Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ngoja kwanza matusi,vilio na laana ziishe kwanza,si unaona hapo juu washaanza kuwalaani na kuwatukana Walimu. Tuliwaambia hii ni ngoma ya wakubwa si ya watoto sasa wanaanza kujionea ukweli.Haya Ramli za Malipo Zianze Mara Moja
Hatimae nimejiona, Ila tanga hawana mbambamba mkeka Safi kabisa sio halmashauri zingine zinafichaficha kama maradhi bhanaTanga
Kwan malipo sh ngapi Mkuu mpaka uanze kusema hivyo?Ngoja kwanza matusi,vilio na laana ziishe kwanza,si unaona hapo juu washaanza kuwalaani na kuwatukana Walimu. Tuliwaambia hii ni ngoma ya wakubwa si ya watoto sasa wanaanza kujionea ukweli.
Hata kulogwa pia huko vijijinii!!mkuu 😂😂😂 usisikitike huwez jua Mungu anakuepusha na nini pengine ukapoteza tablet ya watu, au ukagongwa nagari wakat unaenda semina, shukuru songa mbele
kabisaa na wengi walivyoonewa kwenye huu mchakato makarani wajiandae kuogeshwa maji kwahasiraHata kulogwa pia huko vijijinii!!
Mwenye PDF ya singida municipal, aweke hapa
daaah we jamaa ukikosa hii nafasi inaonekana itakunywa sumu au utazimia kabisaaa maana sio kwa hamu hizo,,,na ukikosa unaweza kwenda kwenye semina kuzamia na kuomba wakusaidie huku unalia.Nitumie pdf mzee nione na mm. Pleaseeee
mkuu wameyachakachua majina sana tu walim kama wote nimeona hapo angalau kata ya nguvumali walim s sanahio tangasisi ndio usiseme,Hatimae nimejiona, Ila tanga hawana mbambamba mkeka Safi kabisa sio halmashauri zingine zinafichaficha kama maradhi bhana
Hatari tupu. Hao jamaa wa anuani za makazi si ndo wanalaumiwa kuharibu kazi.Habarini za Jioni
kwa wale ambao wanasubiri PDF za Kazi ya Sensa kama haukufanya kazi ya Anuani za Makazi (Postikodi) na sio mkuu wa shule, afisa halmashauri au mratibu elimu kata basi usiweke matumaini sana. Ni bahati mno kupata kama haupo sehemu hizo tajwa.
hata Hao walimu wanaodhaniwa kuwa ndio walengwa wakuu hali ni mbaya sana.
Sensa kwa maendeleo ya nchi. wote waliopata na kukosa Tujiandae kuhesabiwa.
Agost 23 2022 keep the date.
Binafsi namuombea sana huyu dogo apate, ana hustle sanadaaah we jamaa ukikosa hii nafasi inaonekana itakunywa sumu au utazimia kabisaaa maana sio kwa hamu hizo,,,na ukikosa unaweza kwenda kwenye semina kuzamia na kuomba wakusaidie huku unalia.
Nimepata, niliomna Maudhui, nimepewa Ukarani.Humu hakuna hata mmoja aliyepata bila connection atoe mrejesho