Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Nilikwambia ukajifanya wewe mjuaji sana,sasa unaanza kulialia na kushutumu Serikali.Hili zoezi serikali isipotilia mkazo wa ajira kutolewa pasipo upendeleo zoezi litakuwa gumu maana naona mgomo wa kimya kimya kutohesabiwa.
Watu watasema waliopeana connection basi wajihesab wenyewe na familia zao ama kutoa taarifa ambazo sio sahihi.
Sio jambo la busara kumpa ajira mtu mwenye ajira tayari wakati kuna vijana kibao mtaani wanasota hawana ajira.
Serikali iwe makini na watu iliowaamini kufanya usaili maana wao tayari wamepewa nafasi za upendeleo kuwa wasimamizi wa maudhui pasipo kufanyiwa usaili halafu wao wanataka kuwaonea vijana wasio na connection.
Walisema ivyo kwasababu ya kufahamu mifumo hii na pia experience ya kutembea mitaani na kuhoji watu.Mkuu nyie postcode si mnaingia bila kupingwa mbona hiyo ipo wazi
Hapa hamna cha diploma degree masters wala fom 4 ni connection na bahati.Nilikwambia ukajifanya wewe mjuaji sana,sasa unaanza kulialia na kushutumu Serikali.
Itakuwa tu [emoji16]Nilimwambia muda si mrefu atarudi hapa kuja kulialia na kutukana watu,yametimia sasa. Halafu inaonekana ni graduate mpya hana miaka miwili mtaani.
Unampiga makofi tu akiwa mkubwa unamkodishia mgamboKama ungeulizwa hili swali kwenye usahili ungejibuje ???
IKITOKEA UNAKUTANA NA MTU HATAKI KUHESABIWA HUTACHUKIA HATUA GANI ? 2 SABABU...
Ndugu wew si ulisema huu mchakato utakuwa wa haki na mambo yote NBS wanahusika sasa unaona mambo yalivyobadilika katani, yan kama unabifu na mtendaji,diwani imekula kwakoHili zoezi serikali isipotilia mkazo wa ajira kutolewa pasipo upendeleo zoezi litakuwa gumu maana naona mgomo wa kimya kimya kutohesabiwa.
Watu watasema waliopeana connection basi wajihesab wenyewe na familia zao ama kutoa taarifa ambazo sio sahihi.
Sio jambo la busara kumpa ajira mtu mwenye ajira tayari wakati kuna vijana kibao mtaani wanasota hawana ajira.
Serikali iwe makini na watu iliowaamini kufanya usaili maana wao tayari wamepewa nafasi za upendeleo kuwa wasimamizi wa maudhui pasipo kufanyiwa usaili halafu wao wanataka kuwaonea vijana wasio na connection.
Mkuu sis tunasubiri majina haya mambo ya maswali yashapitaKama ungeulizwa hili swali kwenye usahili ungejibuje ???
IKITOKEA UNAKUTANA NA MTU HATAKI KUHESABIWA HUTACHUKIA HATUA GANI ? 2 SABABU...
HUTACHUKUA = UTACHUKUAKama ungeulizwa hili swali kwenye usahili ungejibuje ???
IKITOKEA UNAKUTANA NA MTU HATAKI KUHESABIWA HUTACHUKIA HATUA GANI ? 2 SABABU...
Unampa Elimu kuhusu faida za sensaKama ungeulizwa hili swali kwenye usahili ungejibuje ???
IKITOKEA UNAKUTANA NA MTU HATAKI KUHESABIWA HUTACHUKIA HATUA GANI ? 2 SABABU...
Bongo bhana tunalalamika kusema watendaji wanaweka watu wao kwa connection kumbe hata hii njema ni mdau wa mambo ya kujuanaNdugu yangu kijijini ndio anahusika kuchagua watu na ni mtuu wa juu kabisa katika kamati ya sensa pale kijijini ananilaumu kwa nini sikuomba kijijini ningekuwa nalamba asali sasa.
Ila yote kwa yote kama ipo ipo tu nasubiri mkeka wa dar utoke nikikosa sitojilaumu maana haikuwa riziki #OneDayYes
Kwani kuhesabu mtu ni mpaka aseme 'haya, nihesabu"? Use your common senseKama ungeulizwa hili swali kwenye usahili ungejibuje ???
IKITOKEA UNAKUTANA NA MTU HATAKI KUHESABIWA HUTACHUKIA HATUA GANI ? 2 SABABU...
Wapi nimeilaumu serikali mkuu? Najaribu kutoa angalizo tu.Nilikwambia ukajifanya wewe mjuaji sana,sasa unaanza kulialia na kushutumu Serikali.
Nasikia 2, sina uhakika sanNaomba kufahamu maafisa tehama wanatakiwa wangapi kwa kila kata?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkuu usikariri sana kila kata ina ukubwa wake sasa kadri inavyokuwa kubwa na idadi ya tehama inaongezeka mfano huku nilipo walitakiwa 20 halmashauri nzma bt wamepatikana 15 na wote wamepita nadhani wataingezewa kutoka kata nyingineNaomba kufahamu maafisa tehama wanatakiwa wangapi kwa kila kata?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Duh iyo halmashauri ina kata ngapi?Mkuu usikariri sana kila kata ina ukubwa wake sasa kadri inavyokuwa kubwa na idadi ya tehama inaongezeka mfano huku nilipo walitakiwa 20 halmashauri nzma bt wamepatikana 15 na wote wamepita nadhani wataingezewa kutoka kata nyingine