Daniel Edgar
Member
- Sep 21, 2017
- 58
- 60
Hahahahaa mbongo mpe picha tu, maelezo atatoa mwenyeweLa jamii mkuu,mpunga wake ni 120k
Wilaya gani hiyoHuku makarani wanagoma muda huu wanataka hela za kujikimu.
Maana wamekaa siku 11 na hela za kujikimu mpaka sasa hawajapewa.
Akijibu ni-tagWilaya gani hiyo
Sema wapi huko taarifa ifike kwa wakubwa hili zoezi siyo lakuchezea hao wasimamizi hawapo serious kma hawajatoa pesa kwa watu husikaKwa wilaya hii ni kawaida sana kutolipa hela kwenye zoezi hili na mengine yakitaifa kama uchaguzi hawakulipwa elfu 50 zao kwani waliambiwa watalipwa kwenye kata zao na hawakulipwa,kwa uzoefu huo makarani wamekomaa walipwe laki 2 zao za pesa za kujikimu mkononi leo hii.
Unaogopa nini na hakuna anayekujua embu tajaKwa wilaya hii ni kawaida sana kutolipa hela kwenye zoezi hili na mengine yakitaifa kama uchaguzi hawakulipwa elfu 50 zao kwani waliambiwa watalipwa kwenye kata zao na hawakulipwa,kwa uzoefu huo makarani wamekomaa walipwe laki 2 zao za pesa za kujikimu mkononi leo hii.
Uvinza-Kigoma hii kituo cha ilagala. Ila wamekuja kutoa pesa kwa makarani mida hii saa 18:42Unaogopa nini na hakuna anayekujua embu taja
Mmepewa hela yote na Ni handcash?Wamekuja kutoa pesa jioni hii baada ya siku nzima kuisha,makarani wanapewa pesa zao sahizi.
Nimejibu tayari[emoji23][emoji23][emoji23]Akijibu ni-tag
Kuna hela tofauti na posho au sijakuelewa mkuu?Hela ya siku 4 ile ya kujikimu hand cash.
Hao itakuwa hiyo Ela walikuwa wanazungushia Benki wapate faida ndo maana wamechelewa kuitoa.Uvinza-Kigoma hii kituo cha ilagala. Ila wamekuja kutoa pesa kwa makarani mida hii saa 18:42
Huwa kuna watu mbalimbali wanapita humu ukiwataja lazima waogope wachangamkeUvinza-Kigoma hii kituo cha ilagala. Ila wamekuja kutoa pesa kwa makarani mida hii saa 18:42
Za chn chn ni 80, siku 6,Hivi siku ya sensa watalipa bei gani per Day