Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

To clarify things,
Nyote mtasoma madodoso yote OK ila watakaojaza dodoso la jamii ni wasimamizi Wa maudhui Bcoz wao Hawatajaza Madodoso mengine kazi yao itakuwa kugawa EA na kusimamia from 23/8 to 3/9/2022
Sawa
 
To clarify things,
Nyote mtasoma madodoso yote OK ila watakaojaza dodoso la jamii ni wasimamizi Wa maudhui Bcoz wao Hawatajaza Madodoso mengine kazi yao itakuwa kugawa EA na kusimamia from 23/8 to 3/9/2022
Endelea tu kujiongopea na kujipa matumaini ila ikifika tarehe 15 utaelewa
 
Hunijui sikujui, unapata wapi ujasili wa kuniita MDOGO wako.
Kwakukusaidia tu Makarani na Wasimamizi mchujo utaanza jumatatu ya tare15.
Sio wote mtakaofanya kazi wapo watakaondolewa kabisa na wapo watakao kuwa kama Reserves
Acha kuongopea na kuogopesha watu .
 
Hunijui sikujui, unapata wapi ujasili wa kuniita MDOGO wako.
Kwakukusaidia tu Makarani na Wasimamizi mchujo utaanza jumatatu ya tare15.
Sio wote mtakaofanya kazi wapo watakaondolewa kabisa na wapo watakao kuwa kama Reserves
Inategemea na nini?
 
Hunijui sikujui, unapata wapi ujasili wa kuniita MDOGO wako.
Kwakukusaidia tu Makarani na Wasimamizi mchujo utaanza jumatatu ya tare15.
Sio wote mtakaofanya kazi wapo watakaondolewa kabisa na wapo watakao kuwa kama Reserves
We Jamaa umelewa Mbege sijui hivi unafikiri Serikali ina akili za kipumbavu hivyo yaani watu wamelipwa hela 950k then umtoe kabla ya Kaz duu hizi Pombe hatari
 
To clarify things,
Nyote mtasoma madodoso yote OK ila watakaojaza dodoso la jamii ni wasimamizi Wa maudhui Bcoz wao Hawatajaza Madodoso mengine kazi yao itakuwa kugawa EA na kusimamia from 23/8 to 3/9/2022
Makarani, wasimamizi na tehama wanamaliza mafunzo/seminar tarehe 15 isipokuwa kuna baadhi ya makarani watateuliwa na wasimamizi wa maudhui kuendelea na semina mpaka tarehe 19 hawa watafanya dodoso la jamii na sensa yake itafanyika tarehe 21 na 22.
 
Makarani, wasimamizi na tehama wanamaliza mafunzo/seminar tarehe 15 isipokuwa kuna baadhi ya makarani watateuliwa na wasimamizi wa maudhui kuendelea na semina mpaka tarehe 19 hawa watafanya dodoso la jamii na sensa yake itafanyika tarehe 21 na 22.
Acheni kutunga uongo hamjui hata kuwa Kuna Field ???? !!! Upuuzi hampo NBS Kaz kupost uongo
 
Kesho Mungu Akipenda tutapata Mtee so ntawapa update wanangu wa damu
 
Wengi wenu mnaongea tu kwa mihemko hakuna hata mnachokijua ila subirini kuanzia 15/08/22 ndio mtajua kama;
i. Kuna mchujo au laa
ii. Kuna reserves au laa
iii. Kuna kulipwa 950k au laa

NAOMBA KUWASILISHA, MUWE NA SIKU NJEMA
 
Wengi wenu mnaongea tu kwa mihemko hakuna hata mnachokijua ila subirini kuanzia 15/08/22 ndio mtajua kama;
i. Kuna mchujo au laa
ii. Kuna reserves au laa
iii. Kuna kulipwa 950k au laa

NAOMBA KUWASILISHA, MUWE NA SIKU NJEMA
Hiyo 950k tumeshachukua sasa sijui wewe upo nchi gani?
 
dodoso la jamii ni siku mbili kabla ya kuanza zoezi la sensa. dodoso la jamii watachagulia baadhi kwa kila mtaa kudodosa dodoso la jamii.
Zile za watu wa dodoso la jamii wakiwa semina je hawa wengine watalipwa kama Kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…