jamesmisana
Senior Member
- Dec 8, 2015
- 120
- 159
fununu majina ya waliopita yametoka leo,kuanzia jumatatu mkeka utatoka ila kuna wizi wizi flani utakuwepo na walimu wanachomekwa baadhi ya sehemu hata ambao hawakuwepo kwenye usaili lazma walimu wawepo zaidiiii.