Unaweza me nime update baada ya kutuma maombi nenda kweny huisha viambatanisho chagua viambatanisho vingine then select fileKama hukuambatanisha mwanzo kabisa wakati unajaza taarifa huwez kukiambatanisha tena
copy and paste
nenda kweny huisha viambatanisho chagua viambatanisho vingine then select file[emoji120][emoji120][emoji120]
Naomba unipe mwongozo hapo nafanyaje mkuu?
copy and pasteEmail yangu pamoja na zile za wadhamini wangu naandikiwa invalid, wakati ndo natumia kwasaliana nao, Msaada tafadhali
Omba tuu lkn kama yanarudi huku hapo kazi tunayo Bora yangetoka majina moja kwa moja mtandaoni Kila mmoja akajua kama amepata au hajapata Sasa hii ikifika wilayani wanaanza kuweka wa kwao hapa hatari sanNilivyoambiwa na mtendaji (rfk angu)
Huko utumishi watachagua kulingana na vigezo,then watayatuma kwa maafisa utumishi wa mkoa,kila mkoa/wilaya!
Then wao nao watachagua kwahiyo ni yaleyale!.
Mi hata siombi!
Nimechoka
Asante kwa ratiba ikibadilike uwe unatujuzaChek hyo japo inaweza kuwa na mabadiliko huko mbeleView attachment 2220961
Iyo mbona possible kk naeza kutumia form uko ukaiprint then ukatia dole af ukaniludishia koo iyo inawezekan na ndivo nilivofanyWatangalia umeombea kijiji au kata ipi kisha wataangalia wadhamini wako umeweka wanaishi wapi na ndipo dhana ya kufoji dole gumba itakapoanzia.
Daaaaaah kwahiyo wilayani ndiyo wanapanga nan apate?Omba tuu lkn kama yanarudi huku hapo kazi tunayo Bora yangetoka majina moja kwa moja mtandaoni Kila mmoja akajua kama amepata au hajapata Sasa hii ikifika wilayani wanaanza kuweka wa kwao hapa hatari san
Katika ku update unaweza kuprint form nyingine ukaijaza upya.Eti wadau ukikosea upande wa wadhamini ndio imetoka hakuna kuedit?
Mtandao ulikuwa unasumbua nikampa mtu anijazie usiku. Kaniwekea wadhamini walio mbali, wakati nilimpa majina mapya abadilishe. Hata hao aliowaweka namba zao za simu kachanganya.
Kisicho riziki hakiliki.
Sehemu ya wadhamini sijaona sehemu ya kubadilisha taarifa.Katika ku update unaweza kuprint form nyingine ukaijaza upya.
Mkuu ukitaka kujua kwamba maombi yametumwa unajuaje??Chek hyo japo inaweza kuwa na mabadiliko huko mbeleView attachment 2220961
Nikweli aisee, hakuna sehemu ya kueditKwa wale walioomba mwanzo kuna kipengele cha jinsia kimeongezwa pale...alaf hawaoneshi sehemu ya kuedit
Yan hawa jamaa bhna msala sanaNikweli aisee, hakuna sehemu ya kuedit
19/5/2022jamani ivi mwsho wa kuomba ni lini ?
Aaaah ok shukrani19/5/2022
Baada ya kurudisha kwenye mfumo hyo form no1 hayo maneno mekundu yatapotea then kule chin kama unatumia simu na kulia kwako kama upo na pc zile idadi ya ATTACHMENT zilikuwa nne now zitaongezeka na kuwa Tano .Hapo sasa mambo yamekamilika na unasubiri kwenda kuwa Ngoswe kijijin au mtaani.Mkuu ukitaka kujua kwamba maombi yametumwa unajuaje??
Maana mm nimeweka viambatanisho vyote kama wewe hapo ila kwa pembeni kule imeandika hatua ya maombi : "yanasubiri form namba moja"
So hayo maneno ya nayosema "maombi yanasubiri form no 1" hayana tatzo??Baada ya kurudisha kwenye mfumo hyo form no1 hayo maneno mekundu yatapotea then kule chin kama unatumia simu na kulia kwako kama upo na pc zile idadi ya ATTACHMENT zilikuwa nne now zitaongezeka na kuwa Tano .Hapo sasa mambo yamekamilika na unasubiri kwenda kuwa Ngoswe kijijin au mtaani.
Sent from my LG-H910 using JamiiForums mobile app