo, connection connection utafikiri kuna mtu amemuomba hiyo connection.
 
Hapana, wao watayapokea na kutangaza tu. Kwenye jumatatu au jumanne mkeka utakuwa tayari. Na pia inawezekana wakaamua kuyabandika kwenye ofisi za kata ili kuongeza urahisi wa watu kuyaona maana website zetu za kibongo huwa zinaelemewa sana.
Ah sawa kiongozi......
 
Kuna kata moja wanahitajika watu 58 ila waliohudhuria usaili ni watu 51,,dah yaani hapa kupata ni asilimia 100.

Ni kata ipo kijijini sana
Kuna kata moja pia inahitaji watu 60 walioomba walikuwa 40 waliofanya usaili 19
 
Connection
Mkuu siyo kila sehemu connection kuna maeneo watu wachache sana imagine kuna sehemu moja wanahitajika watu 60 walioomba walikuwa 40 na waliofanya usaili walikuwa 19 tu ,na siyo hapo tu maeneo mengi nimepata hiyo taarifa na Wenzangu wao waliomba vijijini,
 
Naamini kutakuwa na fursa ya kuchaguliwa katika kata fulani na ukapelekwa kata nyingine yenye uhaba, ndiyo maana walikuwa pia wanauliza kama upo tayari kufanya kazi eneo jingine
Hiyo lazima Kiongozi, possible Sana Kwa ndani ya wilaya ili kubalance nguvu kazi ya zoezi husika,na tyari nimepata taarifa kwa moja ya source kuna kata yetu jirani x ipo mjini lkn watu walikuwa wachache kwaiyo kutakuwa na watakao pelekwa hiyo kata x
 
POSSIBLE SANAAA KWA WALE WALOJIBU VIZURI KABISAA MASWALI YALIYOKUA YAKIULIZWA NA WASAILI BILA YA KUSEMA SIJUI AU KUKAA KMYAAA BILA YA KUJIBU CHOCHOTE,UKIWA UMEJIBU YOTE UNAWEKEWA 50 IT MEANS UKO VIZURI SANAAA POSSIBLE YA KUCHAGULIWA NI KUBWA SANAAAA. KWAHIYO MSIJALI WALA NINI NA MAJINA YAKITOKA PIA TUPEANE UPDATE.
 
Duuh next time watu wajifunze waende kuomba vijijini
 
Wote mliopo kwenye system mnasema ukweli basi si mnaficha
 
Miongoni mwa waliojibu hovyo kabisa maswali mimi ni mmoja wapo😂😂
Na mbaya zaidi nafasi niliyoomba ni MSIMAMIZI WA MAUDHUI😅

Na kwa style yao waliyoitumia kuendesha ule usahili niliona kabisa ni geresha tu

Hapa nasubiria maajabu ya Mungu ila sina wasiwasi sana maana mimi ni Half Jobless
 
Hii mishe ngumu sana nafasi ya maudhui 3 lakin usahili wanaitwa watu 200+ hakuna kitu hapo na cha ajabu unakuta wakuu wa idara pia wamo
Kwenye Kata yetu Maudhui wanatakiwa watu 10 tu, walioomba hiyo nafasi ni zaidi ya 300
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…