Tommy 911
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 600
- 510
Kam maombi yamefanikiwa kwenda unapata ujumbe?Huyo anatafuta atention tu hajui watu tunaumia huku tupate hata hizo mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kam maombi yamefanikiwa kwenda unapata ujumbe?Huyo anatafuta atention tu hajui watu tunaumia huku tupate hata hizo mia
Toka na clear byo browser unayotumia then ingia tena uanze mwanzoTemplate za wilaya,jimbo،halmashaur,kijiij,kata hazipo kabisa
Mliofanikiwa kuomba naomba mtupe maelezo jinsi mlivyo fanya
Ukufanikiwa kutum unapata ujumbe?Nahisi ni kwa mkoa wa dar ndio inasumbua sana , naona labda mtandao wao unasumbua. Mm nili jaribu usiku kwenye sa sita iv ikagoma-goma ila baadae ikakubali, kama utaweza jaribu na muda huo wa usiku.
Ukifanikiwa*Ukufanikiwa kutum unapata ujumbe?
Lilikuwa feki lile.......tangazo pure limetoka Jana tareh 5Mbona tangazo limechelewa sana..huku mtaani kwetu vijana walishapeleka Maombi since last week Kama sikosei
Wanakutumia password yako kwenye email yako.Kam maombi yamefanikiwa kwenda unapata ujumbe?
OkWanakutumia password yako kwenye email yako.
Mkuu unafukiria nineongea kwa kurupuka. Ni 100% watu wapo kwenye semina Iringa. Sio nineongea kwa fantasies zilizokuwepo bali nakwambia nilicho nauhakika nacho. Labda kama hizi semina zinaenda kwa awamu awamu au labda walienda kwa connection wanaanza kwanza semina kisha wanafuatilia wengineoWatu mnaona vitu ambavyo HAVIPO. Mnaishi kwa fantasies zisizokuwepo.
Muda wote mnajihisi his na kujishtukia na kuishi kwa wasiwasi sana
Una uhakika nacho kivipi?Mkuu unafukiria nineongea kwa kurupuka. Ni 100% watu wapo kwenye semina Iringa. Sio nineongea kwa fantasies zilizokuwepo bali nakwambia nilicho nauhakika nacho. Labda kama hizi semina zinaenda kwa awamu awamu au labda walienda kwa connection wanaanza kwanza semina kisha wanafuatilia wengineo
Mbn wamenitumia password nikieka inagoma msaada hapo kweny iyo passwordWanakutumia password yako kwenye email yako.
HapanaIv nitaweza kuomba Kama Sina namba ya nida?
Delusion...Kwanini
😲😲Iv nitaweza kuomba Kama Sina namba ya nida?
Sensa ni mwezi wa 8 yaani semina zianze last week?!!! 😲😲 Be serious mkuu 🤣Mkuu unafukiria nineongea kwa kurupuka. Ni 100% watu wapo kwenye semina Iringa. Sio nineongea kwa fantasies zilizokuwepo bali nakwambia nilicho nauhakika nacho. Labda kama hizi semina zinaenda kwa awamu awamu au labda walienda kwa connection wanaanza kwanza semina kisha wanafuatilia wengineo
Password inaanzia hapo kwenye ] mpaka uMbn wamenitumia password nikieka inagoma msaada hapo kweny iyo passwordView attachment 2213933