Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Mna roho mbaya sana haiwezekani mkeka wetu jobless tupo wanaume wawili wote ni watumishi tena wanawake ni wengi

Lazima tuwagongee wake na dada zenu tutatengeneza mazingira kipindi cha semina [emoji39][emoji39][emoji39]
Mkuu vipi umetoboa
 
Sorry wakuu kwa wataalam wa haya Mambo ya semina za kiserikali naomba kuulizia swala la dressing code linazingatiwa? ni lazima tuvae official as official au hata mtu akivaa t-shirt na jeans inaruhusuwa na sandals. Maana sitaki kupoteza kwa namna yoyote ile jinsi nilivosota.
 
Zingatia unadhifu tu. Mfano umepiga jinz yako safi na shart safi na kakiatu Kako mfano raba,safi kabisa. Sio unaenda umevaa katambuga nguo zisizonyooshwa
 
Nimejichanganya vipi? Usaili tulikua 566, baada ya usaili Mkeka ukatoka na watu 200+, tarehe 29 usiku wakabandika mwingine, wengine wameondolewa, kuna watu walikosa mwanzo ila wakaonekana wamepata. Idadi imepungua hasi 160+
Uko Sawa mkuu, kata jirani na yako(Kalangalala) pia imepunguza wanasemina kutoka 160 wa awali Hadi 109.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…