adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Huyu jamaa anatuharibia uzi wetu kea kuanza vitisho na kukatisha tamaa majobless wakimbie huu uzi na Mwenyezi Mungu akijaalia nikipata nitakuja kumpa spana humu na kufukua makaburi.Mimi naelezea situation ilivyokuwa, usilete ligi hapa.