Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Template za wilaya,jimbo،halmashaur,kijiij,kata hazipo kabisa
Mliofanikiwa kuomba naomba mtupe maelezo jinsi mlivyo fanya
 
Nahisi ni kwa mkoa wa dar ndio inasumbua sana , naona labda mtandao wao unasumbua. Mm nili jaribu usiku kwenye sa sita iv ikagoma-goma ila baadae ikakubali, kama utaweza jaribu na muda huo wa usiku.
 
Template za wilaya,jimbo،halmashaur,kijiij,kata hazipo kabisa
Mliofanikiwa kuomba naomba mtupe maelezo jinsi mlivyo fanya
Toka na clear byo browser unayotumia then ingia tena uanze mwanzo
N.B Hakuna kitu rahisi hapa dunian
 
Nahisi ni kwa mkoa wa dar ndio inasumbua sana , naona labda mtandao wao unasumbua. Mm nili jaribu usiku kwenye sa sita iv ikagoma-goma ila baadae ikakubali, kama utaweza jaribu na muda huo wa usiku.
Ukufanikiwa kutum unapata ujumbe?
 
Watu mnaona vitu ambavyo HAVIPO. Mnaishi kwa fantasies zisizokuwepo.

Muda wote mnajihisi his na kujishtukia na kuishi kwa wasiwasi sana
Mkuu unafukiria nineongea kwa kurupuka. Ni 100% watu wapo kwenye semina Iringa. Sio nineongea kwa fantasies zilizokuwepo bali nakwambia nilicho nauhakika nacho. Labda kama hizi semina zinaenda kwa awamu awamu au labda walienda kwa connection wanaanza kwanza semina kisha wanafuatilia wengineo
 
Mkuu unafukiria nineongea kwa kurupuka. Ni 100% watu wapo kwenye semina Iringa. Sio nineongea kwa fantasies zilizokuwepo bali nakwambia nilicho nauhakika nacho. Labda kama hizi semina zinaenda kwa awamu awamu au labda walienda kwa connection wanaanza kwanza semina kisha wanafuatilia wengineo
Una uhakika nacho kivipi?

Hebu thibitisha Mkuu. Yaani Sensa ya mwezi wa nane, watu wawe wameahaenda semina sasa hivi?

Au hata hujui maana ya Sensa?

Umeshuhudia , umeshiriki au na wewe unasikia?
 
Wanakutumia password yako kwenye email yako.
Mbn wamenitumia password nikieka inagoma msaada hapo kweny iyo password
Screenshot_20220506-143147.jpg
 
Mkuu unafukiria nineongea kwa kurupuka. Ni 100% watu wapo kwenye semina Iringa. Sio nineongea kwa fantasies zilizokuwepo bali nakwambia nilicho nauhakika nacho. Labda kama hizi semina zinaenda kwa awamu awamu au labda walienda kwa connection wanaanza kwanza semina kisha wanafuatilia wengineo
Sensa ni mwezi wa 8 yaani semina zianze last week?!!! 😲😲 Be serious mkuu 🤣
 
Tangazo la mwanzo walisema deadline ni tarehe 19 mei, naingia saa hivi wanasema deadline may 14, hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom