Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Kuna swali sijui ni la 3 lile lina marks 20, mfano unaulizwa ikitokea simu yako ika stuck unafanyaje? Wao walikuwa wanataka utaje at least njia 2 ndo upate alama zote, ukitaja 1 tu unapewa 10.
Ndio nimeuliza kuna mtu hajaulizwa hilo swali unalolisemea wala hayo mengine
Kaulizwa miaka yake tu ..huyu unampaje maksi ? Unasitisha vipi usaili kuendelea kumuuliza kutokana na jibu lake?