Aisee,nilihangaika sana kufika kenye usaili.wilaya yetu ilikiwa ya mwisho kutoa majina ya walioitwa kwenye usaili.wakati yanatoka nilikuwa niko kigoma kuripoti ajira mpya.sasa ikanidi niombe ruhusa fasta ya kwenda kujiandaa siku 14.
Majina yalitoka j5 usaili alhamis, nikapita halmashauri nikasainiwa fomu.nikapanda mchomoko,gari wazotumia kusaria hadi kasulu.nikasubiri gari kutoka kigoma mjini ikafika kama satano imejaa balaa,nikaona isiwe tabu nisimama hapo naelekea mwanza.aisee nilosimama miguu ikawa inawaka moto.tulika kibondo saa kumi jion.nikaona hapa usaili umeshanipita mana uhakika wa kufika mwanza siku hiyo haukuwepo.
Basi tukaendelea na safari hadi lunzewe tulifika sa2 usiku ikabidi kulala pale.asubuhi siku ya usaili ndo natoka lunzewe kupitia Geita hadi busisi.matuaini yakaanza kurejea tulipofika kivukoni busisi sa tano huvi...vha kushangaza mtandao wa kufika tiketi kivukon ukaroga nikasubiri lisaa pale.nilivuka kama sa sita na ushee.kwa ujumla nilifika kisesa magu saa 8 Nikita watu wengi mno.
Kwenye usaili;waliokuwa nahoji watu walikuwa wamechoka yani tulikiwa tumefungiwa kwenye ofisi akija anaita watu ka sita,baada ya dktatu anarudi tena.
Kimbembe kilikuja nipoitwa nakambiwa taja majina yako na elimu...naitwa x nina bachelor degree. Hee wakashangaa,degree ya nini...elimu mwaka 2015...hujaajiliwa ...ndio bado...wewe tambi lote hilo hujaajiliwa...nikaona isiwe tabu...napiga partime shule x ...hapo sawa.
Sijui kwanini walikiwa nauliza sana kuhusu ajira.