Mijadala Migumu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 380
- 422
Hapo kwenye dole gumba la mdhamin ni biometric au?Kwenye system hakuna sehemu ya kujaza kazi au wadhifa wa mzamini Kuna majina matatu namba na email then form ukiidownload inaongezeka sehemu ya mkoa anakaa wilaya, kata na mataa na sehemu ya dole gumba hakuna sehemu ya wadhifa
NB: Kama unauwezo wa kuwapata hao wenye wadhifa watafute tu mkuu huwezi jua huenda wakaongeza ubora wa maombi Yako hahahahaha